Vipi kama ex aki ......!!

Vipi kama ex aki ......!!

Acha kulialia mtoto wa kiume! Songa mbele mapenzi yapo tu kama ulimpata huyo alokumwaga amini utampata mwingine bora zaidi yake....enjoy your life dude. You only live once..no regrets....

Kweli bwana mwambie...anahis hawezi kufurahi tena loh
 
dah! Nmecheka sana ulivyorusha hilo kombola kujibu mashambulizi.
Hilo wala halina shida kwangu hyo raha itaishia moyon mwako lakn huwez kuionyesha kwangu hadharan kwanza utakuwa kwenye kifungo cos unaogopa nikijua tu tayar nyumban hapatakalika, halafu utakuwa umejidhalilisha mbele ya wanawake wenzio na hata wazaz wako utakuwa umewapaka matope. Hvyo utakuwa kwenye wakat mgumu wa kuizuia hyo siri isivuje. Ila mm naweza kumzalisha ex wangu na kila mtu akajua na bado nikaonekana ni kidume zaidi na mtoto ntamleta nyumban na utamlea ww mwenyew. Umeona hapo mkuu
ni raha kiasi gani kujua kuwa we are even!
nilichotaka kuhakikisha ni nyie kuamini kuwa mnapofake mahisia sisi tunawafakia ving sana!
ntalea mtoto wako nikijua wazi ni wa x wako (not necessary wewe uwe baba maana usidhani na kuamini x wako anatofautiana saaaaaana na mimi.bora yangu nilitoka mrithi na picha za harusi .usisahau maumivu uliyomtengenezea kwa kumuacha yeye na kunioa mimi)
ahahahahahahahahahahaha hii enzi hizo naiba mipira ya kaka zangu tulikuwa tunaiiita dabali krosi!
 
ni raha kiasi gani kujua kuwa we are even!
nilichotaka kuhakikisha ni nyie kuamini kuwa mnapofake mahisia sisi tunawafakia ving sana!
ntalea mtoto wako nikijua wazi ni wa x wako (not necessary wewe uwe baba maana usidhani na kuamini x wako anatofautiana saaaaaana na mimi.bora yangu nilitoka mrithi na picha za harusi .usisahau maumivu uliyomtengenezea kwa kumuacha yeye na kunioa mimi)
ahahahahahahahahahahaha hii enzi hizo naiba mipira ya kaka zangu tulikuwa tunaiiita dabali krosi!

hahhahahahahahaa! Dah! Hii kali lakn nmekwambia kitanda hakizai halam kama ww ni nunda basi tangaza kuwa huyu sio mwanangu. Yaan kiufupi ni kuwa jeuri unayoifanya kwenda kwa hawala yako ndiyo jeuri ya hawala yangu kuja kwangu.
Tena nikigungua kuwa ww unachepka ndio naanza na kudili na vibichi vibichi huku ww nakushona mimba za fasta fasta ili uchoke. Ukishapata mimba sasa hapo ndio utajuta kuolewa na mm hapo ni mwendo wa kurudi sasa 6 usk semina kazn haziishi safar kikazi haziishi overtime kazn haziishi huku zote hizo znaishi kwa ma ex
 
Nshukuru Mungu nilipo ndo napaelewa,cjui baadae nikiolewa na mtu tofauti. Ila kuchepukA kubaya
 
tulia wewe!
wanakuwaga na msuli wa kengele wakijua wanachapa tu
ila woooote hujikunja wakijua wanachapiwa!

dah! snowhite ww mkali nmecheka mbele ya watu mpaka wameshangaa. Unamtia moyo mwenzio wakat anaumia kuujua ukweli wa mwanaume
 
Last edited by a moderator:
hahhahahahahahaa! Dah! Hii kali lakn nmekwambia kitanda hakizai halam kama ww ni nunda basi tangaza kuwa huyu sio mwanangu. Yaan kiufupi ni kuwa jeuri unayoifanya kwenda kwa hawala yako ndiyo jeuri ya hawala yangu kuja kwangu.
Tena nikigungua kuwa ww unachepka ndio naanza na kudili na vibichi vibichi huku ww nakushona mimba za fasta fasta ili uchoke. Ukishapata mimba sasa hapo ndio utajuta kuolewa na mm hapo ni mwendo wa kurudi sasa 6 usk semina kazn haziishi safar kikazi haziishi overtime kazn haziishi huku zote hizo znaishi kwa ma ex

Wacha kelele mimba kushika naamua mimi....
 
Hahahah.... Walah nimesikia hasira nahisi kufakufa hapa

hahahahaaaa! Punguza hasira mkuu kama ulikuwa hujui huo ndio ukweli usifurahi kuambiwa nakupenda hyo ni jeuri ya kukutia moyo tu
 
Wacha kelele mimba kushika naamua mimi....

najua hapa una hasira ila tukiwa ndani ya ndoa na huku nikikuonesha mapenz ya kweli fake utaachia tu mama hutakuwa na jeuri
 
najua hapa una hasira ila tukiwa ndani ya ndoa na huku nikikuonesha mapenz ya kweli fake utaachia tu mama hutakuwa na jeuri

Ndo nmeshajua ufirauni wako sasa. I'll never invest all my feelings
 
hahhahahahahahaa! Dah! Hii kali lakn nmekwambia kitanda hakizai halam kama ww ni nunda basi tangaza kuwa huyu sio mwanangu. Yaan kiufupi ni kuwa jeuri unayoifanya kwenda kwa hawala yako ndiyo jeuri ya hawala yangu kuja kwangu.
Tena nikigungua kuwa ww unachepka ndio naanza na kudili na vibichi vibichi huku ww nakushona mimba za fasta fasta ili uchoke. Ukishapata mimba sasa hapo ndio utajuta kuolewa na mm hapo ni mwendo wa kurudi sasa 6 usk semina kazn haziishi safar kikazi haziishi overtime kazn haziishi huku zote hizo znaishi kwa ma ex
mnajipa sana moyo mjue!
yani wallahi hadi huruma!
rudi usiku !kuwa na vibichi na vikavu fufua maex wako wote!
ila mi nakomaa na dume moja tu!moooooja tu!
hayo yote unayofanya yanakuwa compensated!
af ukijua inaumaje sasa?
unaongeza vibichi kwa kasi,hence the less concetration kwa kipenda roho wako nako kunaanza kuchacha maana mwisho wa siku unagundua wanawake wote tunafanana!
 
unaweza umuwekee mtoto wa mtu sum ukafie magereza tu.....

jaman inaonesha mmejawa na hasira kwa kauli hizi
umeitamka mpaka sumu?! Kweli mapenzi hatari. Nmekumbuka dada mmoja aliyemlamba kisu mwenzake baada ya kumfumania nilimuonea huruma dada alipokuwa analia mbele ya hakimu na kuomba apunguziwe adhabu.
Alisema maneno haya: mweshimiwa hakimu mapenzi yananifunga nmeibiwa mme wangu nikiwa nmetoka mbali naye halafu naenda kufungwa tena naomba huruma yako mheshimiwa watoto wangu watateseka
 
Back
Top Bottom