Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,125
- 8,231
Imani yako imekuzidi kimo. Akili yako inataka kufika kikomo cha kujiaminisha Gwajiuno ni mungu' wako hapa duniani.Amekosea huyu na kukubaliana naye ktk mawazo hayo ni kukubaliana na mawazo ya kishirikina...
Paschal Mayalla anamjadili Bishop Rev. Josephat Gwajima huku akiwa hamfahamu vizuri...
Huyu Mchungaji akisimamia kitu anachokiamini, kamwe hawezi ku - back down na kamwe hawezi kurudi nyuma wala kusujudu mashetani na mipango yao...!
Yule ni 'tapeli mwerevu' kwa muda sasa, siku zake zipo mashakani !!