Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

Pombe imeniletea visa vingi sana hapa duniani, nilikwenda Mbeya kikazi miaka tisa au kumi iliyopita. Kukawa kuna baa mpya inazunduliwa pale Uyole njia panda inaitwa Queen bar, nilikunywa pombe nakuja kuzinduka alfajiri nimelala kwenye mashamba ya mahindi ya chuo cha kilimo.

Yaani badala ya kwenda guest niliyofikia nikaenda upande mwingine kabisa.
 
Ninachoamini KONYAGi ina format ubongo ukinywa,unasahau kila kitu kabisa.nilicheza nikimshika shika bosi mkubwa ofisini Sikh kuna sherehe kazini,ukichukulia Mimi ni mpole siongei kabisa...na mengine mengi imenitenda hasa matumizi mabaya ya hela na ngono zembe!

Pombe niliipenda ila haikunipenda kazi kunifanya minute tu asub,nimeachana nayo.
 
Kuna siku nikiwa bachela ndio nimeanza anza kazi Nina pea moja tu ya viatu vizuri vya kuendea mjini na kazini. Sasa Niko Sinza usiku nimeutwika Niko bwii narudi zangu home huku mvua imenyesha mchana na imeshaacha. Kuna ka mbalamwezi kwa mbali. Mbele yangu kukawa na bonge la dimbwi, Basi na zile pombe like dimbwi nikadhani ndio palipo kauka. Nikaliingia jumla na viatu na soksi na suruali.
Kesho yake sikutoka kwenda kazini maana sikua na viatu vingine nikashinda nimeanika viatu. KAbla havijakauka mvua ikashuka Tena. Na siku ya pili Tena sikwenda kazini nikiwa nakausha viatu..
Siku ya tatu nilipofika kazini mkwara niliowekewa ilibidi niache pombe.
Pole sana mkuu ulipitia wakati mgumu sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa ulitakiwa kutoa taarifa za uongo kazini ili ulinde kazi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna siku nikiwa bachela ndio nimeanza anza kazi Nina pea moja tu ya viatu vizuri vya kuendea mjini na kazini. Sasa Niko Sinza usiku nimeutwika Niko bwii narudi zangu home huku mvua imenyesha mchana na imeshaacha. Kuna ka mbalamwezi kwa mbali. Mbele yangu kukawa na bonge la dimbwi, Basi na zile pombe like dimbwi nikadhani ndio palipo kauka. Nikaliingia jumla na viatu na soksi na suruali.
Kesho yake sikutoka kwenda kazini maana sikua na viatu vingine nikashinda nimeanika viatu. KAbla havijakauka mvua ikashuka Tena. Na siku ya pili Tena sikwenda kazini nikiwa nakausha viatu..
Siku ya tatu nilipofika kazini mkwara niliowekewa ilibidi niache pombe.
 
Kuna siku nikiwa bachela ndio nimeanza anza kazi Nina pea moja tu ya viatu vizuri vya kuendea mjini na kazini. Sasa Niko Sinza usiku nimeutwika Niko bwii narudi zangu home huku mvua imenyesha mchana na imeshaacha. Kuna ka mbalamwezi kwa mbali. Mbele yangu kukawa na bonge la dimbwi, Basi na zile pombe like dimbwi nikadhani ndio palipo kauka. Nikaliingia jumla na viatu na soksi na suruali.
Kesho yake sikutoka kwenda kazini maana sikua na viatu vingine nikashinda nimeanika viatu. KAbla havijakauka mvua ikashuka Tena. Na siku ya pili Tena sikwenda kazini nikiwa nakausha viatu..
Siku ya tatu nilipofika kazini mkwara niliowekewa ilibidi niache pombe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nina visa lukuki vya pombe kwa miaka 25 niliyokunywa pombe.

Niliwahi kuzuiliwa kupanda ndege mara mbili kwa sababu ya kuwa chakali, mara ya kwanza ilikwa fast jet ya kwenda mbeya na mara ya pili ilkuwa nchi moja ya ughaibuni, yaani nikiwa airport nasubiri kupanda ndege nikasikia kiu, nikaenda kwenye yale maduka yao nikanunua pombe kali kwa dola 14, nikaingia chooni nikaikata yote.

Kilichofuata ni kuzuiliwa kupanda ndege hadi kesho yake.
 
