Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Thanks mkuu..nimeisoma chap chap kwa kulukaluka maana nacho kihitaji sijakiona leo the bold kaamua kuamsha walio lala


Sijui isack aliko kwenda huko na kama alifwata na the board na kukuta sio ray nahisi nakofi ya uso aliyapa haswaa

Jamaa kaenjoya kabisaa

Huwa kupapasa matiti ya mwanamka mjamzito ni rahaaa kabisaa

Enjoy wakuu
Stay Tuned ! Jumatano utajua hali ya Isaac tuu...
 
Stay Tuned ! Jumatano utajua hali ya Isaac tuu...
Yes nasubili sana

Pia nakubulu alivyo pata kichapo na nyapala mpk kufanikiwa kwenda hospita


Naona the bold leo aliwakumbuka na wale wa upande mwingine(MALAVIDAVI)

Ila mwana yupo vizur
 
Wiser1 hamuwezi Nifah! Tushakula hadi mahari ya The bold...!

Inabidi wiser1 awe wise kama jina lake...

Asikuachie..
Simuwez Nifah? nani kakudanganya?...tena kwa hili la leo ndo ntamlilia The bold hadi anikubali oooooooohooooooooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom