Kwa simu Mkuu!kwa njia gani tukupatie ya bando
Muendelezo leo saa ngapi mkuu?Kwa simu Mkuu!
Natamani nikuPM namba right now [emoji4] [emoji4]
Badae badae jioni! Saa 11 or 12Muendelezo leo saa ngapi mkuu?
Roger thatBadae badae jioni! Saa 11 or 12
Kwa simu Mkuu!
Natamani nikuPM namba right now [emoji4] [emoji4]
Ila mbona kama nahisi ww utakuwa unajua muendelezo wake vileDaaaaaamn nilivyokuwa nimejiandaa vizuri kujua Isaac ana taarifa gani!
Imeishia patamu kinoma,ngoja nisubiri tu muendelezo maana hamna namna.
Sio kwa kukaziwa huku [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Hata mimi aisee.. Kwq sababu design kama nae ni character humo kwa story [emoji6]Ila mbona kama nahisi ww utakuwa unajua muendelezo wake vile
Tayari [emoji4]Fanya hivyo
Ooohh pole!DAH!ndo nipo page ya 11,
na sijui hadithi imeendelezwa page gani!napanda mlima mpka nasikia kulia!DAH!
MSICHAT BASI JAMANi!
UUUUUWIH!
[emoji15] [emoji15] Chipsi yai cheupe atakukimbia bro [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nitafikiria hilo..
Ila hata sasa ukimrushia kidogo The Bold apate chips yai sio mbaya [emoji4] [emoji4]
H[emoji15] hata ww? kwanini usitumie nguvu ya ushawishi ulionao? hv hujui kuwa osama alisalitiwa na mkewe?Daaaaaamn nilivyokuwa nimejiandaa vizuri kujua Isaac ana taarifa gani!
Imeishia patamu kinoma,ngoja nisubiri tu muendelezo maana hamna namna.
Sio kwa kukaziwa huku [emoji24] [emoji24] [emoji24]
The bold mbona nakilick hyo link ya episode ya tatu hainipeleki huko inarudi mwanzoOoohh pole!
Episode 2 ipo post # 282 (page ya 29)
Episode 3 ipo post # 655 (page ya 66)
And kuna link pale mwishoni post # 1 inayokupeleka kwenye page hizo kama ukitaka kufika fasta kwa kubofya tu!
The bold mbona nakilick hyo link ya episode ya tatu hainipeleki huko inarudi mwanzo