Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
- Thread starter
- #221
Nina homa Kali toka jana. Hata usiku sikuweza lala. Nikiwa vizuri ntaendelea.leo sijaweza enda hata kazini.
Pole mkuu..usisahau kujifukiza si unajue tena.. "kuna watu walienda kuchanjwa nje ya nchi wakatuletea korona ya ajabu ajabu?!!"JPMNina homa Kali toka jana. Hata usiku sikuweza lala. Nikiwa vizuri ntaendelea.leo sijaweza enda hata kazini.
Nimekaa kigoma, nimeondoka muda tunapozungumzia kuwepo au kutokuwepo tunaangalia majority ya nyumba zilizopoAlikumabia kuwa ujiji hakuna nyumba nzuri ni nani, unafananisha na wapi?
Daaaaah kwan dunia ni yetu?Acha kumsumbua mchumba wangu!😄😄😄
Ujiji siyo sole alama ya kigoma, miji yote dudniani ina vitongoji vya wenyeji: Dsm, Morogoro, Arusha, Moshi, Mwanza et ceteraNimekaa kigoma, nimeondoka muda tunapozungumzia kuwepo au kutokuwepo tunaangalia majority ya nyumba zilizopo
Nimezungumzia ujiji sijazungumzia kigoma kuna sehemu inaitwa mwanga, bangwe na nyinginezoUjiji siyo sole alama ya kigoma, miji yote dudniani ina vitongoji vya wenyeji: Dsm, Morogoro, Arusha, Moshi, Mwanza et cetera
Pole sana Mkuu, mganga alisema msitangaze yaliyotokea , wewe unatangaza hapa ndio maana unaumwa! Ila pole, jifukize.Nina homa Kali toka jana. Hata usiku sikuweza lala. Nikiwa vizuri ntaendelea.leo sijaweza enda hata kazini.
Mamiloo,unakumbuka eeheeeHivi mkuu Chizi Maarifa mkasa huu ulikutokea kabla ya ule wa wewe kugombea demu na jini au??
Maana kwenye ule uzi ulisema we umekulia sinza na maisha yako yalikuwa mazuri tu na ulikuwa unapush....
Hapa umekulia huko vijijini au mi ndio ambae sielewi vizuri???
wewe mwenyewe ulisema utaleta mrejesho wako hiyo safari yako ya kusaka utajiri hapa-mpaka sasa kimya.Mimi nadhani kama una nia ya dhati ya kumsaidia mtu utamsaidia tu, sababu anachofanya ni maamuzi yake na sio yako, pia kiuhalisia unatakiwa kumpa namna ya kufika huko kwa mtaalam husika na yeye ndio atachagua mwenyewe, na sio unaanza kumpa tahadhari ambazo hazina msingi, mimi nadhani ni mmoja wa watu ambao niliwahi kukuomba connection lakini hukunipa na sidhani hata msg yangu ulijibu, embu mwisho wa siku tuache unafiki, mtu akikuomba kitu kama hutaki sema sitaki kukupa, sio unazunguka zunguka na kutoa vitisho na tahadhari ..kwani anayeamua kufuata hio njia hajui? Anyway ni makavu laivu nakupa mzee baba, na wengine wenye tabia kama yako, nimepata shida kupata connection lakini kuna wenye nia ya dhati ambao wamenisaidia.
🤣🤣🤣Daaaaah kwan dunia ni yetu?
Mkuu Igwe!! Long time sana! Heri ya mwaka mpya 2021!!wewe mwenyewe ulisema utaleta mrejesho wako hiyo safari yako ya kusaka utajiri hapa-mpaka sasa kimya.
...wewe pia ni muongo na mnafki pia!
...heri ya mwaka mpya na wewe mkuu.Mkuu Igwe!! Long time sana! Heri ya mwaka mpya 2021!!
Asante! Mi nipo sana, nadhani tunapishana tu...heri ya mwaka mpya na wewe mkuu.
Ni kweli siku mingi no see you mkuu.
Mihangaiko mingi mkuu-tunapishana.Asante! Mi nipo sana, nadhani tunapishana tu
We mbona umecoment?Kwani mkitulia bila ku comment mnapata shida gani?
Mkuu Jimena mara nyengine mtu huleta story fulani hivi ya kutunga na akavaa uhalisia kama yeye ndo staring wa hiyo story, lakini mwisho wa siku ni kutaka tu kuburudisha wana jf na pia kupunguza stress kwa baadhi yao, kwa hiyo binafsi mwanajf mwenzetu chizi maarifa iwe halisi au fiction itakuwa imetufikia na pengine tukapata pia mafundisho ndani yake.Hivi mkuu Chizi Maarifa mkasa huu ulikutokea kabla ya ule wa wewe kugombea demu na jini au??
Maana kwenye ule uzi ulisema we umekulia sinza na maisha yako yalikuwa mazuri tu na ulikuwa unapush....
Hapa umekulia huko vijijini au mi ndio ambae sielewi vizuri???
Na kinachofanya uhisi haya hajayapitia ni nini....haya maisha watu wanazunguka na wanapitia mengi chiefMkuu Jimena mara nyengine mtu huleta story fulani hivi ya kutunga na akavaa uhalisia kama yeye ndo staring wa hiyo story, lakini mwisho wa siku ni kutaka tu kuburudisha wana jf na pia kupunguza stress kwa baadhi yao, kwa hiyo binafsi mwanajf mwenzetu chizi maarifa iwe halisi au fiction itakuwa imetufikia na pengine tukapata pia mafundisho ndani yake.
Kwa hiyo usishangae kila story anayoleta yeye ndio muhusika wa hiyo story.