Kwani unaitumiaje Hiyo VPN na unaipataje ??Ha ha! Kuna watu wasingekuwa karibu nami mpk sahivi wangekuwa nje ya mtandao! Wacha nijisifu maana niligutuka mapema mno kulitambua hili likiwa bado hatua za awali! Wengine waliona kama ajabu kurudi hewani..kama nchi tumefika pabaya siko proud na hili they are afraid of their own shadow!
Jana nilitunukiwa papuchi sababu vpn ni vyema mitandao iendelee hivi hivi waje tuwasetie
Mkuu unapeta koteFb na insta unapata??au ni hii jamii tu??msaada majibu tafadhali
Zipo nyingi apps za VPN unaweza zitafuta ukishaiweka unamaliza kila kitu.. maelezo zaidi nenda jukwaa la tech utajua nje ndani.Kwani unaitumiaje Hiyo VPN na unaipataje ??
Asante na hii vpn niipakue kwenye play store au wapi?Mkuu unapeta kote
Asante na hii vpn niipakue kwenye play store au wapi?Mkuu unapeta kote
Mkuu mbona unatutisha aiseee.Ningependa kuwakumbusha tu matumiz ya vpn ni kosa kisheria kwa mujibu wa sheria unaweza kuhukumiwa miaka saba jera na fine ya milion tatu au vyote kwa pamoja kabla hujamaliza kushangaa na kuanza kubisha nakukumbusha tu hata jamiiforum wanakes mahakaman na kosa lao ni kutumia domain ya dot com badala ya dot tz chukia tahadhar jera sio kuzuri kuna manyampara wana roho mbya na ukame wa miaka mingi.
Asanten na kwaheri
Kama utaweza pakua play store au Kama vipi tumia vyanzo vyengine japo si salama hiyo itakuwa juu yako Sasa! Kuna hii VPN inaitwa turbo vpn itafute.Asante na hii vpn niipakue kwenye play store au wapi?
Iyo turbo noma! Niko zangu Frankfurt GermanyKama utaweza pakua play store au Kama vipi tumia vyanzo vyengine japo si salama hiyo itakuwa juu yako Sasa! Kuna hii VPN inaitwa turbo vpn itafute.
Dalili zilijionesha hata kabla ya tarehe 28 wajanja wakafanya yao, Ila wale makanyelamumo bado wapo vifungoni๐๐๐๐Haha pole mkuu wengine siku ileile wanafunga baada ya muda tu tukarudi hewani. Nawaonea huruma ambao mpk sasa wapo kwenye kifungo!
Washafungua mkuu sahivi yoyote anapeta bila VPN..๐Dalili zilijionesha hata kabla ya tarehe 28 wajanja wakafanya yao, Ila wale makanyelamumo bado wapo vifungoni๐๐๐๐
Hao ni Lumumba FC CCM walijuwa kabisa wameweza kutuuondoa mtandaoni wabaki Lumumba FC kumbe Lumumba wenyewe ni MazuzuMnatumia VPN kuwasifia waliofunga internet
Ulifanikiwa?Yakutumia kwenye PC mkuu ni ipi?