akajasembamba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 1,193
- 1,809
Wawakilishi wasiokuwa na kura za wanaowawakilisha,
uko sawa,ccm wameanza leo kuwa na wabunge wa viti maalumu. sasa wanakuwa na faida ganiWangekua wa chadema mungewaita makamandaa. Ila kwa kuwa ni wa ccm, hawanafaidaa.
Ni wakati wa ccm kuitafuna nchiHii haikubaliki!Huu mzigo wote wa nini?
Tuna safari ndefu sanaNo, No, No! This is tooooo muuch. Mimi nilijua vitu maalumu ni kama vile cya walemavu. Hayo makundi mengine maalumu ni yapiii? Yaani woooote hao wanakwenda bungeni na kukaa kula pesa za walipakodi! Kwa orodha hii kweli hiyo SGR, JK waterfall project, vitaisha lini??? Yani, kama kuna sababu ya watu kuingia barabarani bila ukomo ni mambo ya hovyo kama haya. Then just after 5 yrs kila mmojawapo ya hawa anaondoka na Tzs. 200m ++, plus mikopo ya interest free ya magari. All these from the Government coffers. For what???
Kwani wachadema inje na zile kiki za maigizo za kuongea kwa jazba na kuzilazira pale bungeni yalikuwa na faida gani? Tunawashukuru wapigakura kwa kuwa kimbiza baadhi yao, maaana ilikuwa nikero kubwa pale bungeniii.uko sawa,ccm wameanza leo kuwa na wabunge wa viti maalumu. sasa wanakuwa na faida gani
Wengi la saba hapo. Msingi kiuno.Daaah 94 plus viti 10 vya rais jumla 104, hao wote wanasubiri hela za bure.kabula sidhani hata frm 4 alifika
Daaah ndio nimeamini sasa tumefika uchumi wa katiWengi la saba hapo.Msingi kiuno.
UWT ArushaHivi huyu si ndo anawakilisha vyuo vikuu ?
Ah! Basi tuache tu. Siyo lazima.Utathmini kitu gani mkuu?
Duuu.... Tangu lini viti maalumu vikawa kwa wanaume??Sijaona jina la mwanaume