Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Huna habari huyo unayemuita mkeo ni wa kaskazini?
Huoni kama umemtusi tayari?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jahazi linazama Johnson [emoji134]
Akuuuu!!! huko yupo kikazi tu, tena nina mpango nimuombe transfer aje kigamboni apigwe na upepo halisi, [emoji23]
 
Shemeji hiyo sentesi ya kwanza nikikujibu mwezi mzima huu jambazi kuu atanyimwa chance ya kumaliza hasira zake.! Kila ikifika mida pendwa ya jambazi kuu kuonyesha utemi nitakuwa najibiwa "nenda huko huko kwa shemeji yako uliye mjibu I love you too" hahahahahahaha
hahahaaa mwandishi umefanikiwa kupenyeza ujumbe kwa shemeji. kama ni mjanja ameshajua dhamira yako apokee 'I LOVE YOU THREE' hope atakutafuta. mkuu nifah ongeza makomadoo na vifaru. maadui wamebadili intelejensia!!! ## hongera sana The Bold's episode 7 umeitendea haki ipasavyo. kazi yetu wasomaji wako ni kukuombea tu.
 
Shemeji hiyo sentesi ya kwanza nikikujibu mwezi mzima huu jambazi kuu atanyimwa chance ya kumaliza hasira zake.! Kila ikifika mida pendwa ya jambazi kuu kuonyesha utemi nitakuwa najibiwa "nenda huko huko kwa shemeji yako uliye mjibu I love you too" hahahahahahaha
hahahaaa mwandishi umefanikiwa kupenyeza ujumbe kwa shemeji. kama ni mjanja ameshajua dhamira yako apokee 'I LOVE YOU THREE' hope atakutafuta. mkuu nifah ongeza makomadoo na vifaru. maadui wamebadili intelejensia!!! ## hongera sana The Bold's episode 7 umeitendea haki ipasavyo. kazi yetu wasomaji wako ni kukuombea tu.
 
Shemeji hiyo sentesi ya kwanza nikikujibu mwezi mzima huu jambazi kuu atanyimwa chance ya kumaliza hasira zake.! Kila ikifika mida pendwa ya jambazi kuu kuonyesha utemi nitakuwa najibiwa "nenda huko huko kwa shemeji yako uliye mjibu I love you too" hahahahahahaha
hahahaaa mwandishi umefanikiwa kupenyeza ujumbe kwa shemeji. kama ni mjanja ameshajua dhamira yako apokee 'I LOVE YOU THREE' hope atakutafuta. mkuu nifah ongeza makomadoo na vifaru. maadui wamebadili intelejensia!!! ## hongera sana The Bold's episode 7 umeitendea haki ipasavyo. kazi yetu wasomaji wako ni kukuombea tu.
 
Shemeji hiyo sentesi ya kwanza nikikujibu mwezi mzima huu jambazi kuu atanyimwa chance ya kumaliza hasira zake.! Kila ikifika mida pendwa ya jambazi kuu kuonyesha utemi nitakuwa najibiwa "nenda huko huko kwa shemeji yako uliye mjibu I love you too" hahahahahahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom