Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,770
- 121,826
Wanabodi,
Kwenye hii vita ya madawa ya kulevya iliyopamba moto baada ya kupata chachu mpya toka kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda , nimepata fursa kupitia mabandiko ya wana JF wengi.
Kama serikali ingekuwa inatoa tuzo kwa taasisi mbalimbali zilizo mstari wa mbele katika vita hii, ni pamoja na Mtandao huu wa JamiiForums, umeweka thread maalum kupiga vita madawa ya kulevya, na kuifanya sticky.
JamiiForums most of the times JF tumekuwa very active as a passive whistle Blower, sasa tuwe more proactive kwa wana JF kujitokeza kumsaidia Makonda, Mwigulu na Jeshi letu la Polisi kusaidia any info we have kupitia michango ya wana JF humu. I don't know how we can achieve this, bali tusiishie kusema tuu, kama tunaweza kutenda, pia tutende no matter how little it might be, but let's do something.
Mfano hata tuki print tuu mabandiko kuhusu Madawa ya kulevya na kutoa Hard Copy 10 tuu, it's not nothing, it is something.
Hizo Copy 10 za kwanza zitue Kwenye meza za hawa wafuatao
1.Rais wa JMT
2.VP
3.PM
4.Waziri wa Mambo ya Ndani.
5.IGP
6.Director wa TISS
7.Director wa Immigration
8.Director wa PCCB
9.Director wa Tume ya Madawa
10. Paul Makonda.
Hongera sana, Mike, Max na wana JF wengine wote mnaochangia vita hii, let's keep fighting hata kama mchango wetu hauonekani, ila tunajiwekea akiba nzuri sana ya good karma ambayo ina thamani kubwa kuliko tuzo yoyote.
Nawatakia Jumapili Njema.
Paskali.
NB: Usisahau kupitia hii thread=>Madawa ya Kulevya na aibu ya Tanzania - Yatosha sasa!
Pascal Mayalla Said;
Nikiwa mwandishi wa newsroom wakati huo nikiishi Ilala, nikapangwa kusafiri na Mkapa Sweden, US na UK, three days kabla ya safari majira ya saa 3:00 nikatembelewa na ugeni wa jamaa wawili, mwanamke na mwanaume. Wakajitambulisha na kunieleza nía ya ugeni wao.
Kiukweli nilishangaa jinsi walivyojua niko kwenye msafara, ndipo wakanijulisha mizigo yetu yote inapelekwa Ikulu siku moja kabla ya safari na haikaguliwi inasafirishwa under a diplomatic bag. Wakaniomba niwabebe parcel yao, kuwa ndiyo the safest way na kila siku ndio zao! . Fungu nililotajiwa sikuamini. Kiukweli roho ilinidunda, bulungutu limetolewa na kuwekwa mezani ni mshahara wa zaidi ya miaka 10 ya kiwango changu!.
Kiukweli niliogopa, what if itajulikana?!. Wakanihakikishia its never na wengine wote wanabeba! . Kiukweli niliogopa nikawaambia siwezi! . Jamaa walinishawishi sana mwisho wakakasirika na kuondoka kwa hasira huku wakinilaani nitakufa masikini!. Pia walinionya nikisema popote hata kwa mke wangu, wao watajua na kitakachonifika sitaweza kusimulia! .
Nikasafiri na msafara na kweli a day kabla ya safari mizigo ni Ikulu na siku ya kurudi inakabidhiwa hotelini unakuja kuipokelea Ikulu a day baada ya kurudi.
Kiukweli tukiwa huko majuu ndipo nikashangaa wenzetu wanavyofanya mi shopping ya nguvu, umasikini wa Tanzania unajulikana, mishahara ya serikali ya enzi hizo inatilisha huruma, lakini maofisa wadogo wadogo tuu wana má jumbo suitcases mawili matatu yamejaa vitu vya thamani, nikahisi usikute ni kweli! ,hivyo kuna umasikini wa baadhi yetu ni umasikini wa kujitakia. Safari zilizofuata nikataka kushawishika, roho ikakataa, bora kuwa masikini wa kutupwa with peace of mind luliko kuwa tajiri mwenye mashaka.
That was then, sijui how the situation is of now, ndio maana kulipoibuka tuhuma hii kuhusu China, niliuliza swali hili.
Membe amejuaje Contents za 'Diplomatic Bag'? Uwezo kukanusha kaupata wapi? - Tusidanganyane!
Paskali
Kwenye hii vita ya madawa ya kulevya iliyopamba moto baada ya kupata chachu mpya toka kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda , nimepata fursa kupitia mabandiko ya wana JF wengi.
Kama serikali ingekuwa inatoa tuzo kwa taasisi mbalimbali zilizo mstari wa mbele katika vita hii, ni pamoja na Mtandao huu wa JamiiForums, umeweka thread maalum kupiga vita madawa ya kulevya, na kuifanya sticky.
JamiiForums most of the times JF tumekuwa very active as a passive whistle Blower, sasa tuwe more proactive kwa wana JF kujitokeza kumsaidia Makonda, Mwigulu na Jeshi letu la Polisi kusaidia any info we have kupitia michango ya wana JF humu. I don't know how we can achieve this, bali tusiishie kusema tuu, kama tunaweza kutenda, pia tutende no matter how little it might be, but let's do something.
Mfano hata tuki print tuu mabandiko kuhusu Madawa ya kulevya na kutoa Hard Copy 10 tuu, it's not nothing, it is something.
Hizo Copy 10 za kwanza zitue Kwenye meza za hawa wafuatao
1.Rais wa JMT
2.VP
3.PM
4.Waziri wa Mambo ya Ndani.
5.IGP
6.Director wa TISS
7.Director wa Immigration
8.Director wa PCCB
9.Director wa Tume ya Madawa
10. Paul Makonda.
Hongera sana, Mike, Max na wana JF wengine wote mnaochangia vita hii, let's keep fighting hata kama mchango wetu hauonekani, ila tunajiwekea akiba nzuri sana ya good karma ambayo ina thamani kubwa kuliko tuzo yoyote.
Nawatakia Jumapili Njema.
Paskali.
NB: Usisahau kupitia hii thread=>Madawa ya Kulevya na aibu ya Tanzania - Yatosha sasa!
Pascal Mayalla Said;
Nikiwa mwandishi wa newsroom wakati huo nikiishi Ilala, nikapangwa kusafiri na Mkapa Sweden, US na UK, three days kabla ya safari majira ya saa 3:00 nikatembelewa na ugeni wa jamaa wawili, mwanamke na mwanaume. Wakajitambulisha na kunieleza nía ya ugeni wao.
Kiukweli nilishangaa jinsi walivyojua niko kwenye msafara, ndipo wakanijulisha mizigo yetu yote inapelekwa Ikulu siku moja kabla ya safari na haikaguliwi inasafirishwa under a diplomatic bag. Wakaniomba niwabebe parcel yao, kuwa ndiyo the safest way na kila siku ndio zao! . Fungu nililotajiwa sikuamini. Kiukweli roho ilinidunda, bulungutu limetolewa na kuwekwa mezani ni mshahara wa zaidi ya miaka 10 ya kiwango changu!.
Kiukweli niliogopa, what if itajulikana?!. Wakanihakikishia its never na wengine wote wanabeba! . Kiukweli niliogopa nikawaambia siwezi! . Jamaa walinishawishi sana mwisho wakakasirika na kuondoka kwa hasira huku wakinilaani nitakufa masikini!. Pia walinionya nikisema popote hata kwa mke wangu, wao watajua na kitakachonifika sitaweza kusimulia! .
Nikasafiri na msafara na kweli a day kabla ya safari mizigo ni Ikulu na siku ya kurudi inakabidhiwa hotelini unakuja kuipokelea Ikulu a day baada ya kurudi.
Kiukweli tukiwa huko majuu ndipo nikashangaa wenzetu wanavyofanya mi shopping ya nguvu, umasikini wa Tanzania unajulikana, mishahara ya serikali ya enzi hizo inatilisha huruma, lakini maofisa wadogo wadogo tuu wana má jumbo suitcases mawili matatu yamejaa vitu vya thamani, nikahisi usikute ni kweli! ,hivyo kuna umasikini wa baadhi yetu ni umasikini wa kujitakia. Safari zilizofuata nikataka kushawishika, roho ikakataa, bora kuwa masikini wa kutupwa with peace of mind luliko kuwa tajiri mwenye mashaka.
That was then, sijui how the situation is of now, ndio maana kulipoibuka tuhuma hii kuhusu China, niliuliza swali hili.
Membe amejuaje Contents za 'Diplomatic Bag'? Uwezo kukanusha kaupata wapi? - Tusidanganyane!
Paskali