Vipaji maalum si lolote, si chochote

Vipaji maalum si lolote, si chochote

Haya bana...hesabu za Marekani ni za kitoto na za Tanzania ndo za ukweli na za kikubwa:second:.

I agree, na sio hesabu tu, karibu sciences zote elimu ya Tanzania(au elimu ya muingereza tuliyorithi) ni ngumu. A-level sciences PCBM are as equivalent to first 1.5yrs to 2yrs science courses in an American college.
 
I agree, na sio hesabu tu, karibu sciences zote elimu ya Tanzania(au elimu ya muingereza tuliyorithi) ni ngumu. A-level sciences PCBM are as equivalent to first 1.5yrs to 2yrs science courses in an American college.

Na kwa mtaji huo basi elimu ya Tanzania ni bora zaidi kuliko ya Marekani na wanafunzi wa Kitanzania wakienda Marekani hufanya vizuri zaidi kuliko Wamarekani wenyewe!

Vivyo hivyo wanasayansi wa Kitanzania ni bora zaidi kuliko wanasayansi wa Kimarekani. Lol.
 
Gabu wala hata tusihangaike we ulienda shule ya vipaji maalumu?

Ama ulipata alama za kutosha kwenda shule za vipaji maalumu?

If yes congratulations ... una kipaji maalum na sasa unajaribu kukitumia kuboresha system.

If not unadhani ni kwa nini? Je wale waliokushinda walikuwa na nini cha ziada ambacho wewe ulikosa?

Na kuna mahali umesema hicho tunachokiita "kipaji maalum" kwako wewe ni "ari, bidii, juhudi na akili za kawaida". Swali hapo ni hebu tuoneshe hivyo vipaji maalum unavyovikubali wewe ambavyo vimeweza kuonekana pasipo ari, bidii na juhudi.

Na hizo IQ unazozifagilia tuoneshe ni kina nani wanaoongoza kwa IQ na vipaji vyao maalum vimedhihirikaje. Tukienda kwa mfano wako wa ugunduzi na Nobel Prizes.
 
Kama unaamini hivyo basi hamna neno maana ni imani yako tu. Na hiyo imani yako pengine yaweza pia kuelezea kwa nini sisi ikija kwenye medani za kimataifa (katika nyanja yoyote ile) hatuko renowned for anything. Not sports, not academics, not science, not medicine, not engineering, not literature, and the list is endless.

Unataka tuwe renowned in science, engineering, medicine, etc wakati hatuna uwezo(kipesa) wa kuconduct research?
 
Gabu wala hata tusihangaike we ulienda shule ya vipaji maalumu?

Hapana. Mimi ni mbeba maboksi tu na miaka michache iliyopita nikaukwaa urais wa wabeba maboksi.

Ama ulipata alama za kutosha kwenda shule za vipaji maalumu?

Hapana. Kama ningepata alama za kutosha kwenda kwenye shule ya kipaji maalum mbona ningejidai. Na kama ningepata alama za kutosha wala nisingeishia kubeba maboksi. Real talk.

If yes congratulations ... una kipaji maalum na sasa unajaribu kukitumia kuboresha system.

Mimi sina kipaji maalum. Unless kubeba maboksi nacho ni kipaji maalum but I don't think so.

If not unadhani ni kwa nini? Je wale waliokushinda walikuwa na nini cha ziada ambacho wewe ulikosa?

Nadhani walikuwa na bidii na walikuwa wanapenda kusoma zaidi yangu. Mimi sikupenda shule kama wengine.

Na kuna mahali umesema hicho tunachokiita "kipaji maalum" kwako wewe ni "ari, bidii, juhudi na akili za kawaida". Swali hapo ni hebu tuoneshe hivyo vipaji maalum unavyovikubali wewe ambavyo vimeweza kuonekana pasipo ari, bidii na juhudi.

Nadhani hujanielewa kabisa wewe. Ila jaribu kurudi nyuma kurasa kadhaa maana nimeweka clips za watoto wenye vipaji maalum vya uweli na siyo hivyo vya NECTA.

Na hizo IQ unazozifagilia tuoneshe ni kina nani wanaoongoza kwa IQ na vipaji vyao maalum vimedhihirikaje. Tukienda kwa mfano wako wa ugunduzi na Nobel Prizes.

Stephen Hawking....kama humjui...google.
 
Unataka tuwe renowned in science, engineering, medicine, etc wakati hatuna uwezo(kipesa) wa kuconduct research?

Watu wenye vipaji maalum mnashindwa vipi kuwa na pesa? Mimi nilidhani vipaji maalum ni pamoja na kuwa creative, innovative, na resourceful.....

Wewe unadhani Marekani wameshushiwa tu utajiri? Unadhani Wajerumani wameshushiwa tu pesa? Kipaji maalum ni pamoja na uwezo wa kutawala mazingira yako na kuyaboresha ili uweze kuishi vizuri zaidi ya hali uliyonayo.
 
Ni kweli watanzania huwa wanafanya vizuri, lakini how is that even a valid comparison?

Why is it not a valid comparison? Si wao wanasoma vitu vigumu na vilivyoendelea zaidi? Basi na matokeo inabidi yaakisi hicho wanachokisoma. Ukisoma vitu vyepesi maana yake na matokeo yako yatakuwa mepesi na unimpressive.
 
Why is not a valid comparison? Si wao wanasoma vitu vigumu na vilivyoendelea zaidi? Basi na matokeo inabidi yaakisi hicho wanachokisoma. Ukisoma vitu vyepesi maana yake na matokeo yako yatakuwa mepesi na unimpressive.

With your comparison, Tanzania tungekuwa matajiri sana, we have all the resources, right? It's not only about a factor or two, there's a lot to put into account before you draw that conclusion.
 
With your comparison, Tanzania tungekuwa matajiri sana, we have all the resources, right? It's not only about a factor or two, there's a lot to put into account before you draw that conclusion.

Hebu nitajie majina ya watu watano tu katika field za sayansi ambao ni Watanzania na ambao kazi zao na vipaji vyao maalum vimekuwa ni of "greatest benefit on mankind".
 
Watu wenye vipaji maalum mnashindwa vipi kuwa na pesa? Mimi nilidhani vipaji maalum ni pamoja na kuwa creative, innovative, na resourceful.....

Wewe unadhani Marekani wameshushiwa tu utajiri? Unadhani Wajerumani wameshushiwa tu pesa? Kipaji maalum ni pamoja na uwezo wa kutawala mazingira yako na kuyaboresha ili uweze kuishi vizuri zaidi ya hali uliyonayo.

Mambo ya pesa wachumi wataeleza zaidi, ila najua there are very valid reasons why Tanzania(and Africa in general) tupo hapa tulipo. And it all goes back to the system.
 
Mkuu hivi unataka kutuaminisha hivi.... ?, Pia lazima ujue kwamba Test ya kuitwa special inafanyika either la saba au form IV (ili kuingia form six au form one).

Pia mkuu majibu ya mitihani huwa kila mtu anayesoma anakuwa nayo.., kama unajua syllabus na kila kinachoulizwa kinatoka kwenye hizo syllabus you should know the format of exams before hand..., na mitihani yote huwa ni the same (formulas na format..) kinachobadilika ni lugha tu (tusitake ku-complicate issue).., Na since mitahani ndio the only measurement huwezi kusema wanaoshinda hizo measurement hawafai labda cha muhimu ni kuangalia ni vipi kipimo kinaweza kubadilishwa / kuboreshwa...,

Ila huwezi kusema vijana wote wa Tanzania wanao uelewa sawa (hata maiti zinazidiana kunuka..) na since kwenye hizi shule inabidi waende (creme de la creme...., ingawa wengi wakichaguliwa huwa hawaendi huko..), basi kwa vigezo vya Tanzania hizi shule ndio zina Top Performers, (and since they are Top Performance hence they are special in comparison with their counterparts) Na hawa vijana kutokana na ukosefu wa waalimu na vitabu mwisho wa siku unaweza ukakuta wanaingia wakiwa wazuri na kutoka wakiwa wabovu... (lack of nurturing)[/QUOTE

yote ulioyosema upo sahihi,lakini kwa miaka yote ya nyuma usawa katika mitihani haukuwepo kwa sababu aliyespecial school licha ya uwezo alionao bado alipata boost kwa kupewa real exam 3 month before,wakati yule wa shule za kawaida anaingia kwenye mtihani kavu kavu,kwa iyo.mi binafsi nimesoma o level shule ya kawaida nimescore div 1;12,kwa jitihahada binafsi mwenyewe,nimeenda special school with PCB, nimescore div1;6(C,B,A) highest score ilikuwa div 1;3,lakini kiukweli bila mbinu za ufundi,tungefaulu lakini sio kwa kiasi hicho.
 
Mambo ya pesa wachumi wataeleza zaidi, ila najua there are very valid reasons why Tanzania(and Africa in general) tupo hapa tulipo. And it all goes back to the system.

Hivi, hilo li system ndo li-nini hilo? Ni lidubwana gani hilo? Na ni wajibu wa nani kulitengeneza na kuliboresha?

Oh by the way, hebu nitajie Watanzania watano tu ambao ni wachumi waliobobea na ambao kazi zao na vipaji vyao maalum vimekuwa ni of "greatest benefit on mankind"....

Leo hii wewe na mimi tunalumbana hapa kupitia kompyuta na intaneti ambazo zimevumbuliwa na kuboreshwa na watu...watu wenye vipaji maalum vya ukweli na si hivyo vyenu vya NECTA.
 
Mkuu hivi unataka kutuaminisha hivi.... ?, Pia lazima ujue kwamba Test ya kuitwa special inafanyika either la saba au form IV (ili kuingia form six au form one).

Pia mkuu majibu ya mitihani huwa kila mtu anayesoma anakuwa nayo.., kama unajua syllabus na kila kinachoulizwa kinatoka kwenye hizo syllabus you should know the format of exams before hand..., na mitihani yote huwa ni the same (formulas na format..) kinachobadilika ni lugha tu (tusitake ku-complicate issue).., Na since mitahani ndio the only measurement huwezi kusema wanaoshinda hizo measurement hawafai labda cha muhimu ni kuangalia ni vipi kipimo kinaweza kubadilishwa / kuboreshwa...,

Ila huwezi kusema vijana wote wa Tanzania wanao uelewa sawa (hata maiti zinazidiana kunuka..) na since kwenye hizi shule inabidi waende (creme de la creme...., ingawa wengi wakichaguliwa huwa hawaendi huko..), basi kwa vigezo vya Tanzania hizi shule ndio zina Top Performers, (and since they are Top Performance hence they are special in comparison with their counterparts) Na hawa vijana kutokana na ukosefu wa waalimu na vitabu mwisho wa siku unaweza ukakuta wanaingia wakiwa wazuri na kutoka wakiwa wabovu... (lack of nurturing)





yote ulioyosema upo sahihi,lakini kwa miaka yote ya nyuma usawa katika mitihani haukuwepo kwa sababu aliyespecial school licha ya uwezo alionao bado alipata boost kwa kupewa real exam 3 month before,wakati yule wa shule za kawaida anaingia kwenye mtihani kavu kavu,kwa iyo.mi binafsi nimesoma o level shule ya kawaida nimescore div 1;12,kwa jitihahada binafsi mwenyewe,nimeenda special school with PCB, nimescore div1;6(C,B,A) highest score ilikuwa div 1;3,lakini kiukweli bila mbinu za ufundi,tungefaulu lakini sio kwa kiasi hicho
 
Hebu nitajie majina ya watu watano tu katika field za sayansi ambao ni Watanzania na ambao kazi zao na vipaji vyao maalum vimekuwa ni of "greatest benefit on mankind".

Of course siwezi kutaja, umenipa watano for one country, mi nakupa 15 kwa nchi 100 za mwisho ambao wamefanya vitu of "greatest benefit to mankind".
 
Of course siwezi kutaja, umenipa watano for one country, mi nakupa 15 kwa nchi 100 za mwisho ambao wamefanya vitu of "greatest benefit to mankind".

Kwa nini huwezi? Yaani hizo shule za "vipaji maalum" vya NECTA hazijazalisha hata wawili?
 
Back
Top Bottom