Vipi kama ex aki ......!!

Vipi kama ex aki ......!!

Life is very fair my darling. wanadamu (wengi wanaume sisi) ndo hatuko fair. İmagine kidume kina maex 30 wote walikuwa wakiaminishwa wataolewa.... Afadhali yangu mi nnao watano tu, na hakuna nayemkumbuka kiviiile LOL

Hahahah duuuuh...
 
ish!
mi mwenzio special case!
hahahahhahaha enzi za special diet unazikumbuka?
by ze wei hiv hamnaga kiporo cha icecream?

Nakuletea saa nne hivi..zitakiwa fresh sio kiporo..najua upo kitandani wala sikuulizi.mwalimu

Special diet alikuwa anawahi Asprin..mi nilikuwa marginalised ujue😕
 
Last edited by a moderator:
..mkuu umesema maneno kuntu, japo kwangu haitokei kwa kumpenda ex, bali kwa sababu game yake niliipenda, lazma uvute hisia...!!

Wanaume mmeamua kufunguka. mtawaua hawa wadada wanaosoma hapa. wana wivu hao
 
Nami ndo nakuuliza, wakati anavuta hisia kwa x wewe utajuaje? na kama hujui we si uendelee kukata mauno upate laha na utyamu?

babu unanivunja mbavu kweli.... Utakuta bint wa watu anahangaika kuzungusha nyonga kumbe maskin ww akili inahisi ni ex wako jaman
 
Mahawara hawaachani shehe. ma x wangu wote, nikinyanyua simu tu, tunapanga tukutane gesti ipi. ndo maana mi staki kuwajua ma x wa mama matesha wangu. sipendi dhambi ya mauaji.

bora umeongea ukweli babu. Mapenzi ni hisia
 
babu unanivunja mbavu kweli.... Utakuta bint wa watu anahangaika kuzungusha nyonga kumbe maskin ww akili inahisi ni ex wako jaman

Tatizo usipovuta hisia, protini itakuwa haitoki. unamchosha bure mtoto wa watu. ukiöna binti anakaribia, unavuta hisia ya Khantwe, unamwaga kojo zito kiroho safey.
 
Last edited by a moderator:
mmh! Huo mlomo huo!.... Kuna kipindi cha kukubali matokeo kama hivi:
unajua kabisa kuwa unayempenda huwezi kumpata tena ila unatakaiwa uwe na mke na utengeneze familia utalazmisha kumwonyesha upendo yule unayetaka kumwoa japo sio kama ule wa ex ili mradi aman iwepo ndan ya nyumba

dah!!!!!!!!!
 
..mkuu umesema maneno kuntu, japo kwangu haitokei kwa kumpenda ex, bali kwa sababu game yake niliipenda, lazma uvute hisia...!!

naweza kusema kitendo cha kutokumpenda ex wako tayar umekwepa gereza la mapenz.
Mpaka hapa mm sidhan kama kuna mwanamke nitakuja kumpenda kama ex wangu. Hata yeye naamin yupo ktk gereza la mapenz kama mm maana pamoja kuwa na mme wake hataki nikwazike nikimwitaji popote atafaya juu chini lazma aje
 
Umejuaje? Yan mimi hapa nahisi kufa.....ngoja nilogout kwanza

na usikute mm ndio mpenz wako lakn hatujuan kwa id za hapa jf na baadae ukajua mm ndio bf wako na kwamaneno niliyosema hapa ju ya ex wangu sijui utanifanyaje
 
Back
Top Bottom