johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,731
Ndo nimeshangaa hata na mm badala arikwesti hela ya kiroba cha dona yy anataka chipisi yai, au pengine akiwa far from ndo msosi wake huo,Hakuna kitu napiga kelele kama hicho,nimesema hadi basi.
Ila uzuri sio daily,anakula mara chache sana.
Huyu ni mzee wa dona kwa sato![]()
.... Kuna ka msemo kamoja ka mwanaume cijui wa dar kana nikera sana hata kama siambiwi mm


