Nyie Vyawa, mnakunywa amani? Kuoga je? Kwanza hamuogi nyie maana ni wachafu wa mwili mpaka akili.
Watu wanaandamana mpate haki za kupata huduma bora bila kukosekana huduma na uwajibikaji pale mambo kama haya yanapotokea. Ila sababu mna vichwa tupu mnawaona wanaharibu amani nyie mnataka amani, haya mnijuze mmemaliza kuchambia amani au mnatumia vumbi?
Jueni kwamba waandamanaji wanataka vitu kama hivi vya kukosa huduma za kijamii visiwepo, tuwe tunapata viongozi wenye upeo watakaojua kuwa kipaumbele cha kwanza ni kipi na si kujaza picha za kampeni nchi nzima kama wamepotea.
Na nini kifanyike kama kuweka akiba ya nyakati za ukame kama huu, vyanzo vya maji vilivyopo Tanzania tusingekuwa tunajibu maji hakuna kisa mvua chache, kwa nini wasitumie maji chumvi kuyageuza kuwa maji baridi, Kwa nini wasiweke akiba za maji kuvusha miezi ya kiangazi, chawa mjinga atajibu CCM haileti mvua.
Vipi amani yenu imewaletea maji wajinga nyie, hebu tambueni wanaopambania mabadiliko wanatafuta nchi bora kwetu wote mkiwemo na nyie msiojielewa, Bata nyie.
Najua vichwa panzi mtakuja! Karibuni, ila mje mtuelezee namna ya kutumia amani kama maji.
Watu wanaandamana mpate haki za kupata huduma bora bila kukosekana huduma na uwajibikaji pale mambo kama haya yanapotokea. Ila sababu mna vichwa tupu mnawaona wanaharibu amani nyie mnataka amani, haya mnijuze mmemaliza kuchambia amani au mnatumia vumbi?
Jueni kwamba waandamanaji wanataka vitu kama hivi vya kukosa huduma za kijamii visiwepo, tuwe tunapata viongozi wenye upeo watakaojua kuwa kipaumbele cha kwanza ni kipi na si kujaza picha za kampeni nchi nzima kama wamepotea.
Na nini kifanyike kama kuweka akiba ya nyakati za ukame kama huu, vyanzo vya maji vilivyopo Tanzania tusingekuwa tunajibu maji hakuna kisa mvua chache, kwa nini wasitumie maji chumvi kuyageuza kuwa maji baridi, Kwa nini wasiweke akiba za maji kuvusha miezi ya kiangazi, chawa mjinga atajibu CCM haileti mvua.
Vipi amani yenu imewaletea maji wajinga nyie, hebu tambueni wanaopambania mabadiliko wanatafuta nchi bora kwetu wote mkiwemo na nyie msiojielewa, Bata nyie.
Najua vichwa panzi mtakuja! Karibuni, ila mje mtuelezee namna ya kutumia amani kama maji.