Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Kwanini aende jela wkt amepata pa kuanzia,he has a chance to play both sides akapata anachokitaka,plus msaada wa isaac,the bold fikiria tena,ray ana alternative,hakuna haja ya kumpeleka jela,unless unataka kutunyima utamu wa Cheupe
Hahahahahahaha.! Daaaahh nimecheka sana Mkuu.. Ila mkuu mimi naandika tu maamuzi ni ya Ray mwenyewe! Siwezi kucontrol anachokiwaza wala maamuzi yake.. And most difficult siwezi kubadili kilichotokea katika maisha yake (past yake) naandika vile ilivyo..
 
Hahahahahahaha.! Daaaahh nimecheka sana Mkuu.. Ila mkuu mimi naandika tu maamuzi ni ya Ray mwenyewe! Siwezi kucontrol anachokiwaza wala maamuzi yake.. And most difficult siwezi kubadili kilichotokea katika maisha yake (past yake) naandika vile ilivyo..
Tambua mwanafasihi (Mwandishi) anaweza hata kumuua au kumfufua MHUSIKA
 
Nafahamu.. Just enjoy the story without trying to influence what I should/shouldn't write and what should/shouldn't happen in the story.. Hiyo kazi muachie muandishi..

Asante!
Yeah,but kwakua hii stori unaitoa hapa kwenye online platform opinions za wadau zinakupa picha how they feel the stori,yaani maendeleo ya sayansi na teknolojia yameifanya fasihi andishi kuwa kama fasihi simulizi due to the fact that hadhira inaweza kuwasiliama na mwandishi moja kwa moja.Ingekua umeitoa kwenye kitabu hizi comments tungekufa nazo.Naona kuna mambo tunapaswa kuyabadili kwenye fasihi andishi ya kisw kwa sasa sifa zake zinabadilika kwakweli.
 
Hahahahahahaha.! Daaaahh nimecheka sana Mkuu.. Ila mkuu mimi naandika tu maamuzi ni ya Ray mwenyewe! Siwezi kucontrol anachokiwaza wala maamuzi yake.. And most difficult siwezi kubadili kilichotokea katika maisha yake (past yake) naandika vile ilivyo..
Kwa hiyo unaandika under the influence of the Holy Ghost
 
kichwa I love you
ahahhahahhaha Nifah MI SI DADAKO?
namsifia shemela!
Shemeji hiyo sentesi ya kwanza nikikujibu mwezi mzima huu jambazi kuu atanyimwa chance ya kumaliza hasira zake.! Kila ikifika mida pendwa ya jambazi kuu kuonyesha utemi nitakuwa najibiwa "nenda huko huko kwa shemeji yako uliye mjibu I love you too" hahahahahahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom