Vipaji maalum si lolote, si chochote

Vipaji maalum si lolote, si chochote

Hivi, hilo li system ndo li-nini hilo? Ni lidubwana gani hilo? Na ni wajibu wa nani kulitengeneza na kuliboresha?

Oh by the way, hebu nitajie Watanzania watano tu ambao ni wachumi waliobobea na ambao kazi zao na vipaji vyao maalum vimekuwa ni of "greatest benefit on mankind"....

Leo hii wewe na mimi tunalumbana hapa kupitia kompyuta na intaneti ambazo zimevumbuliwa na kuboreshwa na watu...watu wenye vipaji maalum vya ukweli na si hivyo vyenu vya NECTA.

And you can see how much money and research they put into it kufanya computer and the internet iwe hivi ilivyo leo. Siwezi kuongelea uchumi, mi sio mchumi and I'm not interested in uchumi but one thing I know ni kuwa without money, we can't do research, without research we can't go anywhere in scientific and engineering fields.
 
Kwa nini huwezi? Yaani hizo shule za "vipaji maalum" vya NECTA hazijazalisha hata wawili?

Na wewe from half the population of the world in 100 poorest nations hatujazalisha hata 15 tu...
 
Swali lako zuri sana Nyaningabu hata nami ningependa kujua criteria ya kuziita special schools. Maana definition ya special school ni tofauti na kilichopo katika hizo shule in terms of special teachers, buildings, learning activities etc.

Acheni hizo,
Kwani syllabus ya shule huwa inapima nini?si uwezo wa kufaulu??
Kwa hivyo vipaji maalum wana vipaji vya kuelewa mambo haraka kwa hivo wanafaulu zaidi...
Msitake kuleta gubu...

Sisi wakati tukisoma Ilboru tuliingia makubaliano nawaliokua walimu wa physics na chemistry, ili wasiwe wanakuja madarasani sababu walikuwa wanatupotezea muda kwa wasivyo na competency..na bado tulitokea top 10 kitaifa...
Ninachotaka kusema ni kuwa hawa walimu wa Marian, St. Francis na Feza wangepelekwa kwenye hizi shule za vipaji..hizi za private zingekuwa zinaona vumbi tu...sisi tulikuwa tunajiita vipaji kwa sababu tulikuwa hatufundishwi.
 
Acheni hizo,
Kwani syllabus ya shule huwa inapima nini?si uwezo wa kufaulu??
Kwa hivyo vipaji maalum wana vipaji vya kuelewa mambo haraka kwa hivo wanafaulu zaidi...
Msitake kuleta gubu...

Kwa hiyo yeyote tu anayefaulu vizuri ni ana kipaji maalum?
 
Kwa hiyo yeyote tu anayefaulu vizuri ni ana kipaji maalum?

Yap...kupima kipaji unalinganisha kiasi cha input na output iliyozalishwa
Kipaji maalum hahitaji spoon feeding ili aweze kufanya vizuri...
utagundua hilo ukifuatilia matokeo ya wanafunzi wanaofaulu vizuri sana kwenye shule
za seminari zenye spoon-feeding wanapofika vyuoni, na kuchanganyika na walitoka vipaji maalum...
points 7 na 3 za seminari huwa wa kawaida sana vyuoni (mara nyingi!)

Ila pia mtu asichanganye mambo...
Kufaulu vizuri kuna uhusiano wa moja kwa moja pia na uwezo wa kupambana na challenges za maisha na kazi..
sio kipimo cha hakika 100% lakini mpaka leo hakuna kipimo kingine bora zaidi kama akili ya mtu darasani...
 
Yap...kupima kipaji unalinganisha kiasi cha input na output iliyozalishwa
Kipaji maalum hahitaji spoon feeding ili aweze kufanya vizuri...
utagundua hilo ukifuatilia matokeo ya wanafunzi wanaofaulu vizuri sana kwenye shule
za seminari zenye spoon-feeding wanapofika vyuoni, na kuchanganyika na walitoka vipaji maalum...
points 7 na 3 za seminari huwa wa kawaida sana vyuoni (mara nyingi!)

Oh haya Mr. Kipaji Maalum cha NECTA.
 
Oh haya Mr. Kipaji Maalum cha NECTA.

Watu walioshindwa shule wamekazania sana hii,
Ati wewe faulu shule mimi ntakuzidi maisha...WTS!!
hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya kufeli shule na kufaulu maisha
kama ingekuwa hivyo sisi wote tungejifelisha shule..
Ni sahihi kusema kuwa mtu anahitaji some x-factors za kuongezea kwenye elimu ya darasani
Lakini the world is run by the smart!!....
 
