Mhujumu Uchumi
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,541
- 3,523
nilikuwa nakereka sana ile umechukua kikopo cha babycare kwenda kupiga penzi binafsi bafuni ukiamini hakuna mtu wote wapo madarasani mara linaamka doja kutoka bweni lingine linakuja kuswaki kwenye slabs za bafuni ilihali nje huko kuna slabs zingine lingeweweza kuswakiTupia kisa chako kilichokua kinakuudhi kipindi upo high school
Cha kwangu kilichokua kinaniudhi ni ile tabia ya baadhi ya wanafunzi maarufu kama wasongo kujua ratiba zote za shule kubwa kubwa mf Feza schools, Tabora boys , Tosamaganga, Minaki n.k
Tabia hiyo ilikua inaniudhi Sana ingawa nilikuwa vizuri kimasomo pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo story haikumfikia mjela jela.....................vipi hujawahi kukutana na visanga vya mzee msengi??
Mara kibao mkuu, Kuna day alikua anagawa ugari bana sasa kakawa kanawambia watu nyoosheni mstar alikua anapenda haki Sana akikuta mtu kasimama nje ya mstar kanamchapa na kutokumpa chakula.hiyo story haikumfikia mjela jela.....................vipi hujawahi kukutana na visanga vya mzee msengi??
hahahahaha lile life acha......................naskia miaka ya hivi karibuni sokoine ndio wamekua wahuni wa shule,Rugambwa cha mtotoMara kibao mkuu, Kuna day alikua anagawa ugari bana sasa kakawa kanawambia watu nyoosheni mstar alikua anapenda haki Sana akikuta mtu kasimama nje ya mstar kanamchapa na kutokumpa chakula.
Aisee nilikua nimepanga mstar nashangaa zangu uwanjani kumbe mstari umehamia upande mwingine kaliniponiona kaliruka na mm Kofi moja kidogo niiunike nako sema nkasema hapa ntakosa shule
Sent using Jamii Forums mobile app
Sanaa pale wahuni wengi sokoine maana si wako mbali na shule na barabaranhahahahaha lile life acha......................naskia miaka ya hivi karibuni sokoine ndio wamekua wahuni wa shule,Rugambwa cha mtoto
nilikuwa karibu na viongozi......ila madogo wa form 5 mwaka uliofuata niliwakimbizaSanaa pale wahuni wengi sokoine maana si wako mbali na shule na barabaran
Mkuu walishawahi kukukimbiza ZAINA ZAINA kipindi unaripot fom 5
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah we mkuu ulifanya sio poa, mm nilikimbizwa nililaani saaaana icho kitendo Mana nikifika day 1 usiku wake jamaa wakatuamsha tuende kufanya mazoezi bana kumbe ZAINA ZAINA tulikimbia toka sa Saba usiku mpaka sa 11 asubuh.nilikuwa karibu na viongozi......ila madogo wa form 5 mwaka uliofuata niliwakimbiza
Dah mwamba eeh....yan msuli wa a level wakat mwingne unajuwaga kama uchawi vileSomo la "bio" lil fanya niichukie a level at the end of time , msul na matokeo two very diferent
Sent using Jamii Forums mobile app
Pcb siku zote ni fujo mkuu...... By njoss boe
Tabia ya kuchorana sipendi miiiViranja wa msosi kujiona miungu watu..Kingine walimu kusimamia effectively swala la kilimo na ufyekaji nyasi kuliko masomo...Nyakato high school (Bukoba)
Afu kila shule sasa huwa wanakuwa na fujo mnoo, sijui kwanini?Pcb siku zote ni fujo mkuu...... By njoss boe
Hii tabia siipendi hat kidogo, yaan nlivokuwa advance kuna sku nkaingia bafun wallah kunanuka shahawa tyuuh, ile ntembee hivi lol nkala msala kuteleza yaan had leo sitak hat kuskia hii kitu.nilikuwa nakereka sana ile umechukua kikopo cha babycare kwenda kupiga penzi binafsi bafuni ukiamini hakuna mtu wote wapo madarasani mara linaamka doja kutoka bweni lingine linakuja kuswaki kwenye slabs za bafuni ilihali nje huko kuna slabs zingine lingeweweza kuswaki
Mda mwingine chand's zinawachanganyaAfu kila shule sasa huwa wanakuwa na fujo mnoo, sijui kwanini?
Duuuh yaan shule zote nlizopita pcb walikuwa na kilanga vs kisanga had sio poaaah, khaaahMda mwingine chand's zinawachanganya
From Galanosi Tanga, zamu za kuchunga ng'ombe zilikuwa zinaniboa sana..
Waliopita pale kupiga CBA wanaelewa hili