Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Ninalo tayari mkuu!

upload_2017-1-22_12-59-25.png


Para ya nne kutoka mwisho inamtaja Mkapa kama moja ya successor watarajiwa, na kweli alikuja akawa Rais.

Para ya pili kutoka mwisho inazungumzia jinsi ambavyo CIA wali - underestimate uwezo wa Mwl Nyerere kuiendesha nchi kwa kutumia remote, walidhani atafanya hivyo kwa miaka miwili ya mwanzo tu, cha kushangaza mpaka Mwinyi anaondoka madarakani bado Nyerere alikuwa mbele kwenye kusababisha maamuzi.

Mkapa akaja, na kwa kuwa jamaa walisha mweka kwenye moja ya expected successor, ni ukweli kwamba watakuwa walishampa mipango yao, watakuwa walishakaa meza moja kujadili jinsi ya kuhakikisha Mwl hawi pingamizi kwenye maamuzi ya kuhama kutoka kui-favor China na kurudi US.

Hivi Barick ameingia Tz msimu upi?

Naogopa kusema kwamba hakukuwa na namna nyingine ya kumaliza influence ya Mwl zaidi ya kilichofanyika, sote tunajua.

RIP Mwl.

cc sunola
 
Huyo Reporter ameficha vitu vingi sana!

Wakati mwingine unatamani hii habari angeandika mtu mwenye A B C ya espionage !

Au hata mwenye uelewa juu ya Economic Warfares kati ya communists na capitalists! Angeweza akang'amua kitu kidogo na akachimba deep ...

Hizo zote millitary aids ni kushinda uchumi wa nchi ya dunia ya tatu hasa ukizingatia nchi kama Tz ni mteja wa vitu vinavyozalishwa na nchi za ulimwengu wa kwanza..

Sasa with that all efforts US was still beaten as far Nyerere was strong and a communist-believer...

Matokeao ya hiyo economic warfare ya 1960's unaona matokea yake leo...

Matokeo yake angalia china alivyoshika ●construction industry in Tz ,
● nguo zinatoka china
●Soko la simu kutoka china linatawala Tz
●Vifaa vingi vya jeshi vinatoka china na India(nchi zote ziko agaist us)
●Vifaa vya electronics na vifaa vya nyumbani
●UKienda kariakoo utakuta wachina wengi kuliko wamarekani( nahisi hata wamarekani hawapo)

NB:
Sidhani kama marekani waiishia hapo , probably walikuja na alternative ya kumshinda mchina , i mean plan B...inaweza kuwa plan B sio moja ya declassfied documents na ikawa inafocus miaka 30 ijayo labda 2050's .

Tz sasa hivi wanapata mafuta,gesi ,madini vitu ambavyo ni muhimu kwa Maisha ya sasa hivi...

Anyway Mwandishi kajitahidi kwa staili yake ! Nampongeza kwa hilo...labda THE BOLD atakuja kuwapa ubuyu kidogo..

Tony Mla Bata. [emoji41][emoji41][emoji41]

Ni vizuri kwenda kutafuta hizo files,inaonyesha mwandishi katupa 1% ya hizo documents.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom