Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Baby nimelipa 60,000 ! Hela ya mwaka mzima....Elf tano tu wawalipia wengine mm najilipia mwnyewe
Baby nimelipa 60,000 ! Hela ya mwaka mzima....Elf tano tu wawalipia wengine mm najilipia mwnyewe
Mbona cjaambiwa lknBaby nimelipa 60,000 ! Hela ya mwaka mzima....
The day i loved you is the day i swore to protect you and never lose you..!Sitaki kabisaaaa
Aisee usiniletee mashairiThe day i loved you is the day i swore to protect you and never lose you..!
Nakupenda clkey wangu!
Walaaahi vile yaani! The bold anafanya kuwa kimya kwa ajili ya .....najua unaelewa hapoooMbona cjaambiwa lkn
Hny usinitanie ujue
Ntakuacha mazima
Mwite hapa The Bold aje athibitishe
Nishalipa bhana! Wasi wasi wa nini sasaAisee usiniletee mashairi
Utanilinda na nn
Umelipa pesa hujalipa
Mwite hapa asemeWalaaahi vile yaani! The bold anafanya kuwa kimya kwa ajili ya .....najua unaelewa hapooo
The bold njoo uokoe ndoa yangu mkuu!Mwite hapa aseme
Hadi aje hapaThe bold njoo uokoe ndoa yangu mkuu!
Wii huyo kaka nusu anitoe machozi,nimejisikia uchungu mnoooo!Pole mkuu umeandika kwa huruma kweli jamani hadi karoho kameniuma
Toa nusu namm nakuongezea nusu watanzania tunapendana km hutajali lkn
Hata mm wifi yangu,lkn bahati mbaya hajarudi tena jamani cjui kaenda wapi mwenyeweWii huyo kaka nusu anitoe machozi,nimejisikia uchungu mnoooo!
Dah kama umeshajitolea shukraan... Nilipanga nami nifanye hivyohivyo Wallah!
Kuchepuka pia unashangilia?Hahahaa!
Johnson stay away from us
Ww kichaa sana ujueMamy ww jilipie tu mwenyewe nnao cjui watano hata mmja hajanilipia
Nmelipa mm kama mm
Kwan c kweli,hata ww mume suruali tu weiiii taabu hziWw kichaa sana ujue
Sijafundishwa jandoni ugomvi na mkeo kuupeleka barazani, please njoo chumbani nipige hata makofi naapa sitokurudishia ila sie huku majirani wabaya mama, njoo tuongee alafu The bold mbaya sana anabalance yangu huko kibao tu nia yangu nilipie hadi june, ngoja nimwambie akate jina langu akuweke ww,Kwan c kweli,hata ww mume suruali tu weiiii taabu hzi

Ww ndo unatakaSijafundishwa jandoni ugomvi na mkeo kuupeleka barazani, please njoo chumbani nipige hata makofi naapa sitokurudishia ila sie huku majirani wabaya mama, njoo tuongee alafu The bold mbaya sana anabalance yangu huko kibao tu nia yangu nilipie hadi june, ngoja nimwambie akate jina langu akuweke ww,
Ila njoo chumbani,![]()
Won't happen againWw ndo unataka
Hahahaaa! Ngoja nimealizieWw kichaa sana ujue

weekend yangu ! Its getting 00:00 hrsAbaki na hamu zake tuu huyuu!Kwan c kweli,hata ww mume suruali tu weiiii taabu hzi