'No one is denying that they are smart and no one is saying they are stupid either.

My issue is only with the identification methods used in deciding which student is "special" enough to go to those designated "special schools".

Just because someone performs with flying colors in his finals that alone doesn't make him or her "special". An average student can work hard and earn good grades but that doesn't make him or her intellectually gifted.

Maybe I don't know but do they actually start scouting for these "special students" in primary school? Like having them take advanced classes like college level algebra, trigonometry, etc.? To me a kid who is in standard five or six, for example, who can take college level classes and actually excel, then that student is intellectually gifted. Or say a ten year old with a reading level and vocabulary of a college student....that is intellectual giftedness.

But just performing well on a national exam that you had years to prepare for is not all that special. The whole idea is misguided and the methodology used in picking those "special" students is flawed. No wonder why most of them have nothing to show for after they finish school. You know why? Because perhaps they were not that gifted, after-all.'


Jealous much?!!
 
Watu walioshindwa shule wamekazania sana hii,
Ati wewe faulu shule mimi ntakuzidi maisha...WTS!!
hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya kufeli shule na kufaulu maisha
kama ingekuwa hivyo sisi wote tungejifelisha shule..
Ni sahihi kusema kuwa mtu anahitaji some x-factors za kuongezea kwenye elimu ya darasani
Lakini the world is run by the smart!!....

Yeah..labda walioshindwa shule kikweli kweli lakini wako mtiifu sijawahi kushindwa shule hata siku moja.

Ninachoona ni kasoro nyingi sana kwenye elimu yetu na mojawapo ndiyo hiyo ya identification method (ingawa kuna baadhi ya watu wamesema huo utaratibu haupo tena).
 
Tanzania ina Shule sita zinazojulikana kama Vipaji Maalum. Zipo nne za wavulana na mbili za wasichana. Shule hizo ni Mzumbe,Tabora Boys,Ilboru,na Kibaha(kwa wavulana). Kwa wasichana ni Kilakala na Msalato.

Katika matokeo ya Kidato cha Nne ya 2012 yaliyotangazwa leo,Shule hizo za vipaji maalum zimeboronga. Hakuna hata moja iliyo kwenye kumi bora. Zimeshindwa kujidhihirishia utofauti wao. Vipaji maalum sasa hakuna lolote,hakuna chochote.

Nafasi zao ni kama ifuatavyo: Mzumbe(17),Kibaha(18),Ilboru(31),Tabora Boys(44),Msalato(59) na Kilakala(63).

NOTE: Shule mpya ya Marian Boys ambayo ndio kwanza imeanza kutoa wahitimu wa kidato cha nne imeshika nafasi ya pili kitaifa. Hii ni Shule pacha ya Marian Girls (zote ziko Bagamoyo).Marian Girls imekamata nafasi ya nne nyuma ya Feza Boys(3) na vinara St. Francis Girls ya Mbeya.
Kwaheri vipaji maalum!
MKUU siku hizi watoto wenye vipaji/akili wakipangiwa shule hizi hawapelekwi huko kama wazazi wao wanafedha wanawapeleka kwenye shule km ulizozitaja huku sasa ni kimbilio la watoto wa vizito wa kati wanaowahamisha watoto wao toka kata kwenda huko, pia usisahau shule hizi kwa sasa si km zamani kiufundishaji,kimanzingira nk
 
Jealous much?!!

Not at all.

Questioning the validity of something is not jealousy.

And if you look at the centerpiece of my argument no one has addressed it fully, thus far.

Everyone is just dancing around it while throwing accusatory jabs of jealousy and envy when it's not even about that.

Remember Bethuel Mbugua?

Bethuel Mbugua. As a boy, he possessed rare intellectual prowess that captured the nation's interest, yet he failed an IQ test to prove he is a genius. Clicke here for more
 
Duh, mleta thread ulipiga four nini kaka?Hii ni tabia ya least performers wengi, mtu kupata 'A' zote mfano, isnt it a special thing?Of course ni mfano tu, hata kupata 'F' zote ni special kaka..., na hisi na wewe ni special ya aina ya pili, unaona wivu kutambuliwa kwa special case moja, much respect to you too and sorry for having been ignored for long...
 
Tupunguze wivu jamani me mwenyewe hapa nataman kwenda huko mnakopaponda nashangaa mnaodic, kuuosha A nacho ni kipaji jaman.Ckatai kwamba kuna baadh ya wa2 wanaingia kindugu katika shule hizo bt mnyonge mnyongen haki yake mpen
 
What makes u special ni hiyohiyo bidii yako ndugu! Sasa ww ulitakaje cjui?
Acha kuwa intimidatted na hz post za hawa jamaa, kama ulikuwa special school that means u were special kwa namna fulani kuliko wao, ingawa hata wao ni special kwa namna yao labda kwenye sports lakini too special school hyo cyo criteria, ww ulikuwa tested kwa criteria za Tz ukaonekana special so usianze kutokwa povu mara ooh am not sure if I waz special or not!!!v seriously umenishangaza sana, wewe utakua ULIPIGA CHABO
asante. ila ckufika pale kwa kupiga chabo, hilo na uhakika nalo.
 
Nimesoma Mzumbe form 5 na 6. Nilipata div. 1 yenu ya NECTA na sina kipaji chochote wala sikuona mwanafunzi alieyetisha to the point nikasema he was gifted with special talent(s) Hell no!. As I said before hizi ni shule za waliopata grade nzuri, but sio za denti wenye vipaji maalum.......labda vipaji vya kukariri
 
Nimesoma Mzumbe form 5 na 6. Nilipata div. 1 yenu ya NECTA na sina kipaji chochote wala sikuona mwanafunzi alieyetisha to the point nikasema he was gifted with special talent(s) Hell no!. As I said before hizi ni shule za waliopata grade nzuri, but sio za denti wenye vipaji maalum.......labda vipaji vya kukariri

Sherrif majiniasi huwaga hawajikubali hata siku moja. Mtu akikwambia we jiniasi bila shaka utamwambia, "Hamna bwana, napiga buku sana tu". Ila kumbuka kuna wengi wanaopiga buku lakini hawapati marks za kutosha kuingia Mzumbe.
 
Not at all.

Questioning the validity of something is not jealousy.

And if you look at the centerpiece of my argument no one has addressed it fully, thus far.

Everyone is just dancing around it while throwing accusatory jabs of jealousy and envy when it's not even about that.

Remember Bethuel Mbugua?

Haya Nyani there goes your IQ Test. Mbugua kafeli lakini mwenyewe unakubali kuwa ana kipaji maalum. Kama nilivyokwambia IQ sio kila kitu. In fact hakuna test ya kwenye karatasi iliyokamilika. Kwa hiyo kipaji maalum cha NECTA kikubali kama kilivyo. Kwamba ni kipaji maalum within that system.

Kikija cha IQ nacho kina system yake ndio utayakuta majinias ya Mensa Club, ila nao ukiwafuatilia sio wote wana Nobel, au wanakuja kufanya mambo makubwa baadae.

Na pia kuna kipaji maalum cha biashara hapo ndio unayakuta majianias kama Bakhressa ambaye hajafika hata form four lakini ndio tajiri namba moja Tanzania.

Sasa usipoteze muda kulinganisha nyanja tofauti, kwamba bas Bakhressa kwa kuwa ndio jiniasi wa biashara basi na awe jiniasi wa IQ Test, na jiniasi wa NECTA. Haiko hivyo.
 
Sherrif majiniasi huwaga hawajikubali hata siku moja. Mtu akikwambia we jiniasi bila shaka utamwambia, "Hamna bwana, napiga buku sana tu". Ila kumbuka kuna wengi wanaopiga buku lakini hawapati marks za kutosha kuingia Mzumbe.
Nimekupata mkuu. Lakini the bottom line ni kuwa mimi ni mmoja kati ya "wazumbe" lakini sina kipaji chochote maalum hadi leo hii
 
Ndiyo maana nasema bado kabisa sijaona hivyo vipaji maalum vya hao wanafunzi waliosoma kwenye hizo shule za vipaji maalum.

Kufanya tu vizuri kwenye mtihani haimaanishi una kipaji maalum. Serikali yetu ilibugi kabisa hapo.

fuatilia tamasha la young scientist lililofanyika dsm mshindi alikuwa nani na alitoka shule gani kwa ku present nini....Nyani ulisoma school gani ? Tatizo mnafuatilia matokeo ya Necta tu.....matamasha ya Malihai na uhifadhi wa mazingira watoto wa.afanya makubwa kule.
 
Back
Top Bottom