jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,350
Aisee The Bold ubarikiwe sana...sasa ngoja nimfate Nifah wangu kitandani manake nahisi keshanuna..
Mungu atuweke kesho tena tujue kinagaubaga




mkuu umetisha kama hajakusoma hivi
Aisee The Bold ubarikiwe sana...sasa ngoja nimfate Nifah wangu kitandani manake nahisi keshanuna..
Mungu atuweke kesho tena tujue kinagaubaga




mkuu umetisha kama hajakusoma hivi
Duh. Mpaka saa hii uko machooo?Nimekutag kila episode Mkuu! Notification zinazingua kufika
Hebu rudi tulale hukoNimekutag kila episode Mkuu! Notification zinazingua kufika

Duh. Mpaka saa hii uko machooo?

Tusubiri na wanaJF waliopo kwa Trump nao wafike j3@ The Bold km ni Jumatatu ya nBongo imefika. Au unasubiri ya kwa Trump? Kila ninachofanya hakifanyiki maana nasema utapost sooooooon. Aahhh mkuu tunasubiri.
huyo kwenye Avatar ndiye hambiliki?mpe jina lingineNgoja nicheke kama kwenye katuni..... Tehe tehe tehe, kumbe baadhi ya wahusika tunao humu humu
Baba Bite undercoverNgoja nicheke kama kwenye katuni..... Tehe tehe tehe, kumbe baadhi ya wahusika tunao humu humu
Wakuu wote tunaomba mtuwie radhi,kuna tatizo kidogo la ufundi limetokea.
Hapa The bold anahangaika kuweka mambo sawa...
Tuvute subira jama,
Asanteni.
#TheBold's
Toka huko .....Yani wewe bora mimi
![]()
![]()
![]()
![]()
Hakuna story ambayo haina family matters.