Lilikuwa na bima kubwa so walilipa lakini ilinitoka pesa ya kutosha tu ili kuweka mambo sawa. Mbele ya gari hapatamanikiVp gari lilipona kweli? Na gharama za kulitibu ilikuwaje?
Lilikuwa na bima kubwa so walilipa lakini ilinitoka pesa ya kutosha tu ili kuweka mambo sawa. Mbele ya gari hapatamanikiVp gari lilipona kweli? Na gharama za kulitibu ilikuwaje?
walikamatwa?Hakuwa na sababu ya kufanya hivo. Aliua just for fun, ila kabla ya huyo kuna mwenzie alikuwa akiua kwa mtindo huohuo na ndiye former wa jina KENONKE likiwa na maana ya hiki ni nini kwa kiswahili. Huyo wa kwanza yeye alikuwa akipenda kutembea usiku na bastola. Ukikutana naye mnaweza kutembea hatua kadhaa huku mnapiga story kama ilivyokawaida vijijini. Ghafla atatoa bastola na kukuuliza KENONKE na hapo unatuma salamu zako kwa marehemu wote.
ukisikia mlevi mbwa basi ndo wewe[emoji3][emoji3]Nimeshindwa yaani nisharudi hata wiki sikumaliza, wacha niendelee tu hakuna namna.
Wote kwasasa ni marehemu. Huyu wa mwisho alikamatwa baada ya tukio aliloelezea mdau hapo kuhusu hao waliouawa usiku wakiwa wanatengeneza gari.walikamatwa?
itakuwa ushirikina bila shakaWote kwasasa ni marehemu. Huyu wa mwisho alikamatwa baada ya tukio aliloelezea mdau hapo kuhusu hao waliouawa usiku wakiwa wanatengeneza gari. Mmoja kati ya waliouawa kwenye hilo tukio aliitwa YOMAMI ni jamaa aliyekuwa na pesa yake na alikuwa maarufu pia.
Hapana. Inasemekana jamaa alibambikiwa kesi akakaa gerezani muda. Alipotoka hiyo ilikuwa kama njia ya kulipa kisasi. Yule wa mwanzo ndio sababu ilikuwa ushirikina.itakuwa ushirikina bila shaka
mzee wewe ni producer?Hapana. Inasemekana jamaa alibambikiwa kesi akakaa gerezani muda. Alipotoka hiyo ilikuwa kama njia ya kulipa kisasi. Yule wa mwanzo ndio sababu ilikuwa ushirikina.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] hapana mkuu. Sijakolea, ila napiga piano kama kawamzee wewe ni producer?
nikajua studio yako hiyo[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] hapana mkuu. Sijakolea, ila napiga piano kama kawa
Hapana, japo studio ipo ya mshkajinikajua studio yako hiyo
hauvutwi hauliwi wala haumezwi ila balaa lake Usije jaribuhivi ugoro unavutwa?
Mara ya kwanza nimetupia ugoro pale mbauda Arusha sitakaa nisahauhauvutwi hauliwi wala haumezwi ila balaa lake Usije jaribu
kitu gani tunajaribu mara moja tuhauvutwi hauliwi wala haumezwi ila balaa lake Usije jaribu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].stimu zake vipi?Mara ya kwanza nimetupia ugoro pale mbauda Arusha sitakaa nisahau
Nilikaa chini jasho lilinitoka nikaona ndio nakufa hivyo
Halafu ule ugoro was mbauda wanachanganyaga na gongo na mafuta ya taa
wapi nije kurekodiHapana, japo studio ipo ya mshkaji
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Tarimewapi nije kurekodi
Ni zaidi ya adhabu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].stimu zake vipi?
[emoji23][emoji23][emoji23]Achana na pombe mkuu. Walevi hawafiki mbinguni
waliowahi kugusa ugoro wa Arusha ule wenyewe wanajua balaa lake..Mara ya kwanza nimetupia ugoro pale mbauda Arusha sitakaa nisahau
Nilikaa chini jasho lilinitoka nikaona ndio nakufa hivyo
Halafu ule ugoro was mbauda wanachanganyaga na gongo na mafuta ya taa