Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,105
- 35,136
Hapo kwenye bold sijakuelewa kabisa mkuu!!
wanaume ndio wanaowashawishi wanawake wawapende na hata akikuambia ana mtu wake hatujali tunatumia kila uweza kuwashawishi na wao ni wadhaifu,na akishawishika yanaanza mapenzi mapya yake ya zamani hayamvutii tena,na sie tukiona tumekubaliwa tunakazana kweli kufanya tofauti na mbona yule wa mwanzo anaonekana pimbi lakin chanzo ni mwanaume mwenzako.