Vipi kama ex aki ......!!

Vipi kama ex aki ......!!

Khantwe na lady in action siku nyingine nikiwaambia muache kulia lia mnapokutana na mibazazi ya hisia kama hiv muwe mnanielewa!
Mgirik ennh it was nice having you here!
bottom line is hakuna sababu ya kujilazimisha kuishi na usiyempenda!hatuoi na kuolewa ili kutimiza wajibu na kuzaliana!
ndoa ni zaidi ya hapo!
ni zaidi ya kuvaa shela na tuxedo
kubwa zaidi hisia za mwenzi wako ni kitu azizi aseeh unless lipo alilokukosea ambalo kwalo bado mna haki na wajibu wa kulizungumza!
hatutegemei kuwa wanandoa ni malaika kiasi wasiwe na mapungufu,best thing is ni namna gani mnaweza kukusanya ubora wenu ulipo na kwa pamoja mkafidie mapungufu yenu!haijalishi how best u felt with ur ex!
tengeneza leo maana nayo itakuwa jana kwa kesho yako!
jumapili njema!

umemaliza kilakitu ..... jpil njema kwako pia
 
Last edited by a moderator:
tumeambiwa tusamehe lakini huyu kiumbe hata angekuja na magoti umbal wa km 100 siwezi kumsamehe na always namuombea mabaya tu.

Hizo ni hasira tu, ila trust me kuna siku utakuja kusamehe ila sio kurudiana nae, binadamu hatuna ukamilifu
 
Nyie Khantwe , lady in action na snowhite yaan msifikiri haya tunayoyasema mkadhan ni mabazazi lakn kiukweli hata nyie hapo ma ex wenu wanajivunia uwepo wenu kama ex wako mlikuwa mnapendana na mkaachana vizur na kwa heshma na kama hasa mwanaume anahisia na ww siku mkikutana mtakumbushia tu hilo hata mkatae vp huo ndio ukweli. Naamin mmoja kata yenu anamkumbuka vzr sana ex wake.
Tuelezane ukweli tu haina haja ya kufichana wote ni watu wazma humu.
Labda hamtaweza kukumbushia kama hamkupendana kwa dhati lakn kama mliivana kama tulivyokuwa mm na ex wangu lazma mtakumbushana
 
Last edited by a moderator:
Navyoamini mm kila binadamu hupenda kiukweli mara moja tuu katika maisha yake, so kil mtu ana The only one true love, kuna ambao washakutana nao na kuna wengine hawajakutana nao, ss kina sie ambao tushakutana na kisha tukaachana ndo hatuachagi kuwambuka

Binafsi the only one true love of mine nliachana nae kwa ugomvi mzito ila kwa sasa ishapita miaka km mi3 na nimejikuta namsamehe kwa yote na nahitaji kuwa na amani nae ila si kuwa nae
 
kweli kabisa babu kwa hali hii michepuko haitakwepeka kama mm sidhan kama kuna mwanamke ntakuja kumpenda kama yule x wangu.

Jamani, namuonea huruma uyo mke utakae muoa au uliemuoa.
 
naweza kusema kitendo cha kutokumpenda ex wako tayar umekwepa gereza la mapenz.
Mpaka hapa mm sidhan kama kuna mwanamke nitakuja kumpenda kama ex wangu. Hata yeye naamin yupo ktk gereza la mapenz kama mm maana pamoja kuwa na mme wake hataki nikwazike nikimwitaji popote atafaya juu chini lazma aje

Msinifanye ni imagine kama Mme wangu alishawai kupenda ivo.
 
Sasa ukishaachana na ex ndo imepita,kurudia matapishi big no kwa kweli
 
Jamani, namuonea huruma uyo mke utakae muoa au uliemuoa.

sio kumuonea huruma kwasababu sitaweza kumnyanyasa wala kumdharau nitamheshim na ntajitahidi kumpenda kama mke ila moyo wangu bado hautaacha kuchuruzika damu kwa ex wangu
 
sssssshhh taratibu wanakuskia ulivopanick ujue!
wakati unapunguza sauti ujiulize hili swali
mimi nayejua kuwa u baradhuli wako wote na bado nikaendelea kuitwa mke wako
na wewe uliyejua ufyampu wangu mmoja tu na kunitimua /kunipa talaka
nani ni best actor/actress?

Aisee .....!!
 
nakuangalia tu unavotafuta excuse ya kupasha kiporo chako!
utakula ulikopeleka mboga nakwambia!
page ya 4 hii unalia lia humu
Endelea!
Kupasha kiporo ni sunna bana!
 
Back
Top Bottom