Virtual Private Network (VPN) imenirudisha JF


hakuna wa kutumia Premium services kwa user wa kawaida ambao wameijua VPN baada ya TCRA kuzima mitandao.

wengi wao wanapendelea VPN za Bure au kutumia kwa Trial time

Hiyo nikiyoutaja hapo ni Cracked version, ina full swing kama Vile imelipiwa
 
Wewe unatumia nn?
 
Mkuu Mimi nipo United Kingdom huku nimechimbia.
 
Aisee ngoja tarehe 2 tuinge road maana tumefikia kubaya.
 
Kama mtu usingependa kulipia basi ni heri bora tafuta Premium VPN yenye Free Plan kama vile Windscribe wanaotoa 10GB Free kwa mwezi au TunnelBear wanaotoa 1GB lakini ukiwarusha hewani, wanakuongezea!!
Na hapo unakuwa umewakabidhi hao jamaa details zako nao wanaenda kuziuza kwa makampuni ya marketing!! Na kama "upo vyema" wanaweza kutumia info zako kuku" blackmail"! No free lunch!
 
hongera mkuu! mimi ndio ninayotumia kwa zaidi ya mwaka hapa Kampala
 
Na hapo unakuwa umewakabidhi hao jamaa details zako nao wanaenda kuziuza kwa makampuni ya marketing!! Na kama "upo vyema" wanaweza kutumia info zako kuku" blackmail"! No free lunch!
You're right, na ndio maana huwa situmii Free VPN kwa sababu mtu anapotoa service for free lazima kutakuwa na namna nyingine ya kufidia huduma anayotoa kama vile kufanay phishing, na kuna free vpn zingine zinatuhumiwa kunyonya bundle... how, SIJUI!!!

Premium VPN wanachoweza kufanya labda ni kuuza data zako, na katika dunia ya leo, no one can avoid it, na ndio mahali kama Ulaya na USA, websites wanatakiwa kisheria kuweka privacy policy wazi, na kuambia watumiaji wha they should expect wanapotembelea mitandao yao!!!
 
hakuna wa kutumia Premium services kwa user wa kawaida ambao wameijua VPN baada ya TCRA kuzima mitandao.

wengi wao wanapendelea VPN za Bure au kutumia kwa Trial time

Hiyo nikiyoutaja hapo ni Cracked version, ina full swing kama Vile imelipiwa
Na ndio maana nikataja Free Plan kwa sababu, sio tu kwa sababu mtu anasikia kwa mara ya kwanza bali hata si kila mmoja anaweza kuwa tayari kutumia premium plan kutokana na sababu moja au nyingine!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…