soma hiyo post vizuri puleeeez!mkuu snowhite yaan ww utahudumiwa kila kitu kwasababu najua ndio mama mwenye nyumba lakn moyo wangu tu unatoa damu kwa ex na sio sisi bali ni hisia tu ndio znafanya hvyo
Hahahahah.....bas nikionaga jitu limefanyiwa hivyo mimi full burdani....
Sijawai kuwa na x.Naomba Mungu isitokee.
soma hiyo post vizuri puleeeez!
zamani kweny club raha leo show tulikuwa tunasema once mooooore!
Hahahahah.....na wewe imekutachi eeh?
Hahahahah.....bas nikionaga jitu limefanyiwa hivyo mimi full burdani....
umeona Asprin kanitukania hapo juu!
daaadeki!
ujue wanaume huwa wanaamini wanawake ni vilaza or sort of!
kimsingi wanasahau namna hedhi na uchungu huwa zinatengeneza nini zaidi ya ujasiri!
kutana na wachawi woooote ila sio mchawi mwanamke!
mi x sitaki hata kumsikia kifo kingekua kinaombewa ningemwombea afe
hakyamama hiv mnawaza sisi hatuna archives?
enhenhenhenhe uzuri wetu archives zetu huwa tunahakikisha mnazilisha ugali,mnazilipia ada,mnazipa majina ya baba na mama zenu!
fair inuf kwa kweli!
Bahati mbaya au nzuri wewe ni mmoja wa watu wanaoujua ukubwa wangu...
kweli hiyo ni 50/50 coz hata sie kila tukiwa 6/6 tunakuwa na maex wetu, wengine hata kukojoa mpaka ex awekwe kwenye kamera, lol
umeona Asprin kanitukania hapo juu!
daaadeki!
ujue wanaume huwa wanaamini wanawake ni vilaza or sort of!
kimsingi wanasahau namna hedhi na uchungu huwa zinatengeneza nini zaidi ya ujasiri!
kutana na wachawi woooote ila sio mchawi mwanamke!
You are allowed to judge as you are entitled to your opinions but trust me, you don't know the whole story. But to shed some light on the issue anza kufikiria what makes a lovin loyal wife betray her marriage vows, usiangalie sana result[cheating], focus on the cause.Kwa maana hiyo you are both michepuko....?that is quite unfair kwa hao life partners wenu. Hivi mkitoka kuchepuka mnawaangaliaje? Na feelings hata za kutimiza tendo la ndoa zinakuepo kweli? Mungu saidia kizazi hiki dah!Utadhani mlishikiwa bunduki kuingia katika ndoa! I'm not judging but this is jus breaking my heart for real.:shocked: