mnajipa sana moyo mjue!
yani wallahi hadi huruma!
rudi usiku !kuwa na vibichi na vikavu fufua maex wako wote!
ila mi nakomaa na dume moja tu!moooooja tu!
hayo yote unayofanya yanakuwa compensated!
af ukijua inaumaje sasa?
unaongeza vibichi kwa kasi,hence the less concetration kwa kipenda roho wako nako kunaanza kuchacha maana mwisho wa siku unagundua wanawake wote tunafanana!
Sijawai kuwa na x.Naomba Mungu isitokee.
Ndo nmeshajua ufirauni wako sasa. I'll never invest all my feelings
Hongera sana mkuu....jitahidi uoe aliye kama wewe si unaona hapa watu wanavyojivunia maex wao? Ni shidaaa
sssssshhh taratibu wanakuskia ulivopanick ujue!wewewewee! Nikigundua nakutimua kwanza wakat huo utambue sina mapenz ya kweli ila na fake tu. Najua ex wangu niliyempenda ameshaolewa hvyo sitaona kesi wala haja kubadilisha mwanamke mwingne
sssssshhh taratibu wanakuskia ulivopanick ujue!
wakati unapunguza sauti ujiulize hili swali
mimi nayejua kuwa u baradhuli wako wote na bado nikaendelea kuitwa mke wako
na wewe uliyejua ufyampu wangu mmoja tu na kunitimua /kunipa talaka
nani ni best actor/actress?
ww mwanamke mbishi ww duh! Ngoja nikanywe kahawa ntarudi baadae ila sijakukimbia
Khantwe na lady in action siku nyingine nikiwaambia muache kulia lia mnapokutana na mibazazi ya hisia kama hiv muwe mnanielewa!
Mgirik ennh it was nice having you here!
bottom line is hakuna sababu ya kujilazimisha kuishi na usiyempenda!hatuoi na kuolewa ili kutimiza wajibu na kuzaliana!
ndoa ni zaidi ya hapo!
ni zaidi ya kuvaa shela na tuxedo
kubwa zaidi hisia za mwenzi wako ni kitu azizi aseeh unless lipo alilokukosea ambalo kwalo bado mna haki na wajibu wa kulizungumza!
hatutegemei kuwa wanandoa ni malaika kiasi wasiwe na mapungufu,best thing is ni namna gani mnaweza kukusanya ubora wenu ulipo na kwa pamoja mkafidie mapungufu yenu!haijalishi how best u felt with ur ex!
tengeneza leo maana nayo itakuwa jana kwa kesho yako!
jumapili njema!
Khantwe na lady in action siku nyingine nikiwaambia muache kulia lia mnapokutana na mibazazi ya hisia kama hiv muwe mnanielewa!
Mgirik ennh it was nice having you here!
bottom line is hakuna sababu ya kujilazimisha kuishi na usiyempenda!hatuoi na kuolewa ili kutimiza wajibu na kuzaliana!
ndoa ni zaidi ya hapo!
ni zaidi ya kuvaa shela na tuxedo
kubwa zaidi hisia za mwenzi wako ni kitu azizi aseeh unless lipo alilokukosea ambalo kwalo bado mna haki na wajibu wa kulizungumza!
hatutegemei kuwa wanandoa ni malaika kiasi wasiwe na mapungufu,best thing is ni namna gani mnaweza kukusanya ubora wenu ulipo na kwa pamoja mkafidie mapungufu yenu!haijalishi how best u felt with ur ex!
tengeneza leo maana nayo itakuwa jana kwa kesho yako!
jumapili njema!
nmekuelewa sana lakn ungerudia kuisoma coment yanguya kwanza kabisa. Ilikuwa ni mifarakano kidogo ilitokea baada ya hapo kila mtu akashika njia yake lakn bado kila mmoja alikuwa na hisia na mwenzake. Lakn hatukuweza kupata mda wa kuyamaliza mpaka mwenzangu alipopata mtu na kuolewa....... Kumpenda x wangu haimaanishi kwamba nitamchukia nitakayekuwa naye la hasha! Nitampenda my wife lakn hautafikia upendo ambao upo kwa x japo sitaweza kuishi naye lakn nakiri kuwa nilimpenda sana but sababu kidogo sana ndiyo ilitufanya tusiwe pamoja.
Kwa kifupi kabisa mwambie x wako amegeuka kuwa mchepuko wako. Mchepuko wa lami.
Khantwe na lady in action siku nyingine nikiwaambia muache kulia lia mnapokutana na mibazazi ya hisia kama hiv muwe mnanielewa!
Mgirik ennh it was nice having you here!
bottom line is hakuna sababu ya kujilazimisha kuishi na usiyempenda!hatuoi na kuolewa ili kutimiza wajibu na kuzaliana!
ndoa ni zaidi ya hapo!
ni zaidi ya kuvaa shela na tuxedo
kubwa zaidi hisia za mwenzi wako ni kitu azizi aseeh unless lipo alilokukosea ambalo kwalo bado mna haki na wajibu wa kulizungumza!
hatutegemei kuwa wanandoa ni malaika kiasi wasiwe na mapungufu,best thing is ni namna gani mnaweza kukusanya ubora wenu ulipo na kwa pamoja mkafidie mapungufu yenu!haijalishi how best u felt with ur ex!
tengeneza leo maana nayo itakuwa jana kwa kesho yako!
jumapili njema!
Zimekugusa hadi umekuwa speechless
Zimekugusa hadi umekuwa speechless
sisomi tena uzi huu unanitia hasira tu.....
nahisi kama machozi yanakulenga hivi harafu kwambaaali kama unamuona x! Pole mammy.