Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Nadhani mungu hakunipa mshipa wa woga, mantiki yangu ni kwa Johnson, kwa sasa anakabwa pande 3, mpaka sasa naongoza kwa point. Clkey, will you be my wifey?
Nafurahi kama unajua kuwa mmeniweka mtu kati ila tu nikufamishe mimi ni sterling wa kihindi napiga kijiji kizima then nasepa na wife
 
(in jaji lubuva's voice)

Ndugu wanabodi, mpaka sasa inaonyesha umoja wa vyama vya upinzani UKAWA (Transcend, fakalava, Mkoroshokigoli) wanaelekea kukitoa madarakani chama tawala (johnsonmgaya) kilichotawala kwa miaka lukuki toka thread hii iko page ya 3 na mpaka sasa inasoma 2K lakini chama hiki tawala hakijaondoa kero ya "Utamu" inayomkabili nchi yetu hii pendwa (Clkey)

Nitatangaza matokeo rasmi hapo baadae.. Kuna BVR zimeharibika
 
(in jaji lubuva's voice)

Ndugu wanabodi, mpaka sasa inaonyesha umoja wa vyama vya upinzani UKAWA (Transcend, fakalava, Mkoroshokigoli) wanaelekea kukitoa madarakani chama tawala (johnsonmgaya) kilichotawala kwa miaka lukuki toka thread hii iko page ya 3 na mpaka sasa inasoma 2K lakini chama hiki tawala hakijaondoa kero ya "Utamu" inayomkabili nchi yetu hii pendwa (Clkey)

Nitatangaza matokeo rasmi hapo baadae.. Kuna BVR zimeharibika
Tafadhari bwana Lubavu😛😛 matokeo yasomwe kama yalivyoletwa, yasipitie kitengo.
 
(in jaji lubuva's voice)

Ndugu wanabodi, mpaka sasa inaonyesha umoja wa vyama vya upinzani UKAWA (Transcend, fakalava, Mkoroshokigoli) wanaelekea kukitoa madarakani chama tawala (johnsonmgaya) kilichotawala kwa miaka lukuki toka thread hii iko page ya 3 na mpaka sasa inasoma 2K lakini chama hiki tawala hakijaondoa kero ya "Utamu" inayomkabili nchi yetu hii pendwa (Clkey)

Nitatangaza matokeo rasmi hapo baadae.. Kuna BVR zimeharibika
Hhaahahha wacha wapige kelele nitashinda hata kwa bao la mkono! nina majeshi nina tume huru ya uchaguzi nahofia nini, hao mabwege na malofa hawanitishi kwa lolote hii nchi ishatawaliwa na utamu kila pahala(in ben mkapa's voice)
 
(in jaji lubuva's voice)

Ndugu wanabodi, mpaka sasa inaonyesha umoja wa vyama vya upinzani UKAWA (Transcend, fakalava, Mkoroshokigoli) wanaelekea kukitoa madarakani chama tawala (johnsonmgaya) kilichotawala kwa miaka lukuki toka thread hii iko page ya 3 na mpaka sasa inasoma 2K lakini chama hiki tawala hakijaondoa kero ya "Utamu" inayomkabili nchi yetu hii pendwa (Clkey)

Nitatangaza matokeo rasmi hapo baadae.. Kuna BVR zimeharibika
Mkuu ngoja nimchukue Grace wangu...!

Afu wanashindwa kuelewa kuwa nina vital power baada ya kuhakikisha dada yangu Nifah anakuwa uhai wako wa pili..[emoji28][emoji28]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom