Vita Janga la Corona: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas, Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndungulile, kesho watakuwa live JLNH-Star TV

Wanabodi,

Vita dhidi ya janga la ugonjwa wa Corona, COVID-19, Mapambano yanaendelea, Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas na Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndungulile, kesho asubuhi, watakuwa live ndani ya kipindi cha JLNH (Jicho Letu Ndani ya Habari) kinachorushwa na Star TV, kila siku za Jumamosi asubuhi kuanzia Saa 1:30 hadi saa 3:00 asubuhi.

Nchi yetu Tanzania, kama zilivyo nchi nyingine zote duniani, iko kwenye mapambano ya vita dhidi ya janga la ugonjwa wa Corona, COVID-19, kwa vile janga hili ni kubwa na zilikumba karibu nchi zote duniani, hivyo kila nchi iko vitani katika mapambano ya kujiokoa.

Ili Tanzania tuweze kushinda vita hii, tunahitaji juhudi za pamoja za kila Mtanzania tukiwemo sisi wanahabari collectively as media fraternity as a team na susi waandishi individually kujitolea kusaidia kwa kujituma zaidi na kujitolea zaidi, na kwa vyombo vya habari vya utangazaji kujitoa airtime ya bure kwa vipindi vya uelimishaji umma, production houses kuiitolea kufanya production bure na TV na redio zirushe bure, magazeti yaandike makala za uelimishaji umma kwa media ku play role yake ya kuwa ni kiungo muhimu kati ya serikali na wananchi hivyo kwa upande wa Star TV kupitia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, tunawapa fursa wanahabari na wananchi kwa ujumla kuuliza maswali yao, kutoa maoni yao na mapendekezo yao kwa serikali na jamii.

Kwa vile hii ni vita, mafanikio ya vita yoyote hutegemea mbinu unazotumia, majeshi yako na silaha ulizonazo ukilinganisha na adui yako, ila silaha kubwa kabisa ni morali ya askari wako na kufanya juhudi za pamoja, moral support kwa kupigana as one.

Hivyo katika vita hii ya Corona kila Mtanzania ni mpiganaji, tukisimama pamoja, kupambana bega kwa bega as one, tutashinda.

Mapambano kwa Tanzania yanaongozwa na Kamanda wetu Mkuu na Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, Rais, Dr. John Pombe Joseph Magufuli aliyetuanzishia kwa moral buster kubwa kabisa kuhusu Corona kwa kututa Watanzania tusitishike, tuendelee kuchapa kazi huku tukizingatia maelekezo ya kitaalamu ya jinsi ya kujikinga.

Wasemaji wakuu wa Corona kwa Tanzania ni:
  1. Rais Magufuli mwenyewe
  2. Makamo wa Rais
  3. Waziri Mkuu
  4. Waziri wa Afya
  5. Msemaji Mkuu wa Serikali
Katika kipindi cha kesho, Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas na Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndungulile watajibu maswali yenu in one way, lakini kwa vile hawa ni waserekali, na tangu kutokea kwa janga hili, wananchi tunapewa tuu taarifa kutoka juu kuja chini, one way traffic, hivyo kipindi hiki pia kina fursa ya two way traffic, kwa nyinyi kutoa maoni yanu.

Kipindi hiki pia kitakuwa live kupitia mitandao ya kijamii, ya YouTube, Facebook, Instagram na Twitter za Star TV, hivyo naomba ushiriki wako, kwa kutuma maswali, maoni au mapendekezo kwa serikali yetu ili tuweze kushinda vita hii.

Kwa wana jf, unaweza kutupia swali lako humu, kwenye uzi huu, nami nitamtupia Dr Abbas na Dr. Ndungulile.
Karibu.

Paskali
Nawatakia Ijumaa Kuu Njema

Background Info.
Kwa Dr. Abbas hiki kitakuwa ni kipindi mwendelezo, kilianza last week
Star TV: Msemaji Mkuu wa Serekali, Dr. Hassan Abbas, azungumzia wajibu wa vyombo vya habari kuripoti janga la Corona - JamiiForums

Janga hili liasababishwa na kirusi cha COVID-19 na kusababisha ugonjwa wa homa kali ya mapafu kwa mtu kushindwa kupumus hivyo kufa.

Kirusi hiki kama vilivyo virusi vingine vyote, hujibadili badili kila sekunde kutokana na mazingira tofauti tofauti, hivyo kuna maeneo vimeleta mlipuko mkubwa kwa kushambulia mamia kwa maelfu watu na kuketa maafa makubwa kama China, Italy, Marekani na nchi za ulaya ambazo zina vivaa tiba vya kutosha, na wataalamu wa afya wa kutosha lakini zikaelemewa kwa idadi ya vifo kufikia zaidi ya 1000 kwa siku hivyo kufanya kitu kinachoitwa, Total Lockdown kwa kufunga shughuli zote na watu kutakiwa kujifungia ndani.

Kwa bara la Africa ambalo hatuna vifaa tiba, mahospitali wala wahudumu wa Afya wa kutosha, mpaka haoa tulipofikia ni Mungu tuu mwenyewe anayetulinda, japo tunachukua hatua mbalimbali za kuzuia maambukizi.

Kila nchi inapambana kivyake kwa mbinu zake, wengine wameiga nchi za ulaya kwa kulazimisha lockdown kwa watu wao, hadi wa kipato cha chini wanaotegemea kuishi kwa kufanya vibarua.

Sisi Tanzania, bado Mungu anasimama na sisi, mpaka sasa kumetokea kifo kimoja tu.

Maswali Kwa Dr. Abbas


Maswali Kwa Dr. Ndungulile-
Waje watuambie kisa Cha kusisitza kuvaa kondom baada ya maambukizi. Hivi kufungia ndege kutoka nje baada ya wengine wote siyo Sasa na mfano huo ?halafu kwa jeuri tunapewa ukweli kuwa Sasa tumeingia community infections
 
Kwamba, eti taarifa inaanza huku kisha inaenda sijui wapi sio excuse! Hoja yako ingekuwa na mantiki kama Abbas angekuwa ndo wa kwanza ku-post taarifa ambayo ilikuwa haijawa updated!

Lakini updated report imekuwa posted 5 hours earlier halafu baadae unakuja na taarifa iliyopita na wakati halafu kwako unaona sawa tu!

Anyway, but what would I expect more kutoka kwa mtu wa aina yako ambae muda wote umekuwa ukitetea na ku-justify hata maamuzi ya hovyo kabisa ya Maguful kwenye kipindi hiki cha coronavirus!!
Human mistakes are human, naamini hakuna mtu yoyote anayetegemea Magufuli na serikali yake ni malaika, they are perfect and they can do no mistakes.
P
 
Kwamba, eti taarifa inaanza huku kisha inaenda sijui wapi sio excuse! Hoja yako ingekuwa na mantiki kama Abbas angekuwa ndo wa kwanza ku-post taarifa ambayo ilikuwa haijawa updated!

Lakini updated report imekuwa posted 5 hours earlier halafu baadae unakuja na taarifa iliyopita na wakati halafu kwako unaona sawa tu!

Anyway, but what would I expect more kutoka kwa mtu wa aina yako ambae muda wote umekuwa ukitetea na ku-justify hata maamuzi ya hovyo kabisa ya Maguful kwenye kipindi hiki cha coronavirus!!
Usihangaike na Paschal,his topics come with ill_motives.Wakati mwingine huwa inashangaza jinsi gani mtu aliyekuwa very objective anaweza kugeuka kuwa praise singer.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuwa hukunisoma vizuri au hukunielewa, nilisema naacha JF baada ya kumpata Pole pole na kujiunga CCM. Bahati mbaya sikufanikiwa kumpata Polepole, hivyo wakati nikiendelea kumsaka Polepole nijiunge CCM, nikifanikiwa kumpata na kukabidhiwa ganda langu la CCM, tutaagana, ila kwa sasa, bado nipo nipo.
P
Ngoma ikivuma sana aghalabu yaweza kupasuka. Ukiona unapiga ngoma watu haeajitikisi wala kukushangilia ujue ngoma imemepata nyufa tayari. Sisemi kama nabii lakini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usihangaike na Paschal,his topics come with ill_motives.Wakati mwingine huwa inashangaza jinsi gani mtu aliyekuwa very objective anaweza kugeuka kuwa praise singer.

Sent using Jamii Forums mobile app
Too bad kwa kweli!! Na kinachoumiza zaidi ni kwamba hapa JF Paskali watu wanamuamini sana kutokana na status yake! Unfortunately, he repeatedly betrays people's trust and faiths!

Mtu ambae ungetarajia apige kelele ni namna gani Magufuli ameteleza kwenye kauli zake kuhusu coronavirus, ndo huyo huyo again and again amekuwa akitetea kwenye kila uzi unaounga mkono mikakati ile ya JPM!!

Anyway, wacha nichukue ushauri wako... Paskal, have a great day bro!!
 
Na nyie ambao mnaona kabisa "hii ni mistake" lakini mnaitetea kwa nguvu zote again and again, na yenyewe ni kutokana na imperfection ya mwanadamu sio?!
Mkuu Chige, it's not a mistake, kila nchi inapaswa kuchukua hatua kutokana na mazingira yake, kwenye hili la shutdown, mimi naendelea kusimama na Magufuli, tusiige, ila baada ya idadi ya wagonjwa kuongezeka leo, nadhani shughuli za ibada na starehe tutapunguza au kufunga na mimi pia nimeshauri

Mungu ni Omnipresent. Kufuatia Local Transmission ya Corona. Je, Sasa Tushinikize Watu Wasalie Majumbani Mwao, ila Sadaka Ndio Itumwe Kwa M-Pesa? - JamiiForums

P
 
Too bad kwa kweli!! Na kinachoumiza zaidi ni kwamba hapa JF Paskali watu wanamuamini sana kutokana na status yake! Unfortunately, he repeatedly betrays people's trust and faiths!

Anyway, wacha nichukue ushauri wako... Paskal, have a great day bro!!
Mkuu Chige, hili pia nimelizungumza mahali leo.
Waandishi wa Habari na Kupotea/Vifo vya Kutatanisha, Toka Katabalo, Saanane, Gwanda, Mwangosi, Isango. Ni Ama Tuombe Mungu Atunusuru ama... - JamiiForums

Thanks na wewe have a good day.

P
 
...wewe ndg nilikua nakukubali Sana kwenye uchambuzi na kuusema ukweli bila kumungunya maneno lakini tokea uende kwenye kamati ya job umekua muoga balaa....simama katika ukweli itetee nchi yako washauri watawala bila kuogopa Kama watanuna hii taifa ni lakwetu sote mlipuko ukizidi tutaumia sote....waandishi nguri Kama wewe ndio wakati wenu wakupaza sauti mliponye taifa Kama mnashindwa kukemea muonapo kusua sua kwa wenye dhamana basi toeni elimu kwa jamii namna ya kujikinga na maambukizi
Mkuu Michael Makene, asante nimekisikia, na karibu mitaa hii.
P
 
Rejea za Mandiko ya The Same Author Kuhusu Janga la Corona
  1. Mtu kama huyu ni binadamu au shetani? Anaombeaje Corona ifike Tanzania. Kuiombea nchi yako majanga, sio zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani? - JamiiForums
  2. Corona: Japo ni janga, pia ni fursa. Tanzania bado hakuna maambukizi, tupunguze panic, tuongeze Elimu. WB kumwaga mihela, tuchangamkie fursa - JamiiForums
  3. Corona inatufundisha Tanzania tuna tatizo kuchanganya siasa na professionalism. Hongera Prof. Janabi kwa elimu uliyotoa, so far you are the best! - JamiiForums
  4. RC Makonda, Dar ni jiji la wote, vyama vyote. Mbowe sio mwanasiasa uchwara aliyefilisika, Zitto sio mshirikina. Tunakupenda, heshimu wote uheshimiwe - JamiiForums
  5. Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out! - JamiiForums
  6. Star TV: Msemaji Mkuu wa Serekali, Dr. Hassan Abbas, azungumzia wajibu wa vyombo vya habari kuripoti janga la Corona - JamiiForums
  7. Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani!. Je Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika - JamiiForums
  8. Vita Janga la Corona: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas, Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndungulile, kesho watakuwa live JLNH-Star TV - JamiiForums
  9. Star TV: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas na Naibu Wazuri wa Afya Dr. Faustine Ndungulile, Wanazungumzia Corona - JamiiForums
  10. Mungu ni Omnipresent. Kufuatia Local Transmission ya Corona. Je, Sasa Tushinikize Watu Wasalie Majumbani Mwao, ila Sadaka Ndio Itumwe Kwa M-Pesa? - JamiiForums
  11. Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!. - JamiiForums
  12. Kwa Kasi Sasa, Jee Tuendelee Ushujaa wa Ka-Corona, Tusitishane, Tuchape Kazi Tukiteketea, Au Sasa Tubadili Msimamo Tusitisishe Mikusanyiko Tuokoke? - JamiiForums
  13. TBC - Mjadala wa Role of The Media kwenye mapambano ya Corona, Je, Media Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo? - JamiiForums
  14. Live on Star TV: Corona Kushika Kasi Ndio Habari Kubwa Tanzania, Jee Media ya Tanzania, Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo? - JamiiForums
  15. Corona: Tusinyoosheane vidole. Kama unaweza kusaidia, please do. Usisubiri uombwe - jitokeze saidia, vinginevyo nyamaza! - JamiiForums
P
 
Wanabodi,

Vita dhidi ya janga la ugonjwa wa Corona, COVID-19, Mapambano yanaendelea, Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas na Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndungulile, kesho asubuhi, watakuwa live ndani ya kipindi cha JLNH (Jicho Letu Ndani ya Habari) kinachorushwa na Star TV, kila siku za Jumamosi asubuhi kuanzia Saa 1:30 hadi saa 3:00 asubuhi.

Nchi yetu Tanzania, kama zilivyo nchi nyingine zote duniani, iko kwenye mapambano ya vita dhidi ya janga la ugonjwa wa Corona, COVID-19, kwa vile janga hili ni kubwa na zilikumba karibu nchi zote duniani, hivyo kila nchi iko vitani katika mapambano ya kujiokoa.

Ili Tanzania tuweze kushinda vita hii, tunahitaji juhudi za pamoja za kila Mtanzania tukiwemo sisi wanahabari collectively as media fraternity as a team na susi waandishi individually kujitolea kusaidia kwa kujituma zaidi na kujitolea zaidi, na kwa vyombo vya habari vya utangazaji kujitoa airtime ya bure kwa vipindi vya uelimishaji umma, production houses kuiitolea kufanya production bure na TV na redio zirushe bure, magazeti yaandike makala za uelimishaji umma kwa media ku play role yake ya kuwa ni kiungo muhimu kati ya serikali na wananchi hivyo kwa upande wa Star TV kupitia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, tunawapa fursa wanahabari na wananchi kwa ujumla kuuliza maswali yao, kutoa maoni yao na mapendekezo yao kwa serikali na jamii.

Kwa vile hii ni vita, mafanikio ya vita yoyote hutegemea mbinu unazotumia, majeshi yako na silaha ulizonazo ukilinganisha na adui yako, ila silaha kubwa kabisa ni morali ya askari wako na kufanya juhudi za pamoja, moral support kwa kupigana as one.

Hivyo katika vita hii ya Corona kila Mtanzania ni mpiganaji, tukisimama pamoja, kupambana bega kwa bega as one, tutashinda.

Mapambano kwa Tanzania yanaongozwa na Kamanda wetu Mkuu na Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, Rais, Dr. John Pombe Joseph Magufuli aliyetuanzishia kwa moral buster kubwa kabisa kuhusu Corona kwa kututa Watanzania tusitishike, tuendelee kuchapa kazi huku tukizingatia maelekezo ya kitaalamu ya jinsi ya kujikinga.

Wasemaji wakuu wa Corona kwa Tanzania ni:
  1. Rais Magufuli mwenyewe
  2. Makamo wa Rais
  3. Waziri Mkuu
  4. Waziri wa Afya
  5. Msemaji Mkuu wa Serikali
Katika kipindi cha kesho, Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas na Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndungulile watajibu maswali yenu in one way, lakini kwa vile hawa ni waserekali, na tangu kutokea kwa janga hili, wananchi tunapewa tuu taarifa kutoka juu kuja chini, one way traffic, hivyo kipindi hiki pia kina fursa ya two way traffic, kwa nyinyi kutoa maoni yanu.

Kipindi hiki pia kitakuwa live kupitia mitandao ya kijamii, ya YouTube, Facebook, Instagram na Twitter za Star TV, hivyo naomba ushiriki wako, kwa kutuma maswali, maoni au mapendekezo kwa serikali yetu ili tuweze kushinda vita hii.

Kwa wana jf, unaweza kutupia swali lako humu, kwenye uzi huu, nami nitamtupia Dr Abbas na Dr. Ndungulile.
Karibu.

Paskali
Nawatakia Ijumaa Kuu Njema

Background Info.
Kwa Dr. Abbas hiki kitakuwa ni kipindi mwendelezo, kilianza last week
Star TV: Msemaji Mkuu wa Serekali, Dr. Hassan Abbas, azungumzia wajibu wa vyombo vya habari kuripoti janga la Corona - JamiiForums

Janga hili liasababishwa na kirusi cha COVID-19 na kusababisha ugonjwa wa homa kali ya mapafu kwa mtu kushindwa kupumus hivyo kufa.

Kirusi hiki kama vilivyo virusi vingine vyote, hujibadili badili kila sekunde kutokana na mazingira tofauti tofauti, hivyo kuna maeneo vimeleta mlipuko mkubwa kwa kushambulia mamia kwa maelfu watu na kuketa maafa makubwa kama China, Italy, Marekani na nchi za ulaya ambazo zina vivaa tiba vya kutosha, na wataalamu wa afya wa kutosha lakini zikaelemewa kwa idadi ya vifo kufikia zaidi ya 1000 kwa siku hivyo kufanya kitu kinachoitwa, Total Lockdown kwa kufunga shughuli zote na watu kutakiwa kujifungia ndani.

Kwa bara la Africa ambalo hatuna vifaa tiba, mahospitali wala wahudumu wa Afya wa kutosha, mpaka haoa tulipofikia ni Mungu tuu mwenyewe anayetulinda, japo tunachukua hatua mbalimbali za kuzuia maambukizi.

Kila nchi inapambana kivyake kwa mbinu zake, wengine wameiga nchi za ulaya kwa kulazimisha lockdown kwa watu wao, hadi wa kipato cha chini wanaotegemea kuishi kwa kufanya vibarua.

Sisi Tanzania, bado Mungu anasimama na sisi, mpaka sasa kumetokea kifo kimoja tu.

Maswali Kwa Dr. Abbas


Maswali Kwa Dr. Ndungulile-

Rejea za Mandiko ya The Same Author Kuhusu Janga la Corona
  1. Mtu kama huyu ni binadamu au shetani? Anaombeaje Corona ifike Tanzania. Kuiombea nchi yako majanga, sio zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani? - JamiiForums
  2. Corona: Japo ni janga, pia ni fursa. Tanzania bado hakuna maambukizi, tupunguze panic, tuongeze Elimu. WB kumwaga mihela, tuchangamkie fursa - JamiiForums
  3. Corona inatufundisha Tanzania tuna tatizo kuchanganya siasa na professionalism. Hongera Prof. Janabi kwa elimu uliyotoa, so far you are the best! - JamiiForums
  4. RC Makonda, Dar ni jiji la wote, vyama vyote. Mbowe sio mwanasiasa uchwara aliyefilisika, Zitto sio mshirikina. Tunakupenda, heshimu wote uheshimiwe - JamiiForums
  5. Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out! - JamiiForums
  6. Star TV: Msemaji Mkuu wa Serekali, Dr. Hassan Abbas, azungumzia wajibu wa vyombo vya habari kuripoti janga la Corona - JamiiForums
  7. Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani!. Je Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika - JamiiForums
  8. Vita Janga la Corona: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas, Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndungulile, kesho watakuwa live JLNH-Star TV - JamiiForums
  9. Star TV: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas na Naibu Wazuri wa Afya Dr. Faustine Ndungulile, Wanazungumzia Corona - JamiiForums
  10. Mungu ni Omnipresent. Kufuatia Local Transmission ya Corona. Je, Sasa Tushinikize Watu Wasalie Majumbani Mwao, ila Sadaka Ndio Itumwe Kwa M-Pesa? - JamiiForums
  11. Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!. - JamiiForums
  12. Kwa Kasi Sasa, Jee Tuendelee Ushujaa wa Ka-Corona, Tusitishane, Tuchape Kazi Tukiteketea, Au Sasa Tubadili Msimamo Tusitisishe Mikusanyiko Tuokoke? - JamiiForums
  13. TBC - Mjadala wa Role of The Media kwenye mapambano ya Corona, Je, Media Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo? - JamiiForums
  14. Live on Star TV: Corona Kushika Kasi Ndio Habari Kubwa Tanzania, Jee Media ya Tanzania, Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo? - JamiiForums
  15. Corona: Tusinyoosheane vidole. Kama unaweza kusaidia, please do. Usisubiri uombwe - jitokeze saidia, vinginevyo nyamaza! - JamiiForums
Wandugu, hapa nafanya tuu follow up ya Corona nikipitia kujikumbusha niliwahi kuandika nini au kusema nini kuhusu Corona na hiki kinacho endelea sasa. Corona is real tusifanye masihara, tujilinde kwa kufuata ushauri wa kitaalamu.

Kila Jumamosi asubuhi kuanzia saa 1:30 hadi saa 3:00 asubuhi , Star TV, huwa ninakuwa live kwenye kipindi cha TV cha Jicho Letu Ndani ya Habari ambacho huwa kinatangwa live na Star TV kila siku za Jumamosi asubuhi, kwa Jumamosi ya kesho, mgeni wetu ni Waziri wa Habari, Dr. Harrison Mwakyembe tukijadili kuhusu athari za Corona kwenye sekta ya Habari, nini kifanyike.

Ukipata nafasi karibu utufuatilie.

P
 
Back
Top Bottom