Viongozi wetu waliogomea suala la kuunganisha Tanzania, Uganda na Kenya waliona mbali

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,649
48,411
Kuna siku mzee fulani alinisimulia jinsi Nyerere alipambania sana Afrika Mashariki iwe nchi moja, ila viongozi wa Kenya wakasuasua na hatimaye wakapiga chini hilo wazo. Nikawaona viongozi wetu kama ambao hawakua na upeo wa kuona mbali, ila nimekua nasoma hizi taarifa za mkanganyiko wa Zanzibar na Tanzania bara, ambapo kila siku kuna kero za kila aina, kamuungano kenyewe kadogo lakini pasua kichwa, sasa lingekua limuungano la EAC jameni si ndio tungevurugana mpaka basi.

Leo hii Mtanzania bara na mgeni wote wanapewa masharti sawia wakiwekeza Zanzibar, kwamba mbara haruhusiwi kumiliki ardhi kisiwani kwa asilimia 100%

3017481_E33C314B-D18B-4DEF-AE7A-3AA9520263FB.jpeg
 
Ndio ni sahihi mambo yetu Tanzania huyawezi kaa kwa kutulia mkunyalanda we shemeji yng tu. Sasa ni hivi Tanzania visiwa na bara tuna utaratibu tumeweka sometimes uliza, go deep dnt eat "quatre cooked meal" Yani Zanzibar ni nchi ndogo sana tukiwa na hio aki ya kuchukua maeneo yoyote basi wazawa wa Zanzibar watakosa arthi na hili kulinda hili janga lisitokee Kuna maeneo tengefu yametengwa kwa namna hiyo. Hii ni hint tu,sio unapayuka tu. Dada yako anakusalimu....love this Kenyan woman hahaha
 
Ndio ni sahihi mambo yetu Tanzania huyawezi kaa kwa kutulia mkunyalanda we shemeji yng tu. Sasa ni hivi Tanzania visiwa na bara tuna utaratibu tumeweka sometimes uliza, go deep dnt eat "quatre cooked meal" Yani Zanzibar ni nchi ndogo sana tukiwa na hio aki ya kuchukua maeneo yoyote basi wazawa wa Zanzibar watakosa arthi na hili kulinda hili janga lisitokee Kuna maeneo tengefu yametengwa kwa namna hiyo. Hii ni hint tu,sio unapayuka tu. Dada yako anakusalimu....love this Kenyan woman hahaha

Haya sasa hebu ingia kwenye huu uzi hapa chini ujaribu kuandika andika hicho ulichokiandika uone utakavyopewa za uso na Watanzania Masharti ya kuwekeza Zanzibar kwa Mtanzania bara na mgeni
 
Haya sasa hebu ingia kwenye huu uzi hapa chini ujaribu kuandika andika hicho ulichokiandika uone utakavyopewa za uso na Watanzania Masharti ya kuwekeza Zanzibar kwa Mtanzania bara na mgeni
Alietuloga kafa kuwa mpole. Huu ndo utaratibu wetu. Mbona sisi hatulalamiki wewe mkunya ndo unalalamika mzee. Ya United republic of Tanzania tuachie Watanzania Ila jua the rest of East Africans kupata ardhi hapa Hilo msahau kabisaaa
 
Alietuloga kafa kuwa mpole. Huu ndo utaratibu wetu. Mbona sisi hatulalamiki wewe mkunya ndo unalalamika mzee. Ya United republic of Tanzania tuachie Watanzania Ila jua the rest of East Africans kupata ardhi hapa Hilo msahau kabisaaa

Hehehe!! Kuna watu wanalalamikia hako kamuungano kenu zaidi ya Watanganyika, mumefungua mamia ya nyuzi humu mkilialia jinsi mliuziwa mbuzi kwenye gunia, Wazenji wametulia tu, wao walishaweka masharti, Mbongo ukienda kwao unataka ardhi ya kumiliki kabisa hiyo sahau, wkeza kama Mkenya au mgeni mwingine yeyote kisha ukae kwa kutulia, mwsho rudi kwenu, kule wana vitambulisho vya uraia, kuna mshikaji wangu alijaribu kuomba hicho kitambulisho kanyimwa mazima mazima, kwanza yeye wa Tanga, Kiswahili anaongea lafudhi ya mwambao wala sio cha Kisukuma ila akakaushiwa.
 
Hehehe!! Kuna watu wanalalamikia hako kamuungano kenu zaidi ya Watanganyika, mumefungua mamia ya nyuzi humu mkilialia jinsi mliuziwa mbuzi kwenye gunia, Wazenji wametulia tu, wao walishaweka masharti, Mbongo ukienda kwao unataka ardhi ya kumiliki kabisa hiyo sahau, wkeza kama Mkenya au mgeni mwingine yeyote kisha ukae kwa kutulia, mwsho rudi kwenu, kule wana vitambulisho vya uraia, kuna mshikaji wangu alijaribu kuomba hicho kitambulisho kanyimwa mazima mazima, kwanza yeye wa Tanga, Kiswahili anaongea lafudhi ya mwambao wala sio cha Kisukuma ila akakaushiwa.
Ndo ivo chief nikuwa mpole sasa ww ulitakaje
 
Ndo ivo chief nikuwa mpole sasa ww ulitakaje
Pia jua kwamba sio wabara wote wana interest na Zenj, ni asilimia ndogo sana pia wapo wabara wanaomiliki ardhi huko zenj hasa wale ambao walio intermarry na wa zenj na wanaishi huko anyway unachosema ni kweli napia nachokwambia ni kweli kubali kuwa informed au sio! Ila I wonder who is interested in that, the fact it's all Tz that's enough people go n do shit as they please in any part of the country that's enough sasa sijui ulitaka kwa mantiki hiyo kwamba wao wakija bara wasipate kitu au maana hata hilo unalosema sio kero ya muungano ni kuwa uko puzzled na hilo jambo na ili usiteseke we potezea tu.. Hili jambo nilakawaida kwetu.
 
Pia jua kwamba sio wabara wote wana interest na Zenj, ni asilimia ndogo sana pia wapo wabara wanaomiliki ardhi huko zenj hasa wale ambao walio intermarry na wa zenj na wanaishi huko anyway unachosema ni kweli napia nachokwambia ni kweli kubali kuwa informed au sio! Ila I wonder who is interested in that, the fact it's all Tz that's enough people go n do shit as they please in any part of the country that's enough sasa sijui ulitaka kwa mantiki hiyo kwamba wao wakija bara wasipate kitu au maana hata hilo unalosema sio kero ya muungano ni kuwa uko puzzled na hilo jambo na ili usiteseke we potezea tu.. Hili jambo nilakawaida kwetu.

Zenji nimeishi na niliyaona, mimi sikua na issue maana nilijua niko mgeni kwenye nchi ya watu, ila Wabongo tuliokwenda nao huko ndio nilikua naona vioja tu, walianza kwa mbwembwe za kujiona wako sehemu ya Tanzania hivyo wako nyumbani, mara tunawahi polisi kumtoa mmoja amekamatwa na askari wa usalama barabarani, kwamba aliombwa leseni ya udereva ya Zenji akatoa ya Bongo.
 
Zenji nimeishi na niliyaona, mimi sikua na issue maana nilijua niko mgeni kwenye nchi ya watu, ila Wabongo tuliokwenda nao huko ndio nilikua naona vioja tu, walianza kwa mbwembwe za kujiona wako sehemu ya Tanzania hivyo wako nyumbani, mara tunawahi polisi kumtoa mmoja amekamatwa na askari wa usalama barabarani, kwamba aliombwa leseni ya udereva ya Zenji akatoa ya Bongo.
Kweli kabisa hata pia tukinunua vitu kule tunalipia ushuru wa zenj huo ni uzalendo kaka. So what happened, mlimtafuta mzenj akamtoa au mlionesha kitambulisho gani kumtoa lock up?
 
Kweli kabisa hata pia tukinunua vitu kule tunalipia ushuru wa zenj huo ni uzalendo kaka. So what happened, mlimtafuta mzenj akamtoa au mlionesha kitambulisho gani kumtoa lock up?
Unajua hizi lawama ni za mtandaoni watu wanatengeneza contents ili convo ziende lakini hakuna mtu ambae anaona tatizo na sio kwamba muungano wetu hauna changamoto, hata muungano wa marekani unachangamoto zake na hata muungano wa watu wawili lazma uwe na changamoto maana sisi binadamu ni complex hatuwezi kuwa na mitazamo sawa January to December. But cha msingi ni misingi iliyowekwa baina ya watu wawili sasa kama wabongo tungeruhusiwa kumiliki ardhi huoni kuwa wazawa wa zenj wangekosa ardhi maana wao ninwachache na ardhi ya nchi kavu kule ni ndogo. Huu muungano wetu sio wakukomoana even a fool knows isingekuwa applicable hata mm kama ordinary tax payer na citizen that's fair hao ni kaka na dada zetu waache wamiliki ardhi bara they deserve it. Trust me nakwambia tena wapo watu wa bara wanaomiliki ardhi na wamejenga kwenye hayo maeneo tengefu either iwe kwa lease au vyovyote kama mgeni but it's the fact. Pia nachofahamu hayo maeneo ni very expensive pia. Karibu kufanya utafiti by the way hata ww pia unaweza pata eneo as long as you have the money worth it.
 
Kweli kabisa hata pia tukinunua vitu kule tunalipia ushuru wa zenj huo ni uzalendo kaka. So what happened, mlimtafuta mzenj akamtoa au mlionesha kitambulisho gani kumtoa lock up?

Hela zilitumika kumtoa, ila baadaye ikabidi ahangaike kusaka leseni ya Zenji.
 
Back
Top Bottom