Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

Mimi nadhani kama una nia ya dhati ya kumsaidia mtu utamsaidia tu, sababu anachofanya ni maamuzi yake na sio yako, pia kiuhalisia unatakiwa kumpa namna ya kufika huko kwa mtaalam husika na yeye ndio atachagua mwenyewe, na sio unaanza kumpa tahadhari ambazo hazina msingi, mimi nadhani ni mmoja wa watu ambao niliwahi kukuomba connection lakini hukunipa na sidhani hata msg yangu ulijibu, embu mwisho wa siku tuache unafiki, mtu akikuomba kitu kama hutaki sema sitaki kukupa, sio unazunguka zunguka na kutoa vitisho na tahadhari ..kwani anayeamua kufuata hio njia hajui? Anyway ni makavu laivu nakupa mzee baba, na wengine wenye tabia kama yako, nimepata shida kupata connection lakini kuna wenye nia ya dhati ambao wamenisaidia.
wewe mwenyewe ulisema utaleta mrejesho wako hiyo safari yako ya kusaka utajiri hapa-mpaka sasa kimya.
...wewe pia ni muongo na mnafki pia!
 
Hivi mkuu Chizi Maarifa mkasa huu ulikutokea kabla ya ule wa wewe kugombea demu na jini au??

Maana kwenye ule uzi ulisema we umekulia sinza na maisha yako yalikuwa mazuri tu na ulikuwa unapush....
Hapa umekulia huko vijijini au mi ndio ambae sielewi vizuri???
Mkuu Jimena mara nyengine mtu huleta story fulani hivi ya kutunga na akavaa uhalisia kama yeye ndo staring wa hiyo story, lakini mwisho wa siku ni kutaka tu kuburudisha wana jf na pia kupunguza stress kwa baadhi yao, kwa hiyo binafsi mwanajf mwenzetu chizi maarifa iwe halisi au fiction itakuwa imetufikia na pengine tukapata pia mafundisho ndani yake.
Kwa hiyo usishangae kila story anayoleta yeye ndio muhusika wa hiyo story.
 
Mkuu Jimena mara nyengine mtu huleta story fulani hivi ya kutunga na akavaa uhalisia kama yeye ndo staring wa hiyo story, lakini mwisho wa siku ni kutaka tu kuburudisha wana jf na pia kupunguza stress kwa baadhi yao, kwa hiyo binafsi mwanajf mwenzetu chizi maarifa iwe halisi au fiction itakuwa imetufikia na pengine tukapata pia mafundisho ndani yake.
Kwa hiyo usishangae kila story anayoleta yeye ndio muhusika wa hiyo story.
Na kinachofanya uhisi haya hajayapitia ni nini....haya maisha watu wanazunguka na wanapitia mengi chief
 
Back
Top Bottom