Taratibu zote zimekamilika japo kuna changamoto za hapa na pale ila hope kila kitu kitakua sawa,japo shemeji yangu bashite hajarudi mjini naamini hakutakua na shida,mkuu niombeee nisije nikamuuliza swali linalo husiana na vyeti vya kakake.😵😵😵😵😵😵
Jikaze mkuu,ukimuuliza suala la vyeti vya kaka yake hakika mtalala mzungu wa 4!najitahidi ili nisije ambulia vipepsi usiku kuchaa![]()
![]()
![]()
Jikaze mkuu,ukimuuliza suala la vyeti vya kaka yake hakika mtalala mzungu wa 4!
Mkuu mbona kama umekula foma gold ,soma nilichoandika na pia sijasema kiubaya,mambo ya ushabiki maandazi yametokea wapi.Staki ushabiki maandazi kaka kila mtu ana ufahamu wake wa kuchambua mambo so nina vigezo vingi vya kumpa U King the Bold hapa Tz so kama ujajua nasema nini hutojua pia nitasema nini

Mkuu nimebadili ID toa @TheCharmie weka The CertifiedHahahah!! Ni ndefu sana ila sema utamu umekolea..
0718 096 811Jnne mbali,naombeni no ya group
Cc The bold
Pamoja Mkuu..I feel the story. Thanks genius The bold
Poa Mkuu.. Nafanya hivyoMkuu nimebadili ID toa @TheCharmie weka The Certified
Salute!Thanks kichwa.
Shukrani Mkuu..Asante mkuu kwa uhondo dah simulizi ya kufa mtu
Hahahahah.! Mimi simo..Ahsante mkuu kwa kahadithi haka. Am sure ukielezea jinsi utakavyo fanikisha tukio la ujambaz CRDB basi namm nitajaribu hapa Exim bank.
Hahaha.. Pamoja sana Mkuu!the bold,unanifanya nisahau kua mwakyembe hamtaki lissu awe rais tls
Kamba imekatikia pembambaPamoja sana Mkuu..
Utamu umekolea ndio maana inaonekana kafupi