Nookwa Nookwaa
Member
- Sep 28, 2020
- 61
- 22
Ni mzigo kwa Taifa. Wanawakilisha nini kama sio fadhila za kisiasa?
Mtoto wake Kipi Warioba akapewa ukuu wa wilaya Moshi kumtuliza mzee. CCM hoyeeeee.Aliishia kupigwa ngwala na Makonda
Uyo kawekeza kwenye viti maalum tu hamna lolote afanyalo zaidi ya kuchubua ngozinimepitia kwa haraka nimeona jina la Cate Magige
huyu dada yeye ni viti maalum tu ameshakua na yeye kingunge kwa upande huo
Kuondoa viti maalumu si busara. Wanawake wanahitajika; nchi ambako wanawake wako kwenye uongozi ziko mbele kimaendeleo. Angalia Uswidi na nchi za Skandinavia; uongozi wa Mama Merkel pale Ulaya; wanawake wana makosa yao pia, ila uwezo wa ujinga hukolea zaidi upande wa wanaume.Hivi ni nani alileta huu mfumo wa viti maalumu kujazwa na wanawake tu. Mtu akishataka battle Maana yake mapambano anayaweza na yupo tayari kushinda au kushindwa.
hivyo Basi kwavile walitaka wapewe haki sawa na wanaume Wangefuta huu upuuzi wa viti maalumu ili Wote wapambane Majukwaani atakaeshinda battle anaingia mjengoni atakaeshindwa anafanya mambo Mengine.
#No Women No cry.
Festi ledi wa CCMKabula ndani ya nyumbaaaaa! no. 61 hapo. Hongera mama!
Swali la ufahamu: Hivi viti maalum wanachagua kutoka mikoa yote au siyo lazima?
Daaah 94 plus viti 10 vya rais jumla 104,hao wote wanasubiri hela za bure. Kabula sidhani hata form 4 alifika.Hawa kila mmoja atagharimu zaidi ya billion moja TZS.Halafu hawana hata faida. Wafute viti maalum.
Ni bora idadi yao ingeongezwa kwenye ukuu wa wilaya lakini sio bungeni ni matumiz Mabaya ya pesaKuondoa viti maalumu si busara. Wanawake wanahitajika; nchi ambako wanawake wako kwenye uongozi ziko mbele kimaendeleo. Angalia Uswidi na nchi za Skandinavia; uongozi wa Mama Merkel pale Ulaya; wanawake wana makosa yao pia, ila uwezo wa ujinga hukolea zaidi upande wa wanaume.
Wangekua wa CHADEMA mungewaita makamanda. Ila kwa kuwa ni wa CCM hawana faida.Hii ni hasara kwa nchi, hawana faida yeyote