one by one
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 5,835
- 9,325
Naapa huu ni ufisadi wa kupitiliza ni aibu kwa Taifa kufanya haya mambo ya ajabu, unaweza kidogo kusema ok tunalipa haya lakini tunapata Money for Value, hawa hawana mchango wowote wa maana ni kugonga meza tu na nilazima ugonge meza hujachaguliwa umepewa kama hisani tu.
Gharama ngapi zinatumika hapa wewe kama unajiweza gombania uwakilishi haijalishi mwanamke au mwanaume.
Huu kwangu mimi ni ufisadi au matumizi mabaya ya rasilimali kwa kiwango cha lami.
Gharama ngapi zinatumika hapa wewe kama unajiweza gombania uwakilishi haijalishi mwanamke au mwanaume.
Huu kwangu mimi ni ufisadi au matumizi mabaya ya rasilimali kwa kiwango cha lami.