Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Kila weekend.. Kisheria tumejiwekea kila weekend tuna dinner date!!

Si unajua kaka yako nilivyo romantic!? Wifi yako anakuwa katoto kila kukicha, hata la sita B anaweza kuanza..
Kiukweli kwa eneo lile nakuaminia sio mm dadaako c unaona shemela wako alivyonichakaza
Tunza kakaangu wasije muiba bure sabab hata dinner/lunch hatuwezi
 
naona humu jamvini mnamgomba clkey tuu vp mbona sioni nifah akigombewa au mnamwogopa jambazi kuu The bold!! hebu testini zari kwa nifah

Wewe wachuze wenzako wajaribu kweli mtashangaa kesho hapa ametuma mtu kuja kuanzisha uzi kuomba wadhamini wakamtoe korokoroni.. Hahahahahaha

Kwajinsi nilivyohaso mpaka huyo malkia amekaa tunduni... Mtu akileta utani ataenda kuwa cell mate wa Ray.!!?
 
Ss mbona unaanza kuweweseka dalili mbaya
Siyo kuweweseka namtahadharisha Lubavu na ile team Makambas hasa Kitengo cha Mlimani City ewasifanye uchakachuzi. Maana itakuwa aibu kutangazwa nimeshindwa wakati nimeshasema nitashinda asubuhi saa 4 na kula haitapotea hata moja.
 
Siyo kuweweseka namtahadharisha Lubavu na ile team Makambas hasa Kitengo cha Mlimani City ewasifanye uchakachuzi. Maana itakuwa aibu kutangazwa nimeshindwa wakati nimeshasema nitashinda asubuhi saa 4 na kula haitapotea hata moja.
Ahaaa hapo sawa nmekuelewa kabisaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom