Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,303
Pongezi kwako the bold
Kaka shemeji salaam...Pongezi kwako the bold
Wmwtw yamepoa wangu sisi wana michezo na furaha na maumivu ni sehemu yetu ila duh nikikufikiria na Wenger wako nazidi kukuhurumia double maumivu.Kaka shemeji salaam...
Bila shaka maumivu yamepoa sasa [emoji4]
Acha tu ndugu yangu,nifanye nini sasa?Wmwtw yamepoa wangu sisi wana michezo na furaha na maumivu ni sehemu yetu ila duh nikikufikiria na Wenger wako nazidi kukuhurumia double maumivu.
Pana watu hawana haya wana hama mpaka kabila sasa sidhani kama kuhama na kuja united utakuwa umetenda dhambi kubwa au basi nisikuchagulie mji amua khatma yako ila hapo hapakufaiAcha tu ndugu yangu,nifanye nini sasa?
[emoji1] [emoji1] [emoji23]Inabidi scene za Tony mla bata zirudi sasa...![emoji23][emoji23][emoji23]
Shukrani sana Mkuu..Pongezi kwako the bold
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1]Acha tu ndugu yangu,nifanye nini sasa?
Kumbe uliokoa jahazi Shukran hali lilikuwa mbaya[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1]
Am happy tulikuwa wote, nisingekuwepo juzi nahisi ungelia kabisa..
Kumbe uliokoa jahazi Shukran hali lilikuwa mbaya[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1]
Am happy tulikuwa wote, nisingekuwepo juzi nahisi ungelia kabisa..
Wallah umeplay role kubwa sana,ujue hii game haijaniuma kihivyo?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1]
Am happy tulikuwa wote, nisingekuwepo juzi nahisi ungelia kabisa..
Please sir include me in your tag book, thank you very much you are professional and a real gentleman.Shukrani sana Mkuu..
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Wallah umeplay role kubwa sana,ujue hii game haijaniuma kihivyo?
Mwenyewe shahidi unakumbuka nilivyokuwa happy.
Thank you honey [emoji8]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85][emoji1] [emoji1] [emoji1]
Nakumbuka hata ulisahau kama kulikuwa na gemu..