Mapadre na Mashee wameshaona maono kuwa Mbowe anaenda kuangukia jela ,na hakuna watu wabaya kama viongozi na makada wa Chadema maana kila inapojaribiwa watu kutaka raisi atoe msamaha kwa Mbowe na wenziwe ,baadhi ya mijiwanachama na viongozi utawasikia asamehewe kwani ana kosa gani ? Hii ni kauli mbaya sana na inaonyesha wazi wanataka Mbowe na wenzake wawe wanasota mahakamani milele, sijui itakuwa kuna faida yeyote wanayoipata kwa Mbowe kuwepo kizuizini.
Kusamehewa sio lazima uwe na kosa hata kama huna kosa inatokea kusamehewa pengine ulikumbwa na upepo pengine katika kamata kamata na wewe ukakamatwa japo huhusiki na watu wakaonyesha ushahidi kuwa ulikuwemo na ulikuwepo ,ilihali hukuwemo wala hukuwepo.
Samia huenda kama raisi anaweza kutoa msamaha katika sherehe za karibuni zinazokuja.
Ila Mbowe akitoka huko ajiunge na chama kingine sio cha hawa wanaotaka akae mahabuswu milele.
Kusamehewa sio lazima uwe na kosa hata kama huna kosa inatokea kusamehewa pengine ulikumbwa na upepo pengine katika kamata kamata na wewe ukakamatwa japo huhusiki na watu wakaonyesha ushahidi kuwa ulikuwemo na ulikuwepo ,ilihali hukuwemo wala hukuwepo.
Samia huenda kama raisi anaweza kutoa msamaha katika sherehe za karibuni zinazokuja.
Ila Mbowe akitoka huko ajiunge na chama kingine sio cha hawa wanaotaka akae mahabuswu milele.