Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

The bold ananikumbusha riwaya za marehemu Elvis Musiba na Ben Mtobwa.
Ila kwa zama hizi yupo mkongwe Hussein Issa Tuwa, yeye anajiita bingwa wa riwaya za taharuki, yaani hapo msomaji unabaki na taharuki zisizosemeka. Mkipata nafasi tafuteni na msome riwaya zake kadhaa hamtajuta asee, nina dedicate kwenu vitabu hivi ambavyo nimeshavisoma tayari [emoji116]
1. Usiku wa 9/12 ( 1&2)
2. Mkimbizi
3. Mdunguaji
4. Mtuhumiwa.

Na pia story hizi sijui kama ameshatoa vitabu vyake [emoji116]
1. Miss Tanzania
2. Mtafiti
3. Bondia

Na sasa nipo mkao wa kula nasubiria kitabu kingine (kipo jikoni) kinaitwa "Kilio cha gaidi"
Ni hatari sana aisee.
Dah aisee, online zipo.?!

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
The Bold njoo tuwekee utamu japo nipunguze hasira za kulambishwa ma ice cream jana usiku
Hahah

Unenikumbusha mtoto mmoja, alikua anaitwa osama. AlikUa akichaowa au akiwa analia, basi vuup, hujakwetu anamwambia Mama yangu, ampe maziwa ya unga ili anyamanze (enzi hizo nido ndio ilikua inatamba)

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom