Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
nakiri kufanya dhambi ya kutembea na mke wa mtu. Moyo unaniuma sana nahsi kama jamaa ndio mwiz ila mm n mme halali
Tobaaa....
nakiri kufanya dhambi ya kutembea na mke wa mtu. Moyo unaniuma sana nahsi kama jamaa ndio mwiz ila mm n mme halali
Utafiti nilioufanya mwenyewe umethibitisha zaidi ya asilimia 80 ya ndoa, ni ndoa za wanandoa ambao hawajapendana upendo wa moyoni.
Hii kitu wife/husband material inawalazimisha watu waoe wasiowapenda kwa dhati.... wakijiaminisha watajifunza kupenda.... michepuko itakwepeka?
Ukiona wanandoa wamehamishia mapenzi yao kwa watoto zaidi ya wenza wao, jiulize na ujijibu.
Nimesema mimi ODM.
mpaka ugundue unashindana una watoto wanne!lolAiseeee....Sasa mimi ntabaki kushindana na mtu ambaye simuoni nitaweza? Nitaimprove my standards kulingana na mahitaji ninayoyaona hayo mengine kuchoshana tu
unaeza jikuta unampa kelbu mbili matata mpk asahau jina lake kwa sekunde!
Nikigundua mwanaume anamlilia x kiasi hiki nakaa mbali nae kabisaaa
na wewe c umsimulie ulivopagawishwa na basha wako ngoma iwe droo?
Hahahah....umempa hadithi nyingine....kesho yake anakwambia nlikuwa nampenda yule binti kwa upole wake,hata nikimkosea alikuwa ananibembeleza...maskini sikutegemea kama snowhite angenitenda vile
Tobaaa....
Hahahah....umempa hadithi nyingine....kesho yake anakwambia nlikuwa nampenda yule binti kwa upole wake,hata nikimkosea alikuwa ananibembeleza...maskini sikutegemea kama snowhite angenitenda vile
Hahhaha nilijua tu. Afu unaweza kuta wakati jamaa linammega, mama anavuta hisia zako.
İla nakushauri., sahau yaliyopita kaa mbali na mke wa mtu. Hatareee
mpaka ugundue unashindana una watoto wanne!lol
Hahahah....wanaume wababe unaweza kujikuta unazindukia MOI
Bahati mbaya wanaowalilia huwa hawawalilii tukiona!
wanawalilia kwa mapishi yetu
wanawalilia kwa swaga zetu kitandani
wanawalilia kwa maumbo yetu
wanawalilia kwa tunavyodeal na emotions zetu
wanawalilia kwa mitazamo yetu!
basi mradi raaaaha tu kudate watu wasio na uwezo wa kuapdate kama sio kuconfigure RAM zao!
Hakuna mwanaume anayeweza kumzungumzia ex wake mbele ya mwanamke wake. HAKUNA.
ish!Hommie saa hii upo kitandani au madhabahuni
Mwalimu wangu snowhite kwa huzuni kubwa narudi kitandani
Hahahah...sio lazima akwambie..anaweza akawaambia rafiki zake au kikawa ndo hicho kilichomkaa kichwani. Unadhani akiwa anawaza hayo huku anakuangalia wewe unakuwa unaonekanaje?