Viongozi wa dini waliokutana Rais Samia Wamemshauri kuifuta kesi ya Mbowe

Mapadre na Mashee wameshaona maono kuwa Mbowe anaenda kuangukia jela ,na hakuna watu wabaya kama viongozi na makada wa Chadema maana kila inapojaribiwa watu kutaka raisi atoe msamaha kwa Mbowe na wenziwe ,baadhi ya mijiwanachama na viongozi utawasikia asamehewe kwani ana kosa gani ? Hii ni kauli mbaya sana na inaonyesha wazi wanataka Mbowe na wenzake wawe wanasota mahakamani milele, sijui itakuwa kuna faida yeyote wanayoipata kwa Mbowe kuwepo kizuizini.

Kusamehewa sio lazima uwe na kosa hata kama huna kosa inatokea kusamehewa pengine ulikumbwa na upepo pengine katika kamata kamata na wewe ukakamatwa japo huhusiki na watu wakaonyesha ushahidi kuwa ulikuwemo na ulikuwepo ,ilihali hukuwemo wala hukuwepo.
Samia huenda kama raisi anaweza kutoa msamaha katika sherehe za karibuni zinazokuja.
Ila Mbowe akitoka huko ajiunge na chama kingine sio cha hawa wanaotaka akae mahabuswu milele.
 
Mapadre na Mashee wameshaona maono kuwa Mbowe anaenda kuangukia jela ,na hakuna watu wabaya kama viongozi na makada wa Chadema maana kila inapojaribiwa watu kutaka raisi atoe msamaha kwa Mbowe na wenziwe ,baadhi ya mijiwanachama na viongozi utawasikia asamehewe kwani ana kosa gani ? Hii ni kauli mbaya sana na inaonyesha wazi wanataka Mbowe na wenzake wawe wanasota mahakamani milele, sijui itakuwa kuna faida yeyote wanayoipata kwa Mbowe kuwepo kizuizini.

Kusamehewa sio lazima uwe na kosa hata kama huna kosa inatokea kusamehewa pengine ulikumbwa na upepo pengine katika kamata kamata na wewe ukakamatwa japo huhusiki na watu wakaonyesha ushahidi kuwa ulikuwemo na ulikuwepo ,ilihali hukuwemo wala hukuwepo.
Samia huenda kama raisi anaweza kutoa msamaha katika sherehe za karibuni zinazokuja.
Ila Mbowe akitoka huko ajiunge na chama kingine sio cha hawa wanaotaka akae mahabuswu milele.
Nikajua mahakama ishamuhukumu 😂😂 kumbe ni yalikua mawazo tu watu ambao sio sheria!!
 
Kichwa cha Habari WAMEMSHAURI

Habari halisi WAMEMWOMBA

Kwani ukisema Rais Ameombwa unaona kama utampa credit Rais?

mwisho: Mh Rais Alishasema; suala hili kwa kuwa lipo Mahakamani si busara kulisemea.

Tuwe na imani na Mahakama yetu na itatenda haki.
Nakubaliana nawe.

Viongozi wa CHADEMA wasishinikize, kupitia Jumuiya yoyote (ya kisiasa, dini, nk) Mbowe afutiwe mashtaka. Kufanya hivyo kutamtia Mbowe doa la maisha kisiasa. Waache kesi ikamilishwe na kama hana hatia heshima na hali yake kisiasa itapanda juu
 
Nakubaliana nawe.

Viongozi wa CHADEMA wasishinikize, kupitia Jumuiya yoyote (ya kisiasa, dini, nk) Mbowe afutiwe mashtaka. Kufanya hivyo kutamtia Mbowe doa la maisha kisiasa. Waache kesi ikamilishwe na kama hana hatia heshima na hali yake kisiasa itapanda juu
Hata kama mahakama hii ya Tz itamtangaza kuwa na hatia, Mboe hatakuwa na doa lolote, kwani wote tunajua kesi ni yamchongo na mahakama yenyewe haipo huru kama inavyo takiwa mahakama kuwa.
 
Hata kama mahakama hii ya Tz itamtangaza kuwa na hatia, Mboe hatakuwa na doa lolote, kwani wote tunajua kesi ni yamchongo na mahakama yenyewe haipo huru kama inavyo takiwa mahakama kuwa.
Chifu Hangaya na Machinery zake wanajua Freeman Mbowe Sio Gaidi! Bali Wamemfungulia Kesi ya Ugaidi Freeman Mbowe kwa influence ya Madaraka ya Kulevya.
 
Hawa Viongozi Macho Yao Wameiona Kesi moja tu Mahakamani? Mbona ipo mikesi mingi tu Wameifumbia Macho.

Wajikite Kumtangaza Mungu , haya mambo Sijui futa Kesi Ya Sabaya ,Sijui futa Kesi Ya Mbowe Waachane nayo.
Dini na siasa utawezaje kuzitenganisha? Dini na siasa zinashughulikia watu hao hao. Viongozi wa dini wanapoona jambo lisilo halali ni wajibu wao kushauri na kuonya.
 
Hawa Viongozi Macho Yao Wameiona Kesi moja tu Mahakamani? Mbona ipo mikesi mingi tu Wameifumbia Macho.

Wajikite Kumtangaza Mungu , haya mambo Sijui futa Kesi Ya Sabaya ,Sijui futa Kesi Ya Mbowe Waachane nayo.
Kwani wamesema na ya sabaya?. Atakaesema ifutwe ya sabaya huyo atakuwa amepangwa
 
Hivi ndivyo Mwananchi walivyoeleza kwenye tovuti yao jioni hii .

View attachment 2136460

=======

VIONGOZI WA DINI: BUSARA ITUMIKE KUMALIZA KESI YA MBOWE

Viongozi hao wameomba Mamlaka husika kutumia busara na kuangalia namna ya kumaliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na wenzake

Wametoa rai hiyo leo Machi 2, 2022 walipokutana na Rais wa Tanzania, Samia Suhulu Hassan Ikulu Dar es Salaam. Katika Mkutano huo, Viongozi hao wa Dini mbalimbali pia wamependekeza kuwe na Mjadala mpana kuhusu Mfumo mpya wa Elimu utakaokidhi mahitaji ya sasa

View attachment 2136462

Hivi ndivyo Mwananchi walivyoeleza kwenye tovuti yao jioni hii .

Hoja hiyo iliwasilishwa mbele ya Rais na Shehe Mkuu (BAKWATA) Mufti Aboubakar Zuberi
=======

VIONGOZI WA DINI: BUSARA ITUMIKE KUMALIZA KESI YA MBOWE

Viongozi hao wameomba Mamlaka husika kutumia busara na kuangalia namna ya kumaliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na wenzake

Wametoa rai hiyo leo Machi 2, 2022 walipokutana na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Ikulu Dar es Salaam. Katika Mkutano huo, Viongozi hao wa Dini mbalimbali pia wamependekeza kuwe na Mjadala mpana kuhusu Mfumo mpya wa Elimu utakaokidhi mahitaji ya sasa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi mbalimbali wa Dini mara baada ya Kikao chao kilichofanyika leo tarehe 02 Machi, 2022 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Mbona sioni hilo kama linatekelezeka. Wamuache afungwe kwanza halafu 26.4 sherehe za Muungano atoke kwa msamaha - hilo ndilo liko chini ya uwezo na mamlaka ya sheria
 
Hivi ndivyo Mwananchi walivyoeleza kwenye tovuti yao jioni hii .

View attachment 2136460

=======

VIONGOZI WA DINI: BUSARA ITUMIKE KUMALIZA KESI YA MBOWE

Viongozi hao wameomba Mamlaka husika kutumia busara na kuangalia namna ya kumaliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na wenzake

Wametoa rai hiyo leo Machi 2, 2022 walipokutana na Rais wa Tanzania, Samia Suhulu Hassan Ikulu Dar es Salaam. Katika Mkutano huo, Viongozi hao wa Dini mbalimbali pia wamependekeza kuwe na Mjadala mpana kuhusu Mfumo mpya wa Elimu utakaokidhi mahitaji ya sasa

View attachment 2136462

Naona serikali inataka kukwepa aibu pindi Mbowe atakapoanza kujitetea!
Nasikia moja ya kilelezo cha utetezi wa mh. Mbowe ni mkataba wa yeye kukopeshwa shs 1,000,000/= na Urio = kumbe zile hela alizomtumia Urio alikuwa anapunguza deni
 
Yohana Mbatizaji.....wewe uliona ubaya wa Mfalme Herode kumuoa mkecwa ndugu take ukamkemea Mfalme, hiyo iligharimu kichwa chako. Leo umesahau huwezi kukemea dhulma! Au ni Yohana Mbatizaji mwingine?
Viongozi walitakiwa kuongea mwanzo kabisa wa kesi.

Kwa sasa wananchi wana kiu ya kumsikiliza Freeman Mbowe akijitetea!

Huu ndio wakati Yesu alijaribiwa na shetani pale juu ya mlima.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom