Mdau anamanisha vijana wanozunguka humu kusifia ushindi wa wizi huku nao wakiwa banned na internet kiasi inabidi nao watumie VPN ili ku-access mitandao kutoa hizo sifa.tunawapa taarifa VPN ndio Baba lao
Unaweza kutumia chrome extension, zipo VPN nyingi tu.Yakutumia kwenye PC mkuu ni ipi?
Mkuu asante sana natiririka tu hapaTumia hotspot shield au psiphon3
Mwenzetu we upo wapi?Ningependa kuwakumbusha tu matumiz ya vpn ni kosa kisheria kwa mujibu wa sheria unaweza kuhukumiwa miaka saba jera na fine ya milion tatu au vyote kwa pamoja kabla hujamaliza kushangaa na kuanza kubisha nakukumbusha tu hata jamiiforum wanakes mahakaman na kosa lao ni kutumia domain ya dot com badala ya dot tz chukia tahadhar jera sio kuzuri kuna manyampara wana roho mbya na ukame wa miaka mingi asanten na kwaheri
Mm nipo Canada raha kweli yaan mazuzu ndio yanalalamika halafu wengi ni CCM kuna wa mama wa CCM wamenifata niwaunganishie nikawaambia wamefunga labda mwambie Magufuli eti wameninunia
Download hapa!Yakutumia kwenye PC mkuu ni ipi?
Yakutumia kwenye PC mkuu ni ipi?
Kwa nini uogope maandishi yako ya mtandaoni kama huna nia ovu!?Hii ni nzuri pia ili kuepuka hii Serikali dhalimu ambayo inafuatilia hadi watu wanachoandika mitandaoni kuikosoa
Koma mara moja kuwatisha wanaume na ndevu zao.Ningependa kuwakumbusha tu matumiz ya vpn ni kosa kisheria kwa mujibu wa sheria unaweza kuhukumiwa miaka saba jera na fine ya milion tatu au vyote kwa pamoja kabla hujamaliza kushangaa na kuanza kubisha nakukumbusha tu hata jamiiforum wanakes mahakaman na kosa lao ni kutumia domain ya dot com badala ya dot tz chukia tahadhar jera sio kuzuri kuna manyampara wana roho mbya na ukame wa miaka mingi asanten na kwaheri
Unapotumia hizi products and/or services jaribu kwanza kuangalia review yake. Hapa angalia number of reviewers pamoja na value yake!! Aidha ni muhimu kuangalia reviews kutoka different sources especially kutoka kwenye top tech websites/blogs na social networks kama vile Reddit au Quora.Betternet VPN ni shidaaaaa
Hivi kweli'eh?Haha pole mkuu wengine siku ileile wanafunga baada ya muda tu tukarudi hewani.. nawaonea huruma ambao mpk sasa wapo kwenye kifungo!
Flyover ππππMnatumia VPN kuwasifia waliofunga internet
Kwa vpn hawawezi kukupata, weka utaratibu wa kutumia vpn sana ila uwe na vpn ambayo kidogo iko secure...wakini-track watanikuta nipo UK
Fanya jail break kwanza kwa CydiaIvi kwa watumiaji wa IPHONE wanatumia nn kufungua access ya internet
Nipo netherlandAhaaha tunanchi karibia 10 zakukimbilia bila malipo yani ni-free, habari za mudaa huu hapo JAPAN
View attachment 1616621