Nifah
Platinum Member
- Feb 12, 2014
- 34,417
- 82,372
Tokea lini wakaskazini tukashindwa?Ila mkuu ww mbishi duh, usiku mwema bwana lets call it a day [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Soon unapinduliwa....ohooooo!
Tokea lini wakaskazini tukashindwa?Ila mkuu ww mbishi duh, usiku mwema bwana lets call it a day [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Keshakula cha mbavu huyoo!Tokea lini wakaskazini tukashindwa?
Soon unapinduliwa....ohooooo!
Lipo mkuu nikuunge?The bold akishazindua whatsup group mkuu johnson nawe fungua la malove davii tujiunge na uko tupate maujuzi ya kuwasomesha warembo kama Clkey+nifah
Niunge mie mkuu . [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Lipo mkuu nikuunge?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kidding mkuu!Niunge mie mkuu . [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaha!! Oooohh yeaaahhMie sijajua kama umekamatia majina yote mawili ama laaa[emoji15]
Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kidding mkuu!
Wewe? Nikilala usinilaumu baby [emoji6]Hahahaha!! Oooohh yeaaahh
Ooopss! Am coming babes..Wewe? Nikilala usinilaumu baby [emoji6]
Hahaahha unazingua babu, labda la chitchatThe bold akishazindua whatsup group mkuu johnson nawe fungua la malove davii tujiunge na uko tupate maujuzi ya kuwasomesha warembo kama Clkey+nifah
Nishakuchukua tangu jana ujue, soon utaingia kwenye red line yanguTokea lini wakaskazini tukashindwa?
Soon unapinduliwa....ohooooo!
Karibu kwenye group mkuu!Dah sijataka ku comment chochote tangu Nimeanza kufuatilia hii simulizi lakini sasa nasema, kitu kimetulia Sana ila kuna angalizo story hadithi na simulizi humu zinakuwaga na mwishio wa kimyakimya bila kuaga cha msingi naomba kujua kama haitaenda mpaka mwisho naomba kujuzwa ili niache kufuatilia kuanzia sasa maana sioni faida ya kula chakula utamu lakini nisishibe hii sio Sawa
Hujambo dogo !Nishakuchukua tangu jana ujue, soon utaingia kwenye red line yangu
Mkuu umelala saa ngap na umeamka saa ngap?Hujambo dogo !
Unaingilia mambo ya ndani ya clkey sasa!Mkuu umelala saa ngap na umeamka saa ngap?
Lishaanza mkuu.!Group linaanza lini
Ila leo umejitahd saa 3 upo macho, jitahidi tena uamke saa 11 uwe gentleman kamili,Unaingilia mambo ya ndani ya clkey sasa!