Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
Pambano limekuwa moto sasa CCM ikiwa na point nyingi za ushindi wakati Serikali ikiwa na Hali mbaya sana, tuwaamue au tuwaache watoane ngeu? Kazi inayofanya Makonda ilitakiwa ifanywe na wapinzani lakini sasa wapinzani hata hawajui wafanye nini!
Maana adui zetu wameamua kupigana wao kwa wao, nadhani ni kwa sababu wamekosa mpambano halisi kutoka upinzani, sasa makonda anafanya kama haijui kabisa Serikali 'yaani Serikali inaanza kuiogopa CCM! CCM sasa ina meno ya kuweza kuichanachana Serikali. Asante Makonda tutawaamua endapo mmoja atatoka damu.
Maana adui zetu wameamua kupigana wao kwa wao, nadhani ni kwa sababu wamekosa mpambano halisi kutoka upinzani, sasa makonda anafanya kama haijui kabisa Serikali 'yaani Serikali inaanza kuiogopa CCM! CCM sasa ina meno ya kuweza kuichanachana Serikali. Asante Makonda tutawaamua endapo mmoja atatoka damu.