Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

Siku ingine nilifakamia sana pombe mchanganyiko nilikuwa na binamu yangu wakati tunaondoka tupo ndani ya daladala mimi tu ndo nilikuwa muongeaji watu wote vicheko. Tuliposhuka nikawa naenda njia ambayo sio binamu yangu akaniita.

Tulipofika nyumbani nikasema ngoja nikanywe ya mwisho wakati narudi nikapotea tena nyumbani nikashtuka kuwa nimepotea nyumba baada ya kuona sifunguliwi mlango.
Ulisalimika?
 
Mwaka 2008, Nilikuwa Mbeya Tukuyu Kikazi, Nilikuwa nimetokea Mbeya Mjini ambapo Kuna baridi, Dose yangu ilikuwa Tusker Kumi,

Kwenda Tukuyu Nikaendelea na dose ileile bila kugundua kuwa Hali ya hewa ya Tukuyu Ni Tofauti na Mbeya Mjini. Na Pombe. Hukolea kwenye Joto, Tukuyu Kuna Joto.

Mzee Mzima Nikavesha Kama kawaida, mpaka saa tano FULANI hivi, Sasa kimbembe Nikasahau Guest, Nikaenda kugonga Nyumba ambayo Inaangaliana na Guest Huku Povu likinitoka kwanini wafunge na Mimi bado sijarudi.

Ebwana mlango ulifunguliwa na Mbaba mmoja akiwa na njemba tatu (Watoto wake) Nilichezea vitasa vyakutosha kila nikiweka Gurd wapi.

Niliokolewa na Staff wenzangu Baada ya kuhisi kuwa sijarudi na wanasikia kelele za sauti yangu.

Asee hiyo ilikuwa moja Ila Pombe kuacha bado nafikiria.
Ulikunywa bia ngapi hadi unasahau nyumba?
 
Nimemaliza form six nimerudi home hyo week kulikua na harusi ya bro mmoja hivi jirani. So tukaenda harusini nikajifanya na mimi nimekua nikanywa castel 6 sio light.

Aisee nilicheka kuanzia ukumbini, barabara nzimaaa nacheka nakuongea hovyo hovyo. Kesho yake nilipokea simu kila pande nalaumiwa nimekua mtoto gani nimejifunza tabia mbaya na mengine mengii, mbaya zaidi ni mama yangu aliekua ananiamini kwa kweli nilijiona kama nimemuabisha.

Toka siku hyo sijawahi kurudia na wala sitarudia kunywa hiyo kitu. Kwanza hazina faida yyt niliambulia kuumwa tuu kichwa asubui. Ni miaka kumi na kitu ilopita
 
Unapoanzisha uzi uwe unawaza madhara yake

Mimi naona hapa lengo lako litatimia tu, halafu tuone utapata nini

Ilikuwa mwaka juzi sijui hili hili lijamii forum lilinofanya kesho yake nikajikuta nimegeuka kambale.
Kule kwenye uzi wetu pendwa, sasa wewe haya umeyaleta huku. Nilikuwa nikiagiza kwa kutumia menyu za wadau walizokuwa wanapost kwenye uzi wetu pendwa. Kuja kushtuka aseeeeeeeeeeeeee, nishageuka kambale. Walikosea wakanifungia stoo yao sikuishuhudia siku kuu wa la msindikizo wake. Picha zilizagaa saana kimbembe nikuzikubali au kuzikataa
 
Hivi kwa nini walevi wakinywa pombe wanaongea sana kiingereza kuna uhusiano gani kati ya pombe na kiingereza

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
kwasababu pombe wanazokunywa zimevumbuliwa na wazungu ukitaka uwamini nenda matako bar kwenye pombe za kienyeji uwone watu wanavyocheza singeli na kupiga kikwao tuuh kwenye , unakumbuka yule mzungu aliongeaga kiswahili baada ya kunywa mbege hile ilisababishwa na pombe iliotengenezwa na wachaga
 
Mwaka 2008, Nilikuwa Mbeya Tukuyu Kikazi, Nilikuwa nimetokea Mbeya Mjini ambapo Kuna baridi, Dose yangu ilikuwa Tusker Kumi,

Kwenda Tukuyu Nikaendelea na dose ileile bila kugundua kuwa Hali ya hewa ya Tukuyu Ni Tofauti na Mbeya Mjini. Na Pombe. Hukolea kwenye Joto, Tukuyu Kuna Joto.

Mzee Mzima Nikavesha Kama kawaida, mpaka saa tano FULANI hivi, Sasa kimbembe Nikasahau Guest, Nikaenda kugonga Nyumba ambayo Inaangaliana na Guest Huku Povu likinitoka kwanini wafunge na Mimi bado sijarudi.

Ebwana mlango ulifunguliwa na Mbaba mmoja akiwa na njemba tatu (Watoto wake) Nilichezea vitasa vyakutosha kila nikiweka Gurd wapi.

Niliokolewa na Staff wenzangu Baada ya kuhisi kuwa sijarudi na wanasikia kelele za sauti yangu.

Asee hiyo ilikuwa moja Ila Pombe kuacha bado nafikiria.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
kwasababu bombe wanazokunywa zimevumbuliwa na wazungu ukitaka uwamini nenda matako bar kwenye pombe za kienyeji uwone watu wanavyocheza singeli na kupiga kikwao tuuh kwenye , unakumbuka yule mzungu aliongeaga kiswahili baada ya kunywa mbege hile ilisababishwa na pombe iliotengenezwa na wachaga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] noma sana mkuu kumbe pombe ina faida kama ndio ivyo inawafanya watu wajuwe kiingereza vzur

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom