Jesuitdon
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 3,143
- 2,709
Noma mkoagan huo mgodi ulitema?Pombe ilikuwa nyingi sana, nikawa siwezi kula na nikatapika sana
Noma mkoagan huo mgodi ulitema?Pombe ilikuwa nyingi sana, nikawa siwezi kula na nikatapika sana
Jamaa walikuwa wafanyakazi wa mgodi mmoja huko kanda ya ziwa, kwa bahati mbaya wawili waliuawa kwa Risasi miaka ya 2010Noma mkoagan huo mgodi ulitema?
hela zilizidi hadi wakadunguliwa au?Jamaa walikuwa wafanyakazi wa mgodi mmoja huko kanda ya ziwa, kwa bahati wawili waliuawa kwa Risasi miaka ya 2010
Aliwahi kutokea muuaji mmoja wa bunduki pale Tarime, Hawa jamaa zangu wakawa miongoni wa waliopigwa risasi na kufariki.hela zilizidi hadi wakadunguliwa au?
aah yule jamaa aliyekuwa anapanda miliman anaanza kudungua watu for fun...Hawa
Aliwahi kutokea muuaji mmoja wa bunduki pale Tarime, Hawa jamaa zangu wakawa miongoni wa waliopigwa risasi na kufariki.
Mojawapo aliharibikiwa na gari usiku akampigia mwenzake akamsaidie. Mdunguaji akapita nao, na waliwahi kufanya kazi sehemu miaka ya nyumaaah yule jamaa aliyekuwa anapanda miliman anaanza kudungua watu for fun...
sasa walikuwa pamoja au? au qalipigwa siku mbili tofauti
Dah polen...waliwah kufanya kaz sehem moja na uyo muuaj?Mojawapo aliharibikiwa na gari usiku akampigia mwenzake akamsaidie. Mdunguaji akapita nao, na waliwahi kufanya kazi sehemu miaka ya nyuma
Alikua KKKT sasa Yuko ya kipentekostKuhama kanisa ndo msaada?
Alikuwa kanisa gani?
Siku utakapobebeshwa lawama utaachaM ua najiulza nikiacha Pombe namwachia nan?? mana sion hata wa kumwachia
Niliwahi kwenda msibani kijijini tukawa tumebeba na vinywaji kabisa, vikaisha tukaagiza lita 20 za gongo ilikuwa jirani na msibani.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] gongo vipi?
wewe na pombe mtu na pacha wake[emoji3][emoji3][emoji3] kuwa makini mzee.siku hizi kuna watu wanavizia watu waliolewa ili wawafireNiliwahi kwenda msibani kijijini tukawa tumebeba na vinywaji kabisa, vikaisha tukaagiza lita 20 za gongo ilikuwa jirani na msibani. Tumeakma asubuhi chakari hatari wengine walelala kwenye majani tu. Sijawahi kuirudia tena mkuu
Mkoa ninaoishi nina baa zangu 3 na ni mitaa yangu na ndipo nanakunywa mara nyingi, yaani watoto wa mitaa ile mimi ndo nawapa ofa dailywewe na pombe mtu na pacha wake[emoji3][emoji3][emoji3] kuwa makini mzee.siku hizi kuna watu wanavizia watu waliolewa ili wawafire
Nilirudi nikatafuta nauli mchana nikapanda zile gari ndogo zinazosafirishwa kwenda Zambia, sikuambulia nauli yangu na sikufuatilia tenaUliruhisiwa kesho yake au nauli walikuridishia na safari ya pili je?
Ile ya ughaibui niliruhusiwa kusafiri kesho yake nikiwa niko vizuri, jamaa walivyoniona kesho wanacheka tu wanasema leo uko vizuri kabisaUliruhisiwa kesho yake au nauli walikuridishia na safari ya pili je?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] naona unajilinda.pombe gani unapendelea zaidi?Mkoa ninaoishi nina baa zangu 3 na ni mitaa yangu na ndipo nanakunywa mara nyingi, yaani watoto wa mitaa ile mimi ndo nawapa ofa daily
Mbuzi Ni yule aliyekunyonyesha siku ulipoingia duniani. Kenge mdangaji weweHiyo pesa ya mwaka gani we mbuzi?