Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Thats life brooh! Jokes zinaongeza siku za kuishi..
emoji122.png
emoji122.png
emoji122.png
Exactly Mkuu, we are friends hakuna haja ya kununiana. Ila mtanange unaonyesha naongoza.
 
(in jaji lubuva's voice)

Ndugu wanabodi, mpaka sasa inaonyesha umoja wa vyama vya upinzani UKAWA (Transcend, fakalava, Mkoroshokigoli) wanaelekea kukitoa madarakani chama tawala (johnsonmgaya) kilichotawala kwa miaka lukuki toka thread hii iko page ya 3 na mpaka sasa inasoma 2K lakini chama hiki tawala hakijaondoa kero ya "Utamu" inayomkabili nchi yetu hii pendwa (Clkey)

Nitatangaza matokeo rasmi hapo baadae.. Kuna BVR zimeharibika
baby you crazy nimecheka mnoooooo!
Dah naipenda hii thread Kwa mengi.
 
Ukizidiwa unadhan utafanyaje,c utamrembulia vimacho kdgo basi ataelewa (Joking)
Sasa hapo ni kubaka??
Maana akinitega na pasua ufa kwa makubaliano


Nilidhan wanabaka nilitaka unielekeze hiyo sehem ambayo wanawake wanabaka wanaume kumbe kutega basi sawaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom