johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,731
Aaahhhh wapi nitaamend katibaMkuu ufalme wako unaendelea kuyeyuka..
Aaahhhh wapi nitaamend katibaMkuu ufalme wako unaendelea kuyeyuka..
Mkuu unakumbuka hiyo barua!!(in jaji lubuva's voice)
Ndugu wanabodi, mpaka sasa inaonyesha umoja wa vyama vya upinzani UKAWA (Transcend, fakalava, Mkoroshokigoli) wanaelekea kukitoa madarakani chama tawala (johnsonmgaya) kilichotawala kwa miaka lukuki toka thread hii iko page ya 3 na mpaka sasa inasoma 2K lakini chama hiki tawala hakijaondoa kero ya "Utamu" inayomkabili nchi yetu hii pendwa (Clkey)
Nitatangaza matokeo rasmi hapo baadae.. Kuna BVR zimeharibika
Ngoja niachie hapo nisiujaze video uzi wa The Bold.
Jecha hataki hizi kazi tena !! Subiri kura halali [emoji23][emoji23][emoji23]Aaahhhh wapi nitaamend katiba
Kazana basi mai dear maana ukishindwa mm ntaenda tu hakuna namna nyingneHhaahahha wacha wapige kelele nitashinda hata kwa bao la mkono! nina majeshi nina tume huru ya uchaguzi nahofia nini, hao mabwege na malofa hawanitishi kwa lolote hii nchi ishatawaliwa na utamu kila pahala(in ben mkapa's voice)
Ss mbona unaanza kuweweseka dalili mbayaTafadhari bwana Lubavu😛😛 matokeo yasomwe kama yalivyoletwa, yasipitie kitengo.
Wamedata, ww subiri atakayeshinda akupe maharihaaah inamaana kila mtu anataka konzi za clkey!!!
Yaani una vituko ww hapana aisee, halaf leo sijamuona wifi yangu(in jaji lubuva's voice)
Ndugu wanabodi, mpaka sasa inaonyesha umoja wa vyama vya upinzani UKAWA (Transcend, fakalava, Mkoroshokigoli) wanaelekea kukitoa madarakani chama tawala (johnsonmgaya) kilichotawala kwa miaka lukuki toka thread hii iko page ya 3 na mpaka sasa inasoma 2K lakini chama hiki tawala hakijaondoa kero ya "Utamu" inayomkabili nchi yetu hii pendwa (Clkey)
Nitatangaza matokeo rasmi hapo baadae.. Kuna BVR zimeharibika
Transcend nionee huruma sina mbavu mwenzenu nmeshacheka sanaa aiseeMkuu unakumbuka hiyo barua!!
Tarehe 21 january 2017 itakuwa inatimiza mwaka mmoja toka iandikwe na mambo yawe kama yalivyo sasa hivi..
Naomba Jmosi tarehe 21 ndo utangaze ushindi wa haki kupinga mambo kama yaha [emoji23][emoji23][emoji23]
![]()
Cc:
Wagombea wote:
Mgombewa
Malofa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hhaahahha wacha wapige kelele nitashinda hata kwa bao la mkono! nina majeshi nina tume huru ya uchaguzi nahofia nini, hao mabwege na malofa hawanitishi kwa lolote hii nchi ishatawaliwa na utamu kila pahala(in ben mkapa's voice)
"nunua" halafu bill juu yake[emoji6] [emoji6][emoji122][emoji122][emoji122]Bravo mkuu nunua Heineken bili juu yangu
Amani ya nchi idumu[emoji20] [emoji20] [emoji21] [emoji21] [emoji21] akina baba bite buanaUkawa mna kura nyingi sana ila mmekuwa na fujo nyingi baada ya Episode 7 kutoka..
Tutajitahidi tutende haki ila tutazingatia amani ya nchi idumu..
Sitaki tuu kujitangaza manake watasema nimepindua mtu...Transcend nionee huruma sina mbavu mwenzenu nmeshacheka sanaa aisee
Nataman nikwambie umeshinda ila nikiangalia chama tawala ndo kimentoa mbali naghairiSitaki tuu kujitangaza manake watasema nimepindua mtu...
Hii game nimewaacha kina jonii miles away...!
Yaani una vituko ww hapana aisee, halaf leo sijamuona wifi yangu
Fall in love with the person who enjoy your madness not an idiot who makes you unhappy...[emoji28][emoji28][emoji28]Transcend nionee huruma sina mbavu mwenzenu nmeshacheka sanaa aisee
Be patient! ! Stay calmed..huu uchaguzi ni huruNataman nikwambie umeshinda ila nikiangalia chama tawala ndo kimentoa mbali naghairi
Safi sana tumepata wife material aisee,lkn siku nyingne umtoe out asije anza kuzeeka mapema kisa kukupikiaWifi yako amekuwa msweet sana siku hizi.. Yani hataki kusikia nakula restaurant ni mwendo wa kunipikia asubuhi, mchana, jioni..
Yuko jikoni sahizi, ila karibu anamaliza utamuona hapa mda si mrefu
Msalimie mkuu! Najua vile anakupendaga..Wifi yako amekuwa msweet sana siku hizi.. Yani hataki kusikia nakula restaurant ni mwendo wa kunipikia asubuhi, mchana, jioni..
Yuko jikoni sahizi, ila karibu anamaliza utamuona hapa mda si mrefu