Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

siyo mtu wa mchezomchezo aiseee ni mzee wa kitengo tena inaonekana rank yake niya juu kiasi fulani hv
Ebhanaaaa eheeeeeeh natamani barabara ifungwe kwa mda kama nusu saa niipitie yote mkuu make mida ya kutoka kugufurika ...anyway ntafika
 
Heshima yako mkuu na tulizo la moyo la The Bold….
Naomba umwambie mheshimiwa kama hatajari sana zile updates za Episodes pale page ya kwanza awe anaziandika kwa juu kabsa na sio kule chini maana tunaotumia simu tunapata tabu kidogo kuscroll mpaka kule chini ya Episode ya 1 kuangalia updates.
Asante mkuu

Nadhani hili ni jukumu la mods mkuu,asante.
 
Wakuu,

Kutokana na sababu za kimaadili na kujaribu simulizi hii iendelee pasipo mushkeli.. Inanipasa kubadili baadhi ya majina ya wahusika..

Wahusika hao na majina yao ya sasa ni kama ifuatavyo, pasipo kutaja majina yao ya awali;

Safi sana mkuu hii itaondoa fitina za watu ambao wanapenda kuunganisha dots na vitu vingine hata kama havihusiani..
 
Wakuu,

Kutokana na sababu za kimaadili na kujaribu simulizi hii iendelee pasipo mushkeli.. Inanipasa kubadili baadhi ya majina ya wahusika..

Wahusika hao na majina yao ya sasa ni kama ifuatavyo, pasipo kutaja majina yao ya awali;

1. Waziri - Mhe. Charles Wangwe

2. Mwanachama wa The Board aliyekuwa mbunge na kujiuzuru miaka michache iliyopita - Khalid Mohammed

3. Askofu mwanachama wa The Board - Askofu Eliyah Kamei

4. Kampuni ya Utafutaji mafuta Morogoro - Quebec Energy.

Kwahiyo, kuanzia Episode hii ya 5 ambayo nimeiweka tayari nimebadilisha majina ya wahusika hao na na episode zote zinazofuata wahusika hao watafahamika kama inavyoonekana hapo juu..


Samahani kwa usumbufu!

Shukarani..
Pamoja mkuu.
Poleni na changamoto za ujenzi wa taifa.
Tuko pamoja sana.
 
Mkuu The Bold itaendelea lini? Tafadhali tujulishe ili nipate amani na niweze kutulia na kufanya shughuli zingine.
 
Wakuu,

Kutokana na sababu za kimaadili na kujaribu simulizi hii iendelee pasipo mushkeli.. Inanipasa kubadili baadhi ya majina ya wahusika..

Wahusika hao na majina yao ya sasa ni kama ifuatavyo, pasipo kutaja majina yao ya awali;

1. Waziri - Mhe. Charles Wangwe

2. Mwanachama wa The Board aliyekuwa mbunge na kujiuzuru miaka michache iliyopita - Khalid Mohammed

3. Askofu mwanachama wa The Board - Askofu Eliyah Kamei

4. Kampuni ya Utafutaji mafuta Morogoro - Quebec Energy.

Kwahiyo, kuanzia Episode hii ya 5 ambayo nimeiweka tayari nimebadilisha majina ya wahusika hao na na episode zote zinazofuata wahusika hao watafahamika kama inavyoonekana hapo juu..


Samahani kwa usumbufu!

Shukarani..
Kijana umeeleweka ngoja nipigie vijana wangu warudi.

CC: Charles wangwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom