Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

Miaka kama mi3 iliyopita nlikua na stress zangu nikakaa 40/40 nikaagiza nyagi... baada ya muda wakaja wana... tukaendeleza mwendo wa nyagi..... kustuka saa5 afu mambo yameshaanza kuzidi unga(usiombe ukala nyagi af una stress)..... nikaaga.

ile natoka ivi kuna wana wawili walikua na mamanzi zao kama wanne ivi... moja ina "kagugu" ya maana nlisjishangaa tu nimelipiga lile tk kofi "paaaaa" yule manzi akastuka balaa... akanimwagia maji.... basi kwa mwendo wa kibudha nikaomba radhi..... nikatoka nje af nikaanza kumgeuka tena.... nammaindi mwana ananiondoaje wakati demu kanimwagia maji..... daaaaaaaaaa.
'Kagugu' ya maana ndiyo kusema alikuwa kabeba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilipata kazi 3, kisa nilikuwa napiga ile asubuhi kabla ya interview viroba vinne vya Konyagi nachanganya na sprite. Kuna sehemu nilifanyiwa interview na wazungu, ilikuwa Moshi kiwanda cha sukari, tukiwa njiani na wenzangu tunarudi Moshi mjini kabla hata hatujapata gari HR akanipigia kuwa nimepata kazi nisiondoke kesho nikasaini mkataba. Ila niliachana nao, mshahara kiduchu sana. Hata hii kazi ninayofanya sasa niliipata kwa nguvu za viroba.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa kama ninakiri!

Kitendo kilichonifanya kuacha kunywa pombe ni tukio la aibu nililolifanya miaka 30 iliyopita, lakini hadi leo bado linanibungua kichwa kwa aibu ile!

Miaka hiyo nilikuwa ninaishi 'kotaz' nyumba zenye kufanana kuanzia sura, rangi na mpaka mazingira ya nje.

Kimbembe kilipoanzia ni pale nilipotoka safari na kukuta 'ugeni' wa rafiki yangu wa siku nyingi kanitembelea hapo nyumbani.

Mahali gani pazuri pa kumpeleka 'outing' huyu ndugu akasuuze roho yake, hakuna pengine ni bar tu!

Sa9 alasiri tayari tupo kwenye meza ndefu tunakunywa, baada kama ya saa1 na nusu nikamuona mgeni wangu 'keshanitaimu' kalewa tayari mimi bado mkavu na bia hazinibambi, nikaona kama ananisanifu, sasa nifanyeje kufukia mashimo?

Wakati natafakari cha kufanya, nikaona mgeni wangu yupo chakari kabisa, nikaitisha tax ikampeleka nyumbani, mi nikabaki bar.

Bia zilivyoendelea kudunda nikaona niagize pombe kali nimix ili kupata ulabu kwa kasi, kumbe ninajitengenezea sumu!

Nikachukua viroba viwili vya 'power' (pombe ilikuwa inaingizwa toka Zambia)nikavimiminia kwenye chupa ya bia na kuanza kuifakamia.

Kumbukumbu zangu ndiyo zilipokomea hapo, yaliyofuata ni simulizi tu nilizokuja kusimuliwa bila mimi kukumbuka hata1.

Inaonekana ilipofika sa1 niliondoka bar kwa miguu kuelekea nyumbani, maana hapakuwa mbali sana.

Nilipofika, kwa kuwa nyumba zinafanana sana, nikakosea nikaingia nyumba kama yangu,lakini line ya mbele kabla sijafika kwangu.

Nilipofika nikaingia ndani na kupitiliza moja kwa moja chumbani kulala, wakati wenye nyumba wapo nje wanaongea!

Walipoingia wakakuta nimelala kitandani kwao na tayari 'shaharibu'.

Wakaenda kwa ghadhabu kumueleza 'wife' aje kunichukua, akakuta siamshiki wala sibebeki.

Njia iliyotumika kunitoa pale na kunipeleka kwangu pamoja na aibu yote niliyoifanya ndani ya nyumba hiyo na kwa familia hiyo, niliporudiwa fahamu na kusimuliwa, nilitamani dunia ipasuke inimeze!

Kwa unyenyekevu mkubwa, nikaiomba radhi familia hiyo na tangia hapo nikaacha pombe moja kwa moja mpaka takapokufa.
.


Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh

Uliharisha kitandani kwa baba mwenye nyumba mkuu?
 
Pombe mbaya
IMG_20200814_150441_535.jpg
 
Kuna pombe inaitwa "PINGU" hii ukiagiza tu, bila kujali kama wewe ni gangwe, kijogoo, kingunge, taita, mwamba au memba wa kudumu lazma mama muuza akufunge kwanza kamba upande wa chini wa suruali ndo mwende sawa.
😅😅 dah nimejikuta nacheka sana
 
Miaka kama mi3 iliyopita nlikua na stress zangu nikakaa 40/40 nikaagiza nyagi... baada ya muda wakaja wana... tukaendeleza mwendo wa nyagi..... kustuka saa5 afu mambo yameshaanza kuzidi unga(usiombe ukala nyagi af una stress)..... nikaaga.

ile natoka ivi kuna wana wawili walikua na mamanzi zao kama wanne ivi... moja ina "kagugu" ya maana nlisjishangaa tu nimelipiga lile tk kofi "paaaaa" yule manzi akastuka balaa... akanimwagia maji.... basi kwa mwendo wa kibudha nikaomba radhi..... nikatoka nje af nikaanza kumgeuka tena.... nammaindi mwana ananiondoaje wakati demu kanimwagia maji..... daaaaaaaaaa.
Mkuu! Ni wewe? na hii ni tabia yako ya siku zote ukilewa, kuna mtu nilimsikia akisimulia matukio yako ile siku
 
Mkuu! Ni wewe? na hii ni tabia yako ya siku zote ukilewa, kuna mtu nilimsikia akisimulia matukio yako ile siku

acha mambo izo mkuu..... hahahahaha huwa nafika mara chache sana... mi huwa sipendi kuzoeleka katika kiwanja kimoja..... baada ya siku ile nilikuja siku nyingine polisi wakazingua tukapelekwa buguruni......
 
Kali yangu moja ya tungi nipo bar na friends kula sana tungi hata siku mbuki idadi ya chupa mida ya kama saa saba ucku nikarudi zangu home fresh nacho kumbuka nilifungua geti fresh nika ingiza gari vizuri tu kumbe bhana nilipo fika nili park siku funga mlango wa gari na nika iacha ipo silence siku izima hii nilikuja kuambiwa asubuh...
Mbaya kuliko nika ingia ndani moja kwa moja mpaka kwenye chumba cha dada wa kazi nika lala naskia eti dada wa kazi kuona nime vamia chumba akaenda kulala sitting room ila wife hakuelewa kabisa ilo somo maana nakuja kushtuka asubuhi nipo chumba cha dada wa kazi ila baadae atakua ali elewa tu maana nili rudisha chenji kwenye shuka za dada wa kazi akajua huyu jamaa atakuwa alizidiwa na tungi .... ila ilinichukua siku nzima kumuelewesha ilo jambo.
Nadhani mkuu ulikuwa unakula hio beki taraaa, so siku hio pombe ikakutuma ukale mzgo wa beki taraaaa
 
Baada ya kuutwika kwenye sherehe ya kazini nilimtongoza mama mmoja mwenye cheo chake, nae akawa anacheka tu. Mimi ndio nazidi kumpa maneno mbele ya watu. Party iliisha kila mtu akaenda zake. Jumaatatu yule mama akaniita na kuniambia Ni mwambie yale maneno niliyo muambia siku ya party halafu alikua serious.
Hehehehe... Mbwa kala mbwa....
 
acha mambo izo mkuu..... hahahahaha huwa nafika mara chache sana... mi huwa sipendi kuzoeleka katika kiwanja kimoja..... baada ya siku ile nilikuja siku nyingine polisi wakazingua tukapelekwa buguruni......
Kama ni wewe lakini!, Iyo siku tukio kama uliloeleza lilitokea 40/40 ule mda unabishana nje kuna mwamba akawa anipanga kuwa ukishalewa huogopi hata demu akiwa na jamaa ake we unaenda tongoza
 
Hapa kama ninakiri!

Kitendo kilichonifanya kuacha kunywa pombe ni tukio la aibu nililolifanya miaka 30 iliyopita, lakini hadi leo bado linanibungua kichwa kwa aibu ile!

Miaka hiyo nilikuwa ninaishi 'kotaz' nyumba zenye kufanana kuanzia sura, rangi na mpaka mazingira ya nje.

Kimbembe kilipoanzia ni pale nilipotoka safari na kukuta 'ugeni' wa rafiki yangu wa siku nyingi kanitembelea hapo nyumbani.

Mahali gani pazuri pa kumpeleka 'outing' huyu ndugu akasuuze roho yake, hakuna pengine ni bar tu!

Sa9 alasiri tayari tupo kwenye meza ndefu tunakunywa, baada kama ya saa1 na nusu nikamuona mgeni wangu 'keshanitaimu' kalewa tayari mimi bado mkavu na bia hazinibambi, nikaona kama ananisanifu, sasa nifanyeje kufukia mashimo?

Wakati natafakari cha kufanya, nikaona mgeni wangu yupo chakari kabisa, nikaitisha tax ikampeleka nyumbani, mi nikabaki bar.

Bia zilivyoendelea kudunda nikaona niagize pombe kali nimix ili kupata ulabu kwa kasi, kumbe ninajitengenezea sumu!

Nikachukua viroba viwili vya 'power' (pombe ilikuwa inaingizwa toka Zambia)nikavimiminia kwenye chupa ya bia na kuanza kuifakamia.

Kumbukumbu zangu ndiyo zilipokomea hapo, yaliyofuata ni simulizi tu nilizokuja kusimuliwa bila mimi kukumbuka hata1.

Inaonekana ilipofika sa1 niliondoka bar kwa miguu kuelekea nyumbani, maana hapakuwa mbali sana.

Nilipofika, kwa kuwa nyumba zinafanana sana, nikakosea nikaingia nyumba kama yangu,lakini line ya mbele kabla sijafika kwangu.

Nilipofika nikaingia ndani na kupitiliza moja kwa moja chumbani kulala, wakati wenye nyumba wapo nje wanaongea!

Walipoingia wakakuta nimelala kitandani kwao na tayari 'shaharibu'.

Wakaenda kwa ghadhabu kumueleza 'wife' aje kunichukua, akakuta siamshiki wala sibebeki.

Njia iliyotumika kunitoa pale na kunipeleka kwangu pamoja na aibu yote niliyoifanya ndani ya nyumba hiyo na kwa familia hiyo, niliporudiwa fahamu na kusimuliwa, nilitamani dunia ipasuke inimeze!

Kwa unyenyekevu mkubwa, nikaiomba radhi familia hiyo na tangia hapo nikaacha pombe moja kwa moja mpaka takapokufa.
.


Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ww hyo mbona ndogo mkuu hujazngua wala.. Mimi j2 moja saa moja nko bar siku hyo dili langu la online freelancing kipind nko chuo lilitema nkaotea kama dollar 780 nimeisubiria karbia 2month aisee mpaka inafika saa 10:30am niko bati siunaelewa valeur kubwa ukipiga mwenyew.

Nkaona ngoja nikachek sehem flan nyama choma si nimefika sehem nkakuta watu wamekaa naona sahan zinaandaliwa nkasema yes kumbe ni harambee ya kanisa nkaingia nkakaa na mimi msafara nkaunga pastor ananipimia tu, baada ya menu nkawasalimia wote alaf nkalaza.

Nkaamia bar ingne agiza mdudu na ugali aisee baada ya kula si nkaletewa tissue nikaushe mikono nkaona pilipil iko mezan mi nimeshika tissue kumbe najua ni nyama.. Nkachomvea tissue kweny pilipil alaf nikaitupia mdomon aisee kulikuwa na meza pemben wale masister walicheka kinoma mpaka wakaja kukaa meza moja na mimi nachokumbuka asubuh nimeamka nko kifua waz alaf naangalia nko wap naona geto flan lina pochi ya kike na nguo,tv kumbe nliondoka na dem mmoja.

Nimetoka room seblen namkuta anaandaa chai aisee mpaka nikawa sielew, nkapiga chai nkatoka simu inaita kumbe nliacha nkaibuka bar nkachukua koti nkaeka gambe tena jion yake nlijikuta nipo town alaf sijui nimeenda fwata nin aise acha kabsa.
 
Back
Top Bottom