Kuna siku nikiwa bachela ndio nimeanza anza kazi Nina pea moja tu ya viatu vizuri vya kuendea mjini na kazini. Sasa Niko Sinza usiku nimeutwika Niko bwii narudi zangu home huku mvua imenyesha mchana na imeshaacha. Kuna ka mbalamwezi kwa mbali. Mbele yangu kukawa na bonge la dimbwi, Basi na zile pombe like dimbwi nikadhani ndio palipo kauka. Nikaliingia jumla na viatu na soksi na suruali.
Kesho yake sikutoka kwenda kazini maana sikua na viatu vingine nikashinda nimeanika viatu. KAbla havijakauka mvua ikashuka Tena. Na siku ya pili Tena sikwenda kazini nikiwa nakausha viatu..
Siku ya tatu nilipofika kazini mkwara niliowekewa ilibidi niache pombe.
Mkwara gan mkuu
 
Nina visa lukuki vya pombe kwa miaka 25 niliyokunywa pombe. Niliwahi kuzuiliwa kupanda ndege mara mbili kwa sababu ya kuwa chakali, mara ya kwanza ilikwa fast jet ya kwenda mbeya na mara ya pili ilkuwa nchi moja ya ughaibuni, yaani nikiwa airport nasubiri kupanda ndege nikasikia kiu, nikaenda kwenye yale maduka yao nikanunua pombe kali kwa dola 14, nikaingia chooni nikaikata yote. Kilichofuata ni kuzuiliwa kupanda ndege hadi kesho yake.
Uliruhisiwa kesho yake au nauli walikuridishia na safari ya pili je?
 
Nikiwa nimepanga Temeke, majirani zangu walikuwa wakishakunywa pombe zao dah! Unajua tena nyumba ya kupanga lakini wao wakishalewa unakuta mtu kwa kisingizio cha pombe anaingia chooni na kuharisha na kueneza chooni kote, kibaya zaidi hata kujitawaza hakumbuki na wala kusafisha kule alikotapakaza kinyesi hakumbuki, then najikuta labda usiku wa manane ndio nimebanwa haja, mtu unaingia toilet unakuta kuko nyang'anyang'a. Yaani ile hakufai kabisa halafu kinyesi kishakauka [emoji2817][emoji2817][emoji2817]
Walevi muda mwingine mnaboa bana!!
 
Pombe imeniletea visa vingi sana hapa duniani, nilikwenda Mbeya kikazi miaka tisa au kumi iliyopita. Kukawa kuna baa mpya inazunduliwa pale Uyole njia panda inaitwa Queen bar, nilikunywa pombe nakuja kuzinduka alfajiri nimelala kwenye mashamba ya mahindi ya chuo cha kilimo. Yaani badala ya kwenda guest niliyofikia nikaenda upande mwingine kabisa.
Doh
 
Nikiwa nimepanga Temeke, majirani zangu walikuwa wakishakunywa pombe zao dah! Unajua tena nyumba ya kupanga lakini wao wakishalewa unakuta mtu kwa kisingizio cha pombe anaingia chooni na kuharisha na kueneza chooni kote, kibaya zaidi hata kujitawaza hakumbuki na wala kusafisha kule alikotapakaza kinyesi hakumbuki, then najikuta labda usiku wa manane ndio nimebanwa haja, mtu unaingia toilet unakuta kuko nyang'anyang'a. Yaani ile hakufai kabisa halafu kinyesi kishakauka [emoji2817][emoji2817][emoji2817]
Walevi muda mwingine mnaboa bana!!
Umepanga nyumba gani mkuu ina uswahili wa ovyoo hivyoo si Uhameee????
 
Pombe imeniletea visa vingi sana hapa duniani, nilikwenda Mbeya kikazi miaka tisa au kumi iliyopita. Kukawa kuna baa mpya inazunduliwa pale Uyole njia panda inaitwa Queen bar, nilikunywa pombe nakuja kuzinduka alfajiri nimelala kwenye mashamba ya mahindi ya chuo cha kilimo. Yaani badala ya kwenda guest niliyofikia nikaenda upande mwingine kabisa.
vipi umeacha?
 
Nikiwa nimepanga Temeke, majirani zangu walikuwa wakishakunywa pombe zao dah! Unajua tena nyumba ya kupanga lakini wao wakishalewa unakuta mtu kwa kisingizio cha pombe anaingia chooni na kuharisha na kueneza chooni kote, kibaya zaidi hata kujitawaza hakumbuki na wala kusafisha kule alikotapakaza kinyesi hakumbuki, then najikuta labda usiku wa manane ndio nimebanwa haja, mtu unaingia toilet unakuta kuko nyang'anyang'a. Yaani ile hakufai kabisa halafu kinyesi kishakauka [emoji2817][emoji2817][emoji2817]
Walevi muda mwingine mnaboa bana!!
Hao sio wa staarabu
 
Kuna jamaa yangu best sana. Alinitangulia kuoa kidogo Ila kazini tulikua pamoja na tulinunua viwanja sehemu moja Tabata na kuanza kujenga polis post wote. Kwa wale dotcom polis post Ni nyumba ya chumba sebule chumba choo na bafu nnje.

Ok. Tuendelee na Hadith. Christmas moja tulienda mkesha Kama kawaida, kutoka kanisani tukahamia bar enzi zile hakuna Makonda Wala Nini, kwenye grosare za mtaani bia mnapiga mpaka majogoo. Basi tukazianza Ile saa tano usiku, hapo ujue wanywaji wote Ni majirani na tunajuana, sasa unakuta mtu una beer tatu hazijafunguliwa, Ni mwendo wa kata mti panda miwili. Baas bwana, ilipofika majogoo mie na jamaa yangu na jirani yangu toka mkoani Geita tukaanza kurudi nyumbani.

Kufika jamaa kaingia kwake kwa mkewe na watoto wawili na mahaus geli wawili. Unajua siku ya Xmas kina mama hasa wanaokaa Tabata hupenda kupikia nje madishi kibao. Pale pilau, huku kitimoto, pale kuku, huku hausgel huyu anakata kachumbari, yule anawasha mkaa mama anasupavais na vijana wake wanacheza na baiskeli.

Kufika muda wa saa tatu watu wote wako nje. Jamaa yangu huyu ambae hajaenda jando mkojo ukambana. Pombe zikamtuma kwamba bado ni kuna giza hivyo anaweza kwenda kukojoa chap akiwa uchi na kurudi kuendelea na usingizi. Jamaa yangu akatoka nje Kama alivyozaliwa na kukojolea ukuta karibu na dirisha lake. Mke na mahausgel na watoto wameshikwa butwaa maana kidogo akojolee ungo uliokua na viungo.

Jamaa akaitingisha Kama kawaida ya wanaume na kuingia ndani kuendelea na usingizi. Jamaa kauchapa Ila kunako saa Saba harufu ya pilau ikamuamsha. Mke akamiwahi na kumwambia kabla hakatoka nje Tena na kumpasha.

ULICHOTENDA LEO HAKINA MFANO. UMERUDI ALFAJIRI UMEONA BADO HAITOSHI, UNAKUJA KUNIDHALILISHA MBELE YA HAUSEGELI NA MAJIRANI KWA KUTOKA NJE UCHI. Jamaa yangu kawa mkali na kusema hajatoka nje uchi. Bi mkubwa kaenda kumuonyesha ukutani jamaa yangu huyu mbabe alipokojolea maana japo mkojo ulishakauka lkn ramani ilikuwapo. Basi jamaa ilibidi awe mpole na kuapa pia alihamia makanisa ya walokole ambayo hayaruhusu pombe.
 
Kuna jamaa yangu best sana. Alinitangulia kuoa kidogo Ila kazini tulikua pamoja na tulinunua viwanja sehemu moja Tabata na kuanza kujenga polis post wote. Kwa wale dotcom polis post Ni nyumba ya chumba sebule chumba choo na bafu nnje.
Ok. Tuendelee na Hadith. Christmas moja tulienda mkesha Kama kawaida, kutoka kanisani tukahamia bar enzi zile hakuna Makonda Wala Nini, kwenye grosare za mtaani bia mnapiga mpaka majogoo. Basi tukazianza Ile saa tano usiku, hapo ujue wanywaji wote Ni majirani na tunajuana, sasa unakuta mtu una beer tatu hazijafunguliwa, Ni mwendo wa kata mti panda miwili. Baas bwana, ilipofika majogoo mie na jamaa yangu na jirani yangu toka mkoani Geita tukaanza kurudi nyumbani. Kufika jamaa kaingia kwake kwa mkewe na watoto wawili na mahaus geli wawili. Unajua siku ya Xmas kina mama hasa wanaokaa Tabata hupenda kupikia nje madishi kibao. Pale pilau, huku kitimoto, pale kuku, huku hausgel huyu anakata kachumbari, yule anawasha mkaa mama anasupavais na vijana wake wanacheza na baiskeli. Kufika muda wa saa tatu watu wote wako nje. Jamaa yangu huyu ambae hajaenda jando mkojo ukambana. Pombe zikamtuma kwamba bado Ni Kuna giza hivyo anaweza kwenda kukojoa chap akiwa uchi na kurudi kuendelea na usingizi. Jamaa yangu akatoka nje Kama alivyozaliwa na kukojolea ukuta karibu na dirisha lake. Mke na mahausgel na watoto wameshikwa butwaa maana kidogo akojolee ungo uliokua na viungo. Jamaa akaitingisha Kama kawaida ya wanaume na kuingia ndani kuendelea na usingizi. Jamaa kauchapa Ila kunako saa Saba harufu ya pilau ikamuamsha. Mke akamiwahi na kumwambia kabla hakatoka nje Tena na kumpasha. ULICHOTENDA LEO HAKINA MFANO. UMERUDI ALFAJIRI UMEONA BADO HAITOSHI, UNAKUJA KUNIDHALILISHA MBELE YA HAUSEGELI NA MAJIRANI KWA KUTOKA NJE UCHI. jamaa yangu kawa mkali na kusema hajatoka nje uchi. Bi mkubwa kaenda kumuonyesha ukutani jamaa yangu huyu mbabe alipokojolea maana japo mkojo ulishakauka lkn ramani ilikuwapo. Basi jamaa ilibidi awe mpole na kuapa pia alihamia makanisa ya walokole ambayo hayaruhusu pombe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna jamaa yangu best sana. Alinitangulia kuoa kidogo Ila kazini tulikua pamoja na tulinunua viwanja sehemu moja Tabata na kuanza kujenga polis post wote. Kwa wale dotcom polis post Ni nyumba ya chumba sebule chumba choo na bafu nnje.
Ok. Tuendelee na Hadith. Christmas moja tulienda mkesha Kama kawaida, kutoka kanisani tukahamia bar enzi zile hakuna Makonda Wala Nini, kwenye grosare za mtaani bia mnapiga mpaka majogoo. Basi tukazianza Ile saa tano usiku, hapo ujue wanywaji wote Ni majirani na tunajuana, sasa unakuta mtu una beer tatu hazijafunguliwa, Ni mwendo wa kata mti panda miwili. Baas bwana, ilipofika majogoo mie na jamaa yangu na jirani yangu toka mkoani Geita tukaanza kurudi nyumbani. Kufika jamaa kaingia kwake kwa mkewe na watoto wawili na mahaus geli wawili. Unajua siku ya Xmas kina mama hasa wanaokaa Tabata hupenda kupikia nje madishi kibao. Pale pilau, huku kitimoto, pale kuku, huku hausgel huyu anakata kachumbari, yule anawasha mkaa mama anasupavais na vijana wake wanacheza na baiskeli. Kufika muda wa saa tatu watu wote wako nje. Jamaa yangu huyu ambae hajaenda jando mkojo ukambana. Pombe zikamtuma kwamba bado Ni Kuna giza hivyo anaweza kwenda kukojoa chap akiwa uchi na kurudi kuendelea na usingizi. Jamaa yangu akatoka nje Kama alivyozaliwa na kukojolea ukuta karibu na dirisha lake. Mke na mahausgel na watoto wameshikwa butwaa maana kidogo akojolee ungo uliokua na viungo. Jamaa akaitingisha Kama kawaida ya wanaume na kuingia ndani kuendelea na usingizi. Jamaa kauchapa Ila kunako saa Saba harufu ya pilau ikamuamsha. Mke akamiwahi na kumwambia kabla hakatoka nje Tena na kumpasha. ULICHOTENDA LEO HAKINA MFANO. UMERUDI ALFAJIRI UMEONA BADO HAITOSHI, UNAKUJA KUNIDHALILISHA MBELE YA HAUSEGELI NA MAJIRANI KWA KUTOKA NJE UCHI. jamaa yangu kawa mkali na kusema hajatoka nje uchi. Bi mkubwa kaenda kumuonyesha ukutani jamaa yangu huyu mbabe alipokojolea maana japo mkojo ulishakauka lkn ramani ilikuwapo. Basi jamaa ilibidi awe mpole na kuapa pia alihamia makanisa ya walokole ambayo hayaruhusu pombe.
Nimecheka kama fala,...jamaaa alkua na Govinda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom