Jesuitdon
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 3,143
- 2,709
KaliKuna siku nilimwaga kichina baadaya ya kutundika mtindi mpaka wife akaenda kuita mkalimani
KaliKuna siku nilimwaga kichina baadaya ya kutundika mtindi mpaka wife akaenda kuita mkalimani
Mwanachuo anaandika Syshelly, Ofaer[emoji3][emoji3][emoji3]ndio maana Magu hawaajiriSiku moja tulienda goa, nlikuwa bangarole chuoni. Basi bwana mdada mmoja kutoka syshelly alikuwa nazo balaa. Tuko kwenye boat inatuzungusha baharini. Goa ni mji wa kitalii kama huku kwetu bagamoyo. Basi bwana kuna kitu inaitwa kingfisher ina alcohol8.6 kama sikosei. Akatoa ofaer kwa wanachuo wote katika darasa letu tulikuwa kama 20 hivi wanywe tani yao mpaka boati ikirudi nchikavu. Kila mzunguko ulikuwa 15 minutes. Alituxhukulia poa, mi mbongo nikasema hapa ndo pa kuchukulia sifa. Acha nipige tarumbeta, walikuwa wanacheza mziki mi nagida tu. Mpaka dk 15 nishatia damage kama kopo 5 hivi. Halafu ikumbukwe tulitembea usiku kucha kutoka bangarole hadi goa. Ni kama dar mwanza, na mabasi huanza safari saa 2 usiku. Tulikuwa na beer zinafleva ya soda za fanta orange na fanta black current tulizinywa sana.hadi tunafika nlkuwa hoi. Mpaka boti inafika nchikavu nlikuwa hoi walifanya kunibeba hata kusimama ni kwa shida. Nlirudisha chenj ndo hali ikawa ovyo kabisa. Utalio wangu ukaharibikia hapo. Ikabidi nikatalie kwenye buss. Naambatanisha picha nliyopiga mwenyewe nikiwa ndani ya boatiView attachment 1596389
Unajuaje sio level yangu?Pumbav kabisa. Chuoni sikwenda kujifunza kuandika majina ya nchi. Hata hivo umeelewa. Halafu shika adabu yako nina kazi nzuri na ninalipwa 3.7mil mm sio level yako
Mimi nina mwaka na nusu hadi sasa hivi sijaigusa! Naomba sana niendelee hivi hiviThanks for your appreciations. Kuna hatua flani ukifikia pombe haiachiki bila maelekezo kutoka kwa daktari baada ya kuwa na health complications. Na kama hujafikia huko si mbaya ukinywa kwaajili ya kuchangamsha mwili (Uwe na personal limits zako mwenyewe).
Ila wengi wanasema wanaacha lakini naadae wanajikuta wamepumzika kwa muda tu hahaha[emoji1][emoji1] so I wish you all the best on your quitting process.
[emoji16][emoji16][emoji16]Hahaha acha hizo bhana mrembo witness[emoji4][emoji4]
Hahahahah......huyo jamaaa asitutishe kwamba mbinguni hatufiki. Lutu alikataga bia hadi akawa chakari wala hakuadhibiwa na Mungu leo ndo tusiende kwa bia mbili tatu?Ha ha ha [emoji23]
Hapo sasa hahahaHahahahah......huyo jamaaa asitutishe kwamba mbinguni hatufiki. Lutu alikataga bia hadi akawa chakari wala hakuadhibiwa na Mungu leo ndo tusiende kwa bia mbili tatu?
Eti [emoji16][emoji16]Hahahahah......huyo jamaaa asitutishe kwamba mbinguni hatufiki. Lutu alikataga bia hadi akawa chakari wala hakuadhibiwa na Mungu leo ndo tusiende kwa bia mbili tatu?
Hahah walimu hua mnajua kupaniki.Pumbav kabisa. Chuoni sikwenda kujifunza kuandika majina ya nchi. Hata hivo umeelewa. Halafu shika adabu yako nina kazi nzuri na ninalipwa 3.7mil mm sio level yako
Uko vizuri na una uwezo wa kuendelea kutokunywa ukipenda. Kama unaipenda hali hiyo bhas endelea kuepuka mazingira ya aina yoyote yale ambayo unajua yanaweza kukurudisha huko. I hope your wish will prevailMimi nina mwaka na nusu hadi sasa hivi sijaigusa! Naomba sana niendelee hivi hivi
Pombe yangu ilikuwa wine ( Robertson
Huyu mzee ajaongelewa kabisa katika swala la ulabu, yeye ni imani tu😊😊Eti [emoji16][emoji16]
Wazee wazamani walikuwa wanajua kuutwika ulabu hasa, labda Abraham ndo sikusoma mahali kuwa alikuwa anapiga gambe
Kabisa!Huyu mzee ajaongelewa kabisa katika swala la ulabu, yeye ni imani tu[emoji4][emoji4]
Sio mwanachu huyo. Ni mdangaji fulani tu yuko Kigoma. Hiyo boti anayoongelea ilikua iko ziwa Tanganyika.Mwanachuo anaandika Syshelly, Ofaer[emoji3][emoji3][emoji3]ndio maana Magu hawaajiri
Naipenda hii hali ya "usober" sanaUko vizuri na una uwezo wa kuendelea kutokunywa ukipenda. Kama unaipenda hali hiyo bhas endelea kuepuka mazingira ya aina yoyote yale ambayo unajua yanaweza kukurudisha huko. I hope your wish will prevail
Mkuu naomba ya supu nina hangoverPumbav kabisa. Chuoni sikwenda kujifunza kuandika majina ya nchi. Hata hivo umeelewa. Halafu shika adabu yako nina kazi nzuri na ninalipwa 3.7mil mm sio level yako
Hahahaha.....Abrahamu hata mimi sikusoma, lakini huenda alikuwa anapiga. Ayubu alikuwa anakata makitu sana tu.Eti [emoji16][emoji16]
Wazee wazamani walikuwa wanajua kuutwika ulabu hasa, labda Abraham ndo sikusoma mahali kuwa alikuwa anapiga gambe
Ayubu, Lutu, wakina Musa na Haruni gambe kwa kwenda mbele[emoji1]Hahahaha.....Abrahamu hata mimi sikusoma, lakini huenda alikuwa anapiga. Ayubu alikuwa anakata makitu sana tu.
As a matter of fact gambe is nice, almradi uwe na discipline nayo.......displine, kama hiyo ya kwako unaweza kukaa mwaka na nusu bila kuonja..hahahahah. Hiyo Ni beyond discipline kwa kweli.Ayubu, Lutu, wakina Musa na Haruni gambe kwa kwenda mbele[emoji1]
Hahahaha......Huyu mzee atakuwa alikuwa anaheshimika sana, isingekuwa rahisi kuongelea maisha yake binafsi. Public figure!Huyu mzee ajaongelewa kabisa katika swala la ulabu, yeye ni imani tu😊😊