Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Hapa kweli mtanange ni mkali,tumekua kama madume ya mbwa,maana tupo sita ila tunamuhangaikia mwanamke mmoja Clkey ,Siku ya 4 leo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo ndugu yetu alijikuta kama anatokea kule kwa ndugu zetu wa "mama Bhoke hebu weka nikurenge" akasahau kua weng wanaitaka chance
 
Mwenzenu nimepata majanga nmetoka job nkasema nkapige supu kidgo, ss wakati natoka nkasahau simu nafika kwa gari najisachi sina simu nkarudi namkuta muhudum anatoa vyombo namuuliza akakana kama hajaona cm nataka msachi akajidai mkali nmentandika chupa nyambafu zake huku na huku wakatokea wakunitetea nkasepa
 
Habari wakuu,

Kuna wazo nalileta kwenu ili tulijadili..

Nimepata maoni ya watu wengi kuhusu namna bora ya kuendelea na hii simulizi ya Vipepeo Weusi: Mkakati namba 0034, pamoja na aina za thread ninazoandikaga Jamii Intelligence na nimekuwa natafakari na kufanyia kazi maoni hayo kwa muda sasa na baada ya kutafakari kwa kina nimekuja na wazo hili;

Nimeonelea tuwe na "premium convo" huko PM hapa hapa JF kwa wale ambao wako tayari au tuwe na group ya whatsapp exclusively kwa ajili simulizi hii pamoja na simulizi nyingine ambazo nina mpango wa kuziweka.

Now, how is this going to work??

Katika hiyo convo/whats group nimelenga niwe naweka 4 episodes kila wiki za simulizi hii ya vipepeo weusi na kila weekend nitakuwa naweka Makala maalumu kama zile za kina D.B Cooper au Geranimo ambazo huwa naziweka Jamii Inteligence..

But.. Katika hii convo/whatsapp group kutakuwa na "subscription fee" kwa kila mwezi, na napendekeza iwe Tsh. 5,000/- kwa mwezi.

Lengo ni nini?

Lengo langu kuu kutaka kuweka utaratibu huu ni kama ifuatavyo;

1. Nadhani si dhambi The Bold walau akiwa na kijihela cha kununua juice atulize koo wakati anaandika hizi simulizi na makala. LOL

2. Kwa utaratibu huu ninaopendekeza nadhani walau simulizi itakuwa inaenda haraka so naamini itaisha haraka, maana kwa utaratibu huu wa sasa ambao tumekuwa tunaenda nao hii simulizi inaweza kuisha May/June.. Ila kwa utaratibu huu mpya nadhani ndani ya miezi miwili itakuwa imeisha.. Ziko simulizi nyingine mbili tamu sana natamani kushea nanyi ila nashindwa kwa kuwa hii bado inaendelea. Simulizi hizo moja inaitwa "La Ultima Letra (Herufi ya mwisho)" na nyingine inaitwa ZEO. Ni hadithi mbili matata sana..

3. Sababu yangu ya mwisho, ni kuweka muelekeo mzuri ili kuweza kujua kama kuna 'base' ya kutosha ili kuanza kutoa vitabu hapo miezi ya baadae mwaka huu.

Sasa, najua kuna maswli nitaulizwa! Na moja wapo ni hili; Je, simulizi hii ya Vipepeo Weusi itaendelea humu na je vipi kuhusu makala za Jamii Intelligence?

Jibu: Thread itaendelea humu ila itasimama kwa wiki moja ya kwanza (kuanzia Jumamosi) na ikirejea baada ya wiki hiyo moja, nitakuwa naweka episode moja kwa wiki.
Kwa lugha nyingine, kule kwenye group tunaweza tukawa tumefika episode 21 but huku kwenye huu uzi ikawa episode 9. Na tutaendelea na utaeatibu huo. Hapa itatolewa episode moja per week!!

Na kuhusu makala za Jamii Intelligence, zitaendelea but nitakuwa naweka makala moja kwa mwezi tofauti na kule kwenye group nitakuwa naweka makala kila weekend (makala za uchambuzi) na simulizi nitakuwa naweka episode 4 kwa wiki.

Mwisho,
Kama kuna mwenye maoni, naomba tujadili but naomba tutumie lugha ya staha.

Na kwa walio tayari, naomba uniPM namba yako au nitumie meseji whatsapp kupitia namba 0718 096 811


Asanteni!

The Bold.
 
Mwenzenu nimepata majanga nmetoka job nkasema nkapige supu kidgo, ss wakati natoka nkasahau simu nafika kwa gari najisachi sina simu nkarudi namkuta muhudum anatoa vyombo namuuliza akakana kama hajaona cm nataka msachi akajidai mkali nmentandika chupa nyambafu zake huku na huku wakatokea wakunitetea nkasepa
Unanitishaa ...simu umepata? sema huu mkwara watakimbia wengi na jiran akiwemo
 
Mwenzenu nimepata majanga nmetoka job nkasema nkapige supu kidgo, ss wakati natoka nkasahau simu nafika kwa gari najisachi sina simu nkarudi namkuta muhudum anatoa vyombo namuuliza akakana kama hajaona cm nataka msachi akajidai mkali nmentandika chupa nyambafu zake huku na huku wakatokea wakunitetea nkasepa
Poleee honey!

Am sorry for that! Are you okey?
 
Mkuu nakuunga mkono asilimia zote kwa wazo lako tufanye ivo make kiukweli unatumia mda mwingi kutuandalia makala wakati wewe yawezekana haunufaiki na chochote kwa mtazamo wangu lakin ...mimi ni miongoni mwa wale ambao walidhubutu japo ni kidogo sana ili angalau sms yangu pm uliipata ...nakuunga mkono narudi

Pendekezo ;
Ili kuonyesha usiliasi wa jambo hili nashauri mkuu yeyote atoe kiasi icho kwanza kama utambulisho wa member lengo na wewe utilie lengo lako ..asanteni
 
Ndo maana nimekupigia imeita mara moja tu ikakatwa, enewei kama anakataa kukurudishia achana nae nitakuletea nyingne, jiandae kutumia Vertu smartphone the most expensive alive
0f15a54c10871683f4a77c5ca98bfc4d.jpg

Mwenzenu nimepata majanga nmetoka job nkasema nkapige supu kidgo, ss wakati natoka nkasahau simu nafika kwa gari najisachi sina simu nkarudi namkuta muhudum anatoa vyombo namuuliza akakana kama hajaona cm nataka msachi akajidai mkali nmentandika chupa nyambafu zake huku na huku wakatokea wakunitetea nkasepa
 
Mwenzenu nimepata majanga nmetoka job nkasema nkapige supu kidgo, ss wakati natoka nkasahau simu nafika kwa gari najisachi sina simu nkarudi namkuta muhudum anatoa vyombo namuuliza akakana kama hajaona cm nataka msachi akajidai mkali nmentandika chupa nyambafu zake huku na huku wakatokea wakunitetea nkasepa
Haaaaaaa jamani pole sana mpendwa.
Kuwa makini wakati mwingine.
 
The bold kuhusu hilo natamani kulipitisha lakini karoho kanauma sana
Shida si financial shida inakuja mawasiliano ya wife Clkey yatakuwa wazi sana nitaibiwa kirahisi
Hapa tu anatumia anonyms lakini napata presha je huko,,
Damn me! story nataka sana tu ukizingatia Nifah kanambia ep zipo 50 we have to do that.
Hey boy @Trancend stay away from her sasa kama hutaki kuendelea kusoma story mfatilie,,,,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom