Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Du kumbe watunzi wa namna hii bado mpo mlipotea mbaka nikaamua Hollywood kweny series salute the bold
 
Mkuu The bold heshima yako naomba uwe unitag mimi ni mpenzi mkubwa wa habari kama hizi.Mara ya Mwisho kusoma story nzuri kama hii ni ile ya Penniela iliyoletwa na mkuu LEGE .Chondechonde the bold hakikisha unanitaggggggggggggggg!!!!!!!!!!!!!!!
Peniela , ile ilikua hatari sana, ila mtunzi aliiharibu mwishoni kabisa. Bt all in all ilikua nzuri sana


Ila hii ya bold, Mimi naiosoma kwa makini sana, nahisi sio atori ila ni ushuhuda halisi kabisa, ila tu anataka kuufikisha kwa njia ya story.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23]

Kabisa! Episode ya kesho yapasa kuitupia jioni jioni..
Mkuu @ The bold.. Jmosi ndo hio ndugu yangu...lols.. Ebwana wacha nichukue fursa hii kukupongeza kwa dhati kabisa for your artistry katika utiririshaji wa simulizii hii.. kwa kweli kutueka kwenye suspense kila Mmoja akisubiri kwa hamu na kuchungulia saa zote kuona the Realese of the Next Episode is Talent in itself.. Big up bro..
 
Riwaya Bomba mkuu the bold, toa kitabu tununue Nina imani hutojutia uamuzi huo
Kama itawezekana naomba unitag na mie
 
The bold ananikumbusha riwaya za marehemu Elvis Musiba na Ben Mtobwa.
Ila kwa zama hizi yupo mkongwe Hussein Issa Tuwa, yeye anajiita bingwa wa riwaya za taharuki, yaani hapo msomaji unabaki na taharuki zisizosemeka. Mkipata nafasi tafuteni na msome riwaya zake kadhaa hamtajuta asee, nina dedicate kwenu vitabu hivi ambavyo nimeshavisoma tayari [emoji116]
1. Usiku wa 9/12 ( 1&2)
2. Mkimbizi
3. Mdunguaji
4. Mtuhumiwa.

Na pia story hizi sijui kama ameshatoa vitabu vyake [emoji116]
1. Miss Tanzania
2. Mtafiti
3. Bondia

Na sasa nipo mkao wa kula nasubiria kitabu kingine (kipo jikoni) kinaitwa "Kilio cha gaidi"
Ni hatari sana aisee.
 
mimi kama msemaji wa THE BOARD nasema story imeishia hapo tumeamua kujipeleka kwa waziri !!
 
The bold ananikumbusha riwaya za marehemu Elvis Musiba na Ben Mtobwa.
Ila kwa zama hizi yupo mkongwe Hussein Issa Tuwa, yeye anajiita bingwa wa riwaya za taharuki, yaani hapo msomaji unabaki na taharuki zisizosemeka. Mkipata nafasi tafuteni na msome riwaya zake kadhaa hamtajuta asee, nina dedicate kwenu vitabu hivi ambavyo nimeshavisoma tayari [emoji116]
1. Usiku wa 9/12 ( 1&2)
2. Mkimbizi
3. Mdunguaji
4. Mtuhumiwa.

Na pia story hizi sijui kama ameshatoa vitabu vyake [emoji116]
1. Miss Tanzania
2. Mtafiti
3. Bondia

Na sasa nipo mkao wa kula nasubiria kitabu kingine (kipo jikoni) kinaitwa "Kilio cha gaidi"
Ni hatari sana aisee.
Asante mkuu nitatafuta kimoja kimoja mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom