Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,053
- 15,520
Unapotumia hizi products and/or services jaribu kwanza kuangalia review yake... hapa angalia number of reviewers pamoja na value yake!! Aidha ni muhimu kuangalia reviews kutoka different sources especially kutoka kwenye top tech websites/blogs na social networks kama vile Reddit au Quora.
Ukiangalia review ya Betternet kwa kweli haivutii!!!
Na kama ni 100% FREE, I wouldn't recommend at all.
Kama mtu usingependa kulipia basi ni heri bora tafuta Premium VPN yenye Free Plan kama vile Windscribe wanaotoa 10GB Free kwa mwezi au TunnelBear wanaotoa 1GB lakini ukiwarusha hewani, wanakuongezea!!
Wewe unatumia nn?Ningependa kuwakumbusha tu matumiz ya vpn ni kosa kisheria kwa mujibu wa sheria unaweza kuhukumiwa miaka saba jera na fine ya milion tatu au vyote kwa pamoja kabla hujamaliza kushangaa na kuanza kubisha nakukumbusha tu hata jamiiforum wanakes mahakaman na kosa lao ni kutumia domain ya dot com badala ya dot tz chukia tahadhar jera sio kuzuri kuna manyampara wana roho mbya na ukame wa miaka mingi asanten na kwaheri
Mkuu Mimi nipo United Kingdom huku nimechimbia.Ningependa kuwakumbusha tu matumiz ya vpn ni kosa kisheria kwa mujibu wa sheria unaweza kuhukumiwa miaka saba jera na fine ya milion tatu au vyote kwa pamoja kabla hujamaliza kushangaa na kuanza kubisha nakukumbusha tu hata jamiiforum wanakes mahakaman na kosa lao ni kutumia domain ya dot com badala ya dot tz chukia tahadhar jera sio kuzuri kuna manyampara wana roho mbya na ukame wa miaka mingi asanten na kwaheri
Karibu mkuu hata hivyo wameshaachia mitandao yote nchi nzima kwa hvyo ni kama umejifunika kukiwa kunakaribia kukucha.panic mood ndio imenifanya nichelewe kurudi kundini
Ivi kwa watumiaji wa IPHONE wanatumia nn kufungua access ya internet
Aisee ngoja tarehe 2 tuinge road maana tumefikia kubaya.Suluhisho siyo VPN.Unaelewa kuwa kutumia VPN Tanzania ni kosa la jinai sawa na kubaka?Serekali ya CCM chini ya Magufuli tayari ilishatunga sheria ya kukataza matumizi ya VPN Tanzania.Magufuli anasubiria aapishwe afute internet pamoja na matumizi yote ya mitandao ya kijamii Tanzania.Suluhisho pekee ni kuitoa CCM madarakani kwa jasho na damu.View attachment 1616640
Na hapo unakuwa umewakabidhi hao jamaa details zako nao wanaenda kuziuza kwa makampuni ya marketing!! Na kama "upo vyema" wanaweza kutumia info zako kuku" blackmail"! No free lunch!Kama mtu usingependa kulipia basi ni heri bora tafuta Premium VPN yenye Free Plan kama vile Windscribe wanaotoa 10GB Free kwa mwezi au TunnelBear wanaotoa 1GB lakini ukiwarusha hewani, wanakuongezea!!
You're right, na ndio maana huwa situmii Free VPN kwa sababu mtu anapotoa service for free lazima kutakuwa na namna nyingine ya kufidia huduma anayotoa kama vile kufanay phishing, na kuna free vpn zingine zinatuhumiwa kunyonya bundle... how, SIJUI!!!Na hapo unakuwa umewakabidhi hao jamaa details zako nao wanaenda kuziuza kwa makampuni ya marketing!! Na kama "upo vyema" wanaweza kutumia info zako kuku" blackmail"! No free lunch!
Na ndio maana nikataja Free Plan kwa sababu, sio tu kwa sababu mtu anasikia kwa mara ya kwanza bali hata si kila mmoja anaweza kuwa tayari kutumia premium plan kutokana na sababu moja au nyingine!!hakuna wa kutumia Premium services kwa user wa kawaida ambao wameijua VPN baada ya TCRA kuzima mitandao.
wengi wao wanapendelea VPN za Bure au kutumia kwa Trial time
Hiyo nikiyoutaja hapo ni Cracked version, ina full swing kama Vile imelipiwa
Ivi kwa watumiaji wa IPHONE wanatumia nn kufungua access ya internet
Sasa hivi options kibaoHahaha mkuu kumbe upo
Vipi ile 10 minutes X No Goal bado unaendelea nayo