Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipi mkuu? Umeona mambo ya Taulo ndogo eeh
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
?
Jamaa kakopi kabisa situation ya hari yangu niliyonayo now
 
Kwani mkuu nimewahi kukukosea nini jamani?
Sio kwa ushauri huu wa kuniangamiza.
wala hatujawahi kukosana me nawe sister nifah, but sipendi tu mkwaruzane ndio maana nikashauri the bold basi afanye kama mtume SAW alivyoagiza huko zamani.halafu nakumbuka mzee mwinyi alisema eti amefikia age aliyonayo kisa ana mke zaidi ya mmoja, sasa nifah ukitaka the bold umfaidi mpaka uzeeni mruhusu aoe wanne.
 
we pita tu mkuu!...penzi changa kwa Wengi HUNOGA haswaaa...ila kwa mie litanoga nikikaribia age ya Nifah
Sasa mkuu the Bold si yuko occupied na Nifah...?

Mimi nikafikiri utaganda kwa mondray...kijana machachari!
 
And nitakupenda hivi mpaka siku tunaanza kutembea kwa mkongoja.. The only thing ambacho labda kitabadilika ni kukupenda.. Coz nitakupenda zaidi kila kukicha..




Because you are a unique type of a woman that's why you deserve to be given a unique love..
You have made me a better man than I could have never been on my own..
Wana naoo..kumbe mapenz bado yapo


Hit and run

Mashujaa wenzangu hamshangai hayaaa


Hv umetupia kitu kweli?? Ndio nasogea mbele ila naona upo mahaba mahabanii sijui heaven salt mala nifan

Wanaa naooo
 
Uzi wa leo upo kudadek??

Post namba ngap??

Maana napita naona watu wanazungumzia mapenz tuu


Jamaan
Ndio nipo free nw nosaidie post namba ngapi kadondosha balaaa hilooo
 
Rudi post # 3791
Thanks mkuu..nimeisoma chap chap kwa kulukaluka maana nacho kihitaji sijakiona leo the bold kaamua kuamsha walio lala


Sijui isack aliko kwenda huko na kama alifwata na the board na kukuta sio ray nahisi nakofi ya uso aliyapa haswaa

Jamaa kaenjoya kabisaa

Huwa kupapasa matiti ya mwanamka mjamzito ni rahaaa kabisaa

Enjoy wakuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